Wafanyabiashara 2,900 kuhama soko kuu la Kariakoo

Wafanyabiashara 2,900 kuhama soko kuu la Kariakoo

Yaani unaongea kama kabibi fulani hivi cha ajabu utakuwa kijana mdogo tu..
Au una undugu na Bashite wa Kolomije au St. JPM wa Ruwendele?

WAONDOKE WANAMTISHIA nani????......Kila siku stori zile zile tu.....hizi propaganda za kipuuzi kila kukicha zimetuchosha sasa....
Waliokuwa wanafanya biashara isivyo halali ndio wanaolilia kila siku MAANA WALIZOEA MKATO MNO NA KUIGEUZA NCHI HII SHAMBA LA BIBI.......nendeni uko mnapotaka mnapoona kuna UNAFUU WA MAISHA mtutolee nuksi zenu hapa......kwani uwepo wao kwa sasa umetupa UNAFUU UPI WA MAISHA??/na wakiondoka watatupa unafuu upi au UGUMU upi wa maisha???
Mtuachie nchi yetu tutengeeneze wafanyabiashara wa kesho wenye mapenzi mema na NCHI YETU......
Kwa akili zenu nusu kwani KKOO INA WAFANYA BIASHARA 2900 TU...?????A HIZI ZOTE NI PROPAGANDA ZA WAATHIRIKA WA UKOSEFU WA VIROBA (UKOVI) wa makao makuu UFIPA......maana akili zao zinawaaminisha wao ndio wangekuwa wameishika NCHII hii MAMBO yangetuendea sawia na TANZANIA ingekuwa mfano wa kuigwa DUNIA nzima....
 


Daah Leo Nimeona Nyama 1Kg inauzwa sh. 5,000/= Kwa Dar es salaam kutoka 8,000/=

Myth.

Nyama zimeshuka bei machinjioni Kutokana na kushuka bei ya ng'ombe vijijini.
 
Sasa si ndo vizuri? Mlikua mnalalamika mfumuko wa bei za vyakula, nyama imeanza kushuka bei pia mnalalamika[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Dah... Wanajichanganya kwelikweli [emoji13] [emoji13]
 
tayari ccm imepoteza kura 2900 za wafanyabiashara, kura 5000 za wanafamilia wa wafanyabiashara na kura 10000 za wafanyakazi wa wafanyabiashara hao
Kwani CCM Wamekwambia wanahitaji kura Kwani hujui wakati wa kukaribia Uchaguzi mkuu Mambo yenu tuta yaweka sawa na mtakuwa vipofu
 
WAONDOKE WANAMTISHIA nani????......Kila siku stori zile zile tu.....hizi propaganda za kipuuzi kila kukicha zimetuchosha sasa....
Waliokuwa wanafanya biashara isivyo halali ndio wanaolilia kila siku MAANA WALIZOEA MKATO MNO NA KUIGEUZA NCHI HII SHAMBA LA BIBI.......nendeni uko mnapotaka mnapoona kuna UNAFUU WA MAISHA mtutolee nuksi zenu hapa......kwani uwepo wao kwa sasa umetupa UNAFUU UPI WA MAISHA??/na wakiondoka watatupa unafuu upi au UGUMU upi wa maisha???
Mtuachie nchi yetu tutengeeneze wafanyabiashara wa kesho wenye mapenzi mema na NCHI YETU......
Kwa akili zenu nusu kwani KKOO INA WAFANYA BIASHARA 2900 TU...?????A HIZI ZOTE NI PROPAGANDA..maana akili zao zinawaaminisha wao ndio wangekuwa wameishika NCHII hii MAMBO yangetuendea sawia na TANZANIA ingekuwa mfano wa kuigwa DUNIA nzima....
Uwe unatumia akili na tafiti kabla haujaja kuropoka hapa. Swala la machinga limefanya wengi biashara iyumbe. Wala sio onachoropoka hapa. Na ufahamu walipa kodi wanapungua machinga hana hata risiti. Hizi akili za fisiemu sijui zikoje.
 
Yaani unaongea kama kabibi fulani hivi cha ajabu utakuwa kijana mdogo tu..
Au una undugu na Bashite wa Kolomije au St. JPM wa Ruwendele?
Na rudia kusema tena waondokeeee.....Tubaki na tutengeneze wafanya bishara wapya wenye uzalendo na NCHI HII.......kama na wewe ni mmoja wao ONDOKA tuachie KIZIMBA CHETU HAPO KKOO.........hatutaki kikazi cha NUKSI SISI.....
 
wewe
Uwe unatumia akili na tafiti kabla haujaja kuropoka hapa. Swala la machinga limefanya wengi biashara iyumbe. Wala sio onachoropoka hapa. Na ufahamu walipa kodi wanapungua machinga hana hata risiti. Hizi akili za fisiemu sijui zikoje.
mpuuzi kweli kweli...NI UTAFITI UPI NA WEWE ULIO UFANYA????? zaidi ya kudandia MAADA ZA WAVUTA BANGI WENZIO HUMU......muulize mleta mada au source ya habari KAFANYA UTAFTI UPI UO WA KUJUA 2900????
 
WAONDOKE WANAMTISHIA nani????......Kila siku stori zile zile tu.....hizi propaganda za kipuuzi kila kukicha zimetuchosha sasa....
Waliokuwa wanafanya biashara isivyo halali ndio wanaolilia kila siku MAANA WALIZOEA MKATO MNO NA KUIGEUZA NCHI HII SHAMBA LA BIBI.......nendeni uko mnapotaka mnapoona kuna UNAFUU WA MAISHA mtutolee nuksi zenu hapa......kwani uwepo wao kwa sasa umetupa UNAFUU UPI WA MAISHA??/na wakiondoka watatupa unafuu upi au UGUMU upi wa maisha???
Mtuachie nchi yetu tutengeeneze wafanyabiashara wa kesho wenye mapenzi mema na NCHI YETU......
Kwa akili zenu nusu kwani KKOO INA WAFANYA BIASHARA 2900 TU...?????A HIZI ZOTE NI PROPAGANDA..maana akili zao zinawaaminisha wao ndio wangekuwa wameishika NCHII hii MAMBO yangetuendea sawia na TANZANIA ingekuwa mfano wa kuigwa DUNIA nzima....
Na kwenye kampeni 2020 wakati wa kuomba kura washauri walioshika nchi wakope maneno yako wayatumie kwenye kampeni mnaweza pata ushindi wa kishindo.
 
WAONDOKE WANAMTISHIA nani????......Kila siku stori zile zile tu.....hizi propaganda za kipuuzi kila kukicha zimetuchosha sasa....
Waliokuwa wanafanya biashara isivyo halali ndio wanaolilia kila siku MAANA WALIZOEA MKATO MNO NA KUIGEUZA NCHI HII SHAMBA LA BIBI.......nendeni uko mnapotaka mnapoona kuna UNAFUU WA MAISHA mtutolee nuksi zenu hapa......kwani uwepo wao kwa sasa umetupa UNAFUU UPI WA MAISHA??/na wakiondoka watatupa unafuu upi au UGUMU upi wa maisha???
Mtuachie nchi yetu tutengeeneze wafanyabiashara wa kesho wenye mapenzi mema na NCHI YETU......
Kwa akili zenu nusu kwani KKOO INA WAFANYA BIASHARA 2900 TU...?????A HIZI ZOTE NI PROPAGANDA ZA WAATHIRIKA WA UKOSEFU WA VIROBA (UKOVI) wa makao makuu UFIPA......maana akili zao zinawaaminisha wao ndio wangekuwa wameishika NCHII hii MAMBO yangetuendea sawia na TANZANIA ingekuwa mfano wa kuigwa DUNIA nzima....
Maisha ya nibebe ni bembeleze nikuibie yameisha nenden tuuuu
 
WAONDOKE WANAMTISHIA nani????......Kila siku stori zile zile tu.....hizi propaganda za kipuuzi kila kukicha zimetuchosha sasa....
Waliokuwa wanafanya biashara isivyo halali ndio wanaolilia kila siku MAANA WALIZOEA MKATO MNO NA KUIGEUZA NCHI HII SHAMBA LA BIBI.......nendeni uko mnapotaka mnapoona kuna UNAFUU WA MAISHA mtutolee nuksi zenu hapa......kwani uwepo wao kwa sasa umetupa UNAFUU UPI WA MAISHA??/na wakiondoka watatupa unafuu upi au UGUMU upi wa maisha???
Mtuachie nchi yetu tutengeeneze wafanyabiashara wa kesho wenye mapenzi mema na NCHI YETU......
Kwa akili zenu nusu kwani KKOO INA WAFANYA BIASHARA 2900 TU...?????A HIZI ZOTE NI PROPAGANDA..maana akili zao zinawaaminisha wao ndio wangekuwa wameishika NCHII hii MAMBO yangetuendea sawia na TANZANIA ingekuwa mfano wa kuigwa DUNIA nzima....

Hasira za nini mkuu?
 
Unaweza kuta wewe ni mtumishi wa umma.
Hivi unajua mishahara yenu ya mwezi wa pili ilikopwa wapi?
Mtumishi wa umma anajielewa watake radhi,atakuwa kula kulala Kwa shemeji chakula tayari njoo ile,mhangahikaji awaezipost hivo.
 
Nyama zimeshuka bei machinjioni Kutokana na kushuka bei ya ng'ombe vijijini.
Raha sana siku hizi nyama kwangu kama maharage si Mboga nakula kila siku hasa Jioni hivi Niko dogo la kuchomea nyama nyumbani linauzwa Bei gani?
 
Nyama zimeshuka bei machinjioni Kutokana na kushuka bei ya ng'ombe vijijini.
Mbali na kushuka bei sababu ya ukame vijijini, watu hawana uwezo wa kununua nyama sababu ya ugumu wa maisha, kila zama na kitabu chake,atakuja mwingine ataachia,ndo maisha yetu kwenda mbele kurudi nyuma kurudi nyuma kwenda mbele.
 
Mbali na kushuka bei sababu ya ukame vijijini, watu hawana uwezo wa kununua nyama sababu ya ugumu wa maisha, kila zama na kitabu chake,atakuja mwingine ataachia,ndo maisha yetu kwenda mbele kurudi nyuma kurudi nyuma kwenda mbele.
Mkuu hali ya Raia wa Taifa hili lililofilisika ni Mbaya Sana, ni Kila mahali, Watu wana huzuni ktk Nchi Yao
 
Adui wa Uchumi ni kutokusanya kodi, na adui wa kodi informal business sasa cha kushangaza mkuu marafiki na inform.
 
WAONDOKE WANAMTISHIA nani????......Kila siku stori zile zile tu.....hizi propaganda za kipuuzi kila kukicha zimetuchosha sasa....
Waliokuwa wanafanya biashara isivyo halali ndio wanaolilia kila siku MAANA WALIZOEA MKATO MNO NA KUIGEUZA NCHI HII SHAMBA LA BIBI.......nendeni uko mnapotaka mnapoona kuna UNAFUU WA MAISHA mtutolee nuksi zenu hapa......kwani uwepo wao kwa sasa umetupa UNAFUU UPI WA MAISHA??/na wakiondoka watatupa unafuu upi au UGUMU upi wa maisha???
Mtuachie nchi yetu tutengeeneze wafanyabiashara wa kesho wenye mapenzi mema na NCHI YETU......
Kwa akili zenu nusu kwani KKOO INA WAFANYA BIASHARA 2900 TU...?????A HIZI ZOTE NI PROPAGANDA..maana akili zao zinawaaminisha wao ndio wangekuwa wameishika NCHII hii MAMBO yangetuendea sawia na TANZANIA ingekuwa mfano wa kuigwa DUNIA nzima....
Kijana umewahi kufanya biashara yoyote hata ya kuuza mapera ?
 
Back
Top Bottom