Ulipo tupoTeko...
Mpashaji wangu kanieleza:
"Waziri akaniambia inanihitaji tusafiri pamoja twende Ulaya ya Mashariki kuna kozi inafungwa na sisi tumealikwa kwenye ufungaji.
Basi mimi na Waziri wangu tumekwenda.
Nilipata mshtuko mkubwa sana.
Katika kundi lile lililohitimu kozi ile niliwaona jamaa ambao mimi wakiniuzia samaki pale Ferry."
Kama umetumia hiii pesa na bado ujaoa au ujaolewa au una mtoto jipange kabla ujapangwaMwishoni mwa miaka ya 1980, Benki Kuu ya Tanzania ilitoa noti ya Shilingi Mia Mbili. Noti hii maarufu upande wake mmoja ulikuwa na picha ya wavuvi wawili wakiwa wamebeba samaki mkubwa wakiwa wanaelekea nchi kavu.
Najua wengi wetu hatufahamu kwanini iliwekwa picha ya wavuvi wale? Basi jua haikuwekwa kwa bahati mbaya.
Kwanza kabisa, Picha ile iliwekwa ili kutangaza moja kati ya shughuli ya kiuchumi ifanyikayo hapa nchini. Kwakuwa tuna bahari, Maziwa na Mito basi shughuli ya Uvuvi lazma itafanyika.
Jambo la pili, picha ile ya wavuvi ni picha itokanayo na watu halisi kabisa. Wavuvi hao ni Abdallah Mohamed pamoja na Ibrahim Amanzi wavuvi waliojipatia umaarufu miaka ya 1970 mpaka miaka ya 1980.
Walikuwa ni wavuvi maarufu wenye kuipenda kazi yao hadi kufikia kuwa marafiki wa Rais wa wakati huo JK Nyerere.
Wengine walishuku hao walikuwa ni "wale jamaa zetu" lakini naambiwa hawakuwa.
Kwa mchango wao kwa Taifa, jumlisha ukaribu wao na Mwl Nyerere, wakawekwa kwenye noti ya shilingi 200.
View attachment 2549333
My take: Kama ni uchawa basi hawa ndio walikuwa machawa kwelikweli sio hawa wa siku hizi wanaoishia kulipwa buku 7.
Mjomba...mzee MOHAMEDI. naomba nikuambie jambo moja. kuna tofauti kubwa sana kati ya sisi tuliyozaliwa darusalaam, na wale waliyokuja darusalaam. maneno na majibu kama hayo utayapata kwa wale waliyokuja darusalaam. sisi tuliyozaliwa na kukulia jijini darusalaam tunayajua na tumeyashuhudia mengi katika machache unayoyasimulia. wengi wanaokupinga, ukiangalia uzao wao unaanzia miaka ya 90 kuja 2000. hawana walijualo ktk unayoyasimulia. tena huko mashuleni, wengi wao walikuwa wanakaa madawati ya nyuma. lakini kwavile wanamiliki smartphone, wana haki yaku....... wanachokiamini
Mfumo Kristo uliwafifisha WaIslam Mohamed Said hadi waefeso wakatiwa katika fedha zetu.Mwishoni mwa miaka ya 1980, Benki Kuu ya Tanzania ilitoa noti ya Shilingi Mia Mbili. Noti hii maarufu upande wake mmoja ulikuwa na picha ya wavuvi wawili wakiwa wamebeba samaki mkubwa wakiwa wanaelekea nchi kavu.
Najua wengi wetu hatufahamu kwanini iliwekwa picha ya wavuvi wale? Basi jua haikuwekwa kwa bahati mbaya.
Kwanza kabisa, Picha ile iliwekwa ili kutangaza moja kati ya shughuli ya kiuchumi ifanyikayo hapa nchini. Kwakuwa tuna bahari, Maziwa na Mito basi shughuli ya Uvuvi lazma itafanyika.
Jambo la pili, picha ile ya wavuvi ni picha itokanayo na watu halisi kabisa. Wavuvi hao ni Abdallah Mohamed pamoja na Ibrahim Amanzi wavuvi waliojipatia umaarufu miaka ya 1970 mpaka miaka ya 1980.
Walikuwa ni wavuvi maarufu wenye kuipenda kazi yao hadi kufikia kuwa marafiki wa Rais wa wakati huo JK Nyerere.
Wengine walishuku hao walikuwa ni "wale jamaa zetu" lakini naambiwa hawakuwa.
Kwa mchango wao kwa Taifa, jumlisha ukaribu wao na Mwl Nyerere, wakawekwa kwenye noti ya shilingi 200.
View attachment 2549333
My take: Kama ni uchawa basi hawa ndio walikuwa machawa kwelikweli sio hawa wa siku hizi wanaoishia kulipwa buku 7.
aminaMjomba...
Taratibu tutasomeshana.
Hekima na upole ni muhimu sana.
Haha mkuu umewaza kama mimi!Hawa jamaa sipati picha umaarufu wao kitaani,wanawake wa kipindi hiko inaelekea beki zilikuwa hazikabi [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata tunapoelekea bado mbali.Dah tulikotoka ni mbali
Hao jamaa walikuwa majasusi ?Teko...
Mpashaji wangu kanieleza:
"Waziri akaniambia inanihitaji tusafiri pamoja twende Ulaya ya Mashariki kuna kozi inafungwa na sisi tumealikwa kwenye ufungaji.
Basi mimi na Waziri wangu tumekwenda.
Nilipata mshtuko mkubwa sana.
Katika kundi lile lililohitimu kozi ile niliwaona jamaa ambao mimi wakiniuzia samaki pale Ferry."
Nyerere wale wazee wazee Waswahili/ Wamakonde wa Msasani pale alikuwa anakaa nao anacheza nao bao majirani zake.Mwishoni mwa miaka ya 1980, Benki Kuu ya Tanzania ilitoa noti ya Shilingi Mia Mbili. Noti hii maarufu upande wake mmoja ulikuwa na picha ya wavuvi wawili wakiwa wamebeba samaki mkubwa wakiwa wanaelekea nchi kavu.
Najua wengi wetu hatufahamu kwanini iliwekwa picha ya wavuvi wale? Basi jua haikuwekwa kwa bahati mbaya.
Kwanza kabisa, Picha ile iliwekwa ili kutangaza moja kati ya shughuli ya kiuchumi ifanyikayo hapa nchini. Kwakuwa tuna bahari, Maziwa na Mito basi shughuli ya Uvuvi lazma itafanyika.
Jambo la pili, picha ile ya wavuvi ni picha itokanayo na watu halisi kabisa. Wavuvi hao ni Abdallah Mohamed pamoja na Ibrahim Amanzi wavuvi waliojipatia umaarufu miaka ya 1970 mpaka miaka ya 1980.
Walikuwa ni wavuvi maarufu wenye kuipenda kazi yao hadi kufikia kuwa marafiki wa Rais wa wakati huo JK Nyerere.
Wengine walishuku hao walikuwa ni "wale jamaa zetu" lakini naambiwa hawakuwa.
Kwa mchango wao kwa Taifa, jumlisha ukaribu wao na Mwl Nyerere, wakawekwa kwenye noti ya shilingi 200.
View attachment 2549333
My take: Kama ni uchawa basi hawa ndio walikuwa machawa kwelikweli sio hawa wa siku hizi wanaoishia kulipwa buku 7.
Proved,Hao jamaa walikuwa majasusi ?
ulipaswa utulie kidogo uweze mwelewa mtoa hoja.WAISLAMU MNA CHOKOCHOKO ZA KIJINGA. KAMA HAMUWEZI KUKAA KWA AMANI TANZANIA HAMIENI UARABUNI.
Na hamsini pia, ilikua nyekunduHapo sarafu yetu ilikuwa very strong, tulikuwa na noti ya sh 100 pia kipindi hicho.
Hawa jamaa sipati picha umaarufu wao kitaani,wanawake wa kipindi hiko inaelekea beki zilikuwa hazikabi [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee atakwambia ni watoto wa kleist
mzee MOHAMEDI. naomba nikuambie jambo moja. kuna tofauti kubwa sana kati ya sisi tuliyozaliwa darusalaam, na wale waliyokuja darusalaam. maneno na majibu kama hayo utayapata kwa wale waliyokuja darusalaam. sisi tuliyozaliwa na kukulia jijini darusalaam tunayajua na tumeyashuhudia mengi katika machache unayoyasimulia. wengi wanaokupinga, ukiangalia uzao wao unaanzia miaka ya 90 kuja 2000. hawana walijualo ktk unayoyasimulia. tena huko mashuleni, wengi wao walikuwa wanakaa madawati ya nyuma. lakini kwavile wanamiliki smartphone, wana haki yaku....... wanachokiamini
ahsante. uwe na siku njemaEndelea kubwabwaja tu ukifikiri darusalaam au kuzaliwa huo mji ndio kila kitu nchi hii.