Wafanya usafi maofisini kimbilio la madomo zege


Mkuu nimeukubali uchambuzi wako
 
Kichwa cha chini cha mwanaume ndio kikiwa kinatoa maamuzi hilo lazima litokee
.Hapo wenye wake wahudumu roho juu masikini.
 
Na akitoka hapo anaenda kupiga dili la mishahara hewa!! ha haaa
 
wafanya usafi aisee ni noma mimi nakumbuka pale UDSM watu walikuwa wanapiga sana wale wadada wa usafi maana wengi wa wanafunzi wa vyuo hawana hela ya kuhonga masista duu au kununua machangu pale KONA BAA/MEEDA kimbilio lao lilikuwa Wafanya Usafi au Wadada Mama Ntilie mabibo Hostel
 
Binafsi hawa wafanya usafi wamenifaa sana nikiwa na hamu nawahi ofisini saa 12 nipo ofisini hapo namuita kwa ofis namkunja cha fasta hata viwili nampa 5,000/= tumemalizana
 
Tamalisa
Hizo mambo hazina cha usomi dada angu, bosi wa IMF yule mfaransa alitaka kula tena kwa kulazimisha mhudumu wa hoteli, Zuma yeye alikula mwathilika tena peku

Tena huyu zuma ana wanawake sijui 6.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna taifa lililokamilika maana maadili huanzia kwenye familia ambako kwa sasa familia nyingi zinanuka uozo wa maadili. Kiukweli makampuni yote ya simu kwa ujumla wake yana uozo mkubwa. Hili linachangiwa na mambo mengi ikiwema wengi wao wanaoajiriwa huko ni wahuni sana. Mabinti mwenyewe ndo wananuka kwa mfano pale davo msichana mmoja anaboys zaidi ya 30! Per day!
 
Tamalisa
Hizo mambo hazina cha usomi dada angu, bosi wa IMF yule mfaransa alitaka kula tena kwa kulazimisha mhudumu wa hoteli, Zuma yeye alikula mwathilika tena peku

Haya mambo hayana mjanja na hayana mwenyewe, mkuu wa zamani wa benki ya dunia alimpandisha cheo na mshahara kujumlisha marupurupu y kutosha mfanyakazi wa ofisi yake kisa haya mambo akapelekea kufukuzwa kazi.

Clinton alikua anamkula mfanyakazi wake ofisini, hapa bongo hizo kesi usiseme. Hizi za ofisini ziko nyingi mno, ujue goli la wizi tamu sana
 
Last edited by a moderator:

Hesabu zako hazieleweki, kwa hesabu zako hapo nani yuko juu?
 
Tamalisa
Hizo mambo hazina cha usomi dada angu, bosi wa IMF yule mfaransa alitaka kula tena kwa kulazimisha mhudumu wa hoteli, Zuma yeye alikula mwathilika tena peku

Kumbuka Zuma siyo msomi
 
Last edited by a moderator:
Duh watu mna ujasiri kufanya ngono ofisini.... NEVER
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…