Afisa usalama alisema anaweka chooniZimewekwa ili wafanyakazi wafanyie mapenzi chooni au zimewekwa ili kuwalinda wanapokuwa huko mtaani?
hao ndio wasomi wetu, waliohitimu shahada, master, astashahada, phd na zingine. tena unakuta anajinadi......., haya hongera wewe na wenzako hao, fanyeni kwa raha zenu, ila si mbaya sana maana wadogo zenu na dada zenu pia au hata wenu si ajabu wanasaidia sana huko maofisini. kama huna mtoto weka andalio la yeye kuja kuliwa.
poa mkuu hongera.
Mkuu hapo ni kipimo cha shabaha, kulenga
...huyu nae ndie coz kalifafanua kiundani zaidi...Duh!!! Mkuu umelijuaje hili au na wewe ni mmoja wapo wa ma "domo zege"? Nauliza tu sina nia mbaya na wewe...
...we maboso wa Chimala,au mbalali au uwanji?..nimeipenda avatar yako...Watu na experience zao