Wafanya usafi maofisini kimbilio la madomo zege


Mkuu elimu ya bongo, ukifika mwisho unaanza kurudi nyuma!
 
Mkuu hapo ni kipimo cha shabaha, kulenga

Huyo mmoja amekosea shabaha,aliyemfuatia bila
kujua akashika shimo kwa mikono,bila shaka ameondoka na kipindupindu.
 
heri ya wafanya usafi kuliko vicheche vya pale ustawi unajiaminisha kwenda peku peku kumbe mpo 50
 
Hadi hapa Nimeshaona umuhimu wa kuiondoa ccm madarakani!
Lack of education ndiyo iliyotufanya hadi tuwe na mawazo kama haya badala ya kufanya kazi

Elimu
Elimu
Elimu
 
Duuh., kwa hiyo na wale wafanya usafi wa kiume wanaofagia na kuosha vioo hali ipoje, si wanawagegeda wafanyakazi wa kikee kwenye hizo ofisi, si etiee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…