Wafanya biashara wa mtandaoni bongo, mna shida sana

Wafanya biashara wa mtandaoni bongo, mna shida sana

00001

Senior Member
Joined
Jul 28, 2020
Posts
173
Reaction score
948
Hivi ni nini huwasumbua hawa wafanyabiashara wa bongo ambao pia wanajihusisha na kutuma mizigo kwa wateja wa mikoani?

Kabla hujawatumia hela wanakuwa na customer care nzuri saana. Wanajibu message kwa wakati, wanazielezea bidhaa zao vizuri hadi mteja unaridhika na kujisemea moyoni, hivi ndivyo biashara inapaswa kufanyika.

Baada ya kuwatumia hela sasa, message hawajibu tena hata wakijibu wanajibu kwa kuchelewa mno, na wakijibu ni kwa ufupi sana, hadi upige simu mara tatu ndio watapokea.... mzigo unaopaswa kutumwa leo watautuma kesho bila hata sababu za kueleweka.

Wafanya biashara wengi mnapoteza wateja kwa shida hii. Liangalieni hili kwenu na kwa wahudumu mliowaajiri.
 
Hivi ni nini huwasumbua hawa wafanyabiashara wa bongo ambao pia wanajihusisha na kutuma mizigo kwa wateja wa mikoani?

Kabla hujawatumia hela wanakuwa na customer care nzuri saana. Wanajibu message kwa wakati, wanazielezea bidhaa zao vizuri hadi mteja unaridhika na kujisemea moyoni, hivi ndivyo biashara inapaswa kufanyika.

Baada ya kuwatumia hela sasa, message hawajibu tena hata wakijibu wanajibu kwa kuchelewa mno, na wakijibu ni kwa ufupi sana, hadi upige simu mara tatu ndio watapokea.... mzigo unaopaswa kutumwa leo watautuma kesho bila hata sababu za kueleweka.

Wafanya biashara wengi mnapoteza wateja kwa shida hii. Liangalieni hili kwenu na kwa wahudumu mliowaajiri.
Customer care bongo ni 0
 
Kigwangalla kwenye kipindi chake cha you tube cha NJE YA BOX ameeleza kuwa moja ya mambo yanayokwamisha mafanikio/biashara za watanzania ni kama hivyo seriousness/honest
 
Hivi ni nini huwasumbua hawa wafanyabiashara wa bongo ambao pia wanajihusisha na kutuma mizigo kwa wateja wa mikoani?

Kabla hujawatumia hela wanakuwa na customer care nzuri saana. Wanajibu message kwa wakati, wanazielezea bidhaa zao vizuri hadi mteja unaridhika na kujisemea moyoni, hivi ndivyo biashara inapaswa kufanyika.

Baada ya kuwatumia hela sasa, message hawajibu tena hata wakijibu wanajibu kwa kuchelewa mno, na wakijibu ni kwa ufupi sana, hadi upige simu mara tatu ndio watapokea.... mzigo unaopaswa kutumwa leo watautuma kesho bila hata sababu za kueleweka.

Wafanya biashara wengi mnapoteza wateja kwa shida hii. Liangalieni hili kwenu na kwa wahudumu mliowaajiri.
Kufanya kazi na ya mtandao wa watanzania ni kujitafuia balaa
 
Mkuu shukuru hata wewe umetumiwa mzigo wako. Kuna wengine hat huo mzigo hawapati na pesa yao inapigwa. Kiufupi bongo waaminifu mitandaoni ni wakutafuta na tochi
 
Ua
Mkuu shukuru hata wewe umetumiwa mzigo wako. Kuna wengine hat huo mzigo hawapati na pesa yao inapigwa. Kiufupi bongo waaminifu mitandaoni ni wakutafuta na tochi
Uaminifu Bongo mtandaoni kama hujui ofisi ilipo mtihani sana ,wanafanya watu wenye nia safi washindwe kufanya kazi
 
Mkuu shukuru hata wewe umetumiwa mzigo wako. Kuna wengine hat huo mzigo hawapati na pesa yao inapigwa. Kiufupi bongo waaminifu mitandaoni ni wakutafuta na tochi
Wauza vifaranga vya kuku nao wanashida hiyo.
 
Hivi ni nini huwasumbua hawa wafanyabiashara wa bongo ambao pia wanajihusisha na kutuma mizigo kwa wateja wa mikoani?

Kabla hujawatumia hela wanakuwa na customer care nzuri saana. Wanajibu message kwa wakati, wanazielezea bidhaa zao vizuri hadi mteja unaridhika na kujisemea moyoni, hivi ndivyo biashara inapaswa kufanyika.

Baada ya kuwatumia hela sasa, message hawajibu tena hata wakijibu wanajibu kwa kuchelewa mno, na wakijibu ni kwa ufupi sana, hadi upige simu mara tatu ndio watapokea.... mzigo unaopaswa kutumwa leo watautuma kesho bila hata sababu za kueleweka.

Wafanya biashara wengi mnapoteza wateja kwa shida hii. Liangalieni hili kwenu na kwa wahudumu mliowaajiri.

YAANI WEWE UMEPATA MZIGO NA BADO UNALALAMIKA? UNALALAMIKA KUCHELEWA? WENZIO HUWA HAWAPATI KABISA.
 
Back
Top Bottom