Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,473
Wafanyabaishara 2,900 kutoka Ilala wamefunga biashara zao, wengine kuhamia DRC na Msumbiji kutokana na mdororo wa kibiashara- HT @ MWANANCHI
Daah Leo Nimeona Nyama 1Kg inauzwa sh. 5,000/= Kwa Dar es salaam kutoka 8,000/=
Myth.
TIJARA KWA WALAJI