Wafahamu Wavuvi hawa Mashuhuri waliokuwepo kwe Noti ya Shilingi Mia Mbili

Wafahamu Wavuvi hawa Mashuhuri waliokuwepo kwe Noti ya Shilingi Mia Mbili

Pale kuna beach nzuri sana, kuna sehemu mbele kidogo tulikuwa tunakwenda reggae party beach Mbalamwezi.
Mbalamwezi nadhani bado ipo,kuna jirani pale Grabu yule mvuvi mtoto ya Mama Jane Goodhall nadhani unamkumbuka
 
Mbalamwezi nadhani bado ipo,kuna jirani pale Grabu yule mvuvi mtoto ya Mama Jane Goodhall nadhani unamkumbuka
Dah, umenikumbusha mbali sana.

Miezi michache iliyopita nilikuwa naongea na Andrew namuuliza anavionaje vitabu vya Nyerere hivi vilivyoandikwa na Issa Shivji na wenzake hivi karibuni?

Andrew ananiambia vitabu gani? Alikuwa hata hajui kuna vitabu vimeandikwa, akavifuatilia akasema so far naviona viko fair.

Yani alikuwa hata hajui kuna vitabu vipya vya Nyerere.

Jamaa alikuwa anatembea kwa mguu kutoka Msasani kwao mpaka Upanga kule kwetu, basi tu kaamua. Halafu anakwambia anapenda kufanya mazoezi yale ambayo hayatumii vifaa vyovyote unatumia mwili wako tu. Naona hata kutembea alikuwa anafanya kama sehemu ya mazoezi. Siku hizi naona huku Marekani watu ndio wanastukia kutembea kama mazoezi, nikiona hivyo namkumbuka sana Andrew.
 
My take: Kama ni uchawa basi hawa ndio walikuwa machawa kwelikweli sio hawa wa siku hizi wanaoishia kulipwa buku 7.[emoji23]
Chawa kawekwa kwenye noti, sio mchezo🤣🤣🤣
 
Dah, umenikumbusha mbali sana.

Miezi michache iliyopita nilikuwa naongea na Andrew namuuliza anavionaje vitabu vya Nyerere hivi vilivyoandikwa na Issa Shivji na wenzake hivi karibuni?

Andrew ananiambia vitabu gani? Alikuwa hata hajui kuna vitabu vimeandikwa, akavifuatilia akasema so far naviona viko fair.

Yani alikuwa hata hajui kuna vitabu vipya vya Nyerere.

Jamaa alikuwa anatembea kwa mguu kutoka Msasani kwao mpaka Upanga kule kwetu, basi tu kaamua. Halafu anakwambia anapenda kufanya mazoezi yale ambayo hayatumii vifaa vyovyote unatumia mwili wako tu. Naona hata kutembea alikuwa anafanya kama sehemu ya mazoezi. Siku hizi naona huku Marekani watu ndio wanastukia kutemnea kama mazoezi, nikiona hivyo namkumbuka sana Andrew.
Andrew mpk leo anatembea kwa miguu hajaacha
 
Andrew mpk leo anatembea kwa miguu hajaacha
Yule jamaa nimemvulia kofia. Mara ya kwanza alivyoniambia nilifikiri anatania.

Ila inamsaidia sana kuwa na afya na mkakamavu. Haya maisha ya kutegemea magari kila kitu yanatugharimu sana.
 
Yule jamaa nimemvulia kofia. Mara ya kwanza alivyoniambia nilifikiri anatania.

Ila inamsaidia sana kuwa na afya na mkakamavu. Haya maisha ya kutegemea magari kila kitu yanatugharimu sana.
Hahahaha,nani mkakamvu kweli ,ila ni vile tu umri umeenda, na faranga za kutamba mjini hana, hivyo ananekana kachoka
 
Yeah na kama unapitia beach kwa beach ndio rahisi zaidi
Ile beach bwana nilikuwa nakatiza sana pale. Mara nyingi nikitupa macho kwenye nyumba ya Nyerere kwa upane wa baharini nilikuwa namuona amekaa nje kwenye miti anasoma. Nimeshangaa kusikia ule uwanja wa mpira bado upo.
 
Ile beach bwana nilikuwa nakatiza sana pale. Mara nyingi nikitupa macho kwenye nyumba ya Nyerere kwa upane wa baharini nilikuwa namuona amekaa nje kwenye miti anasoma. Nimeshangaa kusikia ule uwanja wa mpira bado upo.
Hahahaha,uwanja wa mpira upo ila zile nyumba za kizamani ndio zimeishia ama zinaishia,ule uwanja manispaa waje na ubunifu
 
Mwishoni mwa miaka ya 1980, Benki Kuu ya Tanzania ilitoa noti ya Shilingi Mia Mbili. Noti hii maarufu upande wake mmoja ulikuwa na picha ya wavuvi wawili wakiwa wamebeba samaki mkubwa wakiwa wanaelekea nchi kavu.

Najua wengi wetu hatufahamu kwanini iliwekwa picha ya wavuvi wale? Basi jua haikuwekwa kwa bahati mbaya.

Kwanza kabisa, Picha ile iliwekwa ili kutangaza moja kati ya shughuli ya kiuchumi ifanyikayo hapa nchini. Kwakuwa tuna bahari, Maziwa na Mito basi shughuli ya Uvuvi lazma itafanyika.

Jambo la pili, picha ile ya wavuvi ni picha itokanayo na watu halisi kabisa. Wavuvi hao ni Abdallah Mohamed pamoja na Ibrahim Amanzi wavuvi waliojipatia umaarufu miaka ya 1970 mpaka miaka ya 1980.

Walikuwa ni wavuvi maarufu wenye kuipenda kazi yao hadi kufikia kuwa marafiki wa Rais wa wakati huo JK Nyerere.

Wengine walishuku hao walikuwa ni "wale jamaa zetu" lakini naambiwa hawakuwa.

Kwa mchango wao kwa Taifa, jumlisha ukaribu wao na Mwl Nyerere, wakawekwa kwenye noti ya shilingi 200.

View attachment 2549333

My take: Kama ni uchawa basi hawa ndio walikuwa machawa kwelikweli sio hawa wa siku hizi wanaoishia kulipwa buku 7.
Siku hizi kuna wauza madafu
 
Back
Top Bottom