TIJARA KWA WALAJI
Wafanyabaishara 2,900 kutoka Ilala wamefunga biashara zao, wengine kuhamia DRC na Msumbiji kutokana na mdororo wa kibiashara- HT @ MWANANCHI
Daah Leo Nimeona Nyama 1Kg inauzwa sh. 5,000/= Kwa Dar es salaam kutoka 8,000/=
Myth.
Kariakoo sokonihiyo nyama ya elfu tano iko wapi!
Ahahahaha
Wafanyabaishara 2,900 kutoka Ilala wamefunga biashara zao, wengine kuhamia DRC na Msumbiji kutokana na mdororo wa kibiashara- HT @ MWANANCHI
Daah Leo Nimeona Nyama 1Kg inauzwa sh. 5,000/= Kwa Dar es salaam kutoka 8,000/=
Myth.
Ukusanye toka wapi wakati matajiri wanatakiwa waishi km mashetani,biashara zinafungwa labda kwenye magari,na Kwa usawa huu watu wanatii sheria ili kukwepa kuchomolewa 30,Adui wa Uchumi ni kutokusanya kodi, na adui wa kodi informal business sasa cha kushangaza mkuu marafiki na inform.
eeeh??? mkuuu embu tupe taarifaUnaweza kuta wewe ni mtumishi wa umma.
Hivi unajua mishahara yenu ya mwezi wa pili ilikopwa wapi?
WAONDOKE WANAMTISHIA nani????......Kila siku stori zile zile tu.....hizi propaganda za kipuuzi kila kukicha zimetuchosha sasa....
Waliokuwa wanafanya biashara isivyo halali ndio wanaolilia kila siku MAANA WALIZOEA MKATO MNO NA KUIGEUZA NCHI HII SHAMBA LA BIBI.......nendeni uko mnapotaka mnapoona kuna UNAFUU WA MAISHA mtutolee nuksi zenu hapa......kwani uwepo wao kwa sasa umetupa UNAFUU UPI WA MAISHA??/na wakiondoka watatupa unafuu upi au UGUMU upi wa maisha???
Mtuachie nchi yetu tutengeeneze wafanyabiashara wa kesho wenye mapenzi mema na NCHI YETU......
Kwa akili zenu nusu kwani KKOO INA WAFANYA BIASHARA 2900 TU...?????A HIZI ZOTE NI PROPAGANDA..maana akili zao zinawaaminisha wao ndio wangekuwa wameishika NCHII hii MAMBO yangetuendea sawia na TANZANIA ingekuwa mfano wa kuigwa DUNIA nzima....
Siku zote Dar kuna nyama ya Daraja la kwanza la pili na la tatu. Sasa wewe 5000 imekushangaza nini na ndio bei ya daraja lako
Wafanyabaishara 2,900 kutoka Ilala wamefunga biashara zao, wengine kuhamia DRC na Msumbiji kutokana na mdororo wa kibiashara- HT @ MWANANCHI
Daah Leo Nimeona Nyama 1Kg inauzwa sh. 5,000/= Kwa Dar es salaam kutoka 8,000/=
Myth.
Tukiongea tunaitwa wachochezieeeh??? mkuuu embu tupe taarifa
ni PmTukiongea tunaitwa wachochezi
tenà huko south anakaà kwenye apartment yake...Kodi wanazolipa ndizo Bashite anazotumbua huko kwa Zuma na kujenga maghorofa na kununua apartment na magari ya kifahari.
Subiri ng'ombewanenepe bei ziongezeke halafu urudi hapa.Mbali na kushuka bei sababu ya ukame vijijini, watu hawana uwezo wa kununua nyama sababu ya ugumu wa maisha, kila zama na kitabu chake,atakuja mwingine ataachia,ndo maisha yetu kwenda mbele kurudi nyuma kurudi nyuma kwenda mbele.
Na lenyewe limeshuka bei ni 1000 tuRaha sana siku hizi nyama kwangu kama maharage si Mboga nakula kila siku hasa Jioni hivi Niko dogo la kuchomea nyama nyumbani linauzwa Bei gani?
Sijui nimekufananisha au? Hivi wewe na Magu ni ndugu, au mlisoma kozi moja? Aisee watu wanafanana!! Kweli duniani wawili wawili!!!Hakuna nchi duniani isiyowataka wafanyabiashara zaidi ya Tanzania..
WAONDOKE WANAMTISHIA nani????......Kila siku stori zile zile tu.....hizi propaganda za kipuuzi kila kukicha zimetuchosha sasa....
Waliokuwa wanafanya biashara isivyo halali ndio wanaolilia kila siku MAANA WALIZOEA MKATO MNO NA KUIGEUZA NCHI HII SHAMBA LA BIBI.......nendeni uko mnapotaka mnapoona kuna UNAFUU WA MAISHA mtutolee nuksi zenu hapa......kwani uwepo wao kwa sasa umetupa UNAFUU UPI WA MAISHA??/na wakiondoka watatupa unafuu upi au UGUMU upi wa maisha???
Mtuachie nchi yetu tutengeeneze wafanyabiashara wa kesho wenye mapenzi mema na NCHI YETU......
Kwa akili zenu nusu kwani KKOO INA WAFANYA BIASHARA 2900 TU...?????A HIZI ZOTE NI PROPAGANDA..maana akili zao zinawaaminisha wao ndio wangekuwa wameishika NCHII hii MAMBO yangetuendea sawia na TANZANIA ingekuwa mfano wa kuigwa DUNIA nzima....
Pumba za LumumbaWAONDOKE WANAMTISHIA nani????......Kila siku stori zile zile tu.....hizi propaganda za kipuuzi kila kukicha zimetuchosha sasa....
Waliokuwa wanafanya biashara isivyo halali ndio wanaolilia kila siku MAANA WALIZOEA MKATO MNO NA KUIGEUZA NCHI HII SHAMBA LA BIBI.......nendeni uko mnapotaka mnapoona kuna UNAFUU WA MAISHA mtutolee nuksi zenu hapa......kwani uwepo wao kwa sasa umetupa UNAFUU UPI WA MAISHA??/na wakiondoka watatupa unafuu upi au UGUMU upi wa maisha???
Mtuachie nchi yetu tutengeeneze wafanyabiashara wa kesho wenye mapenzi mema na NCHI YETU......
Kwa akili zenu nusu kwani KKOO INA WAFANYA BIASHARA 2900 TU...?????A HIZI ZOTE NI PROPAGANDA..maana akili zao zinawaaminisha wao ndio wangekuwa wameishika NCHII hii MAMBO yangetuendea sawia na TANZANIA ingekuwa mfano wa kuigwa DUNIA nzima....
Me mfanyabiashara naongea nijuacho biashara haitoki walaji hawana hela nenda kwenye mabaa ucheckSubiri ng'ombewanenepe bei ziongezeke halafu urudi hapa.
Umetokwa povu jingi, hila mawazo yako bado finyu!!!!!!WAONDOKE WANAMTISHIA nani????......Kila siku stori zile zile tu.....hizi propaganda za kipuuzi kila kukicha zimetuchosha sasa....
Waliokuwa wanafanya biashara isivyo halali ndio wanaolilia kila siku MAANA WALIZOEA MKATO MNO NA KUIGEUZA NCHI HII SHAMBA LA BIBI.......nendeni uko mnapotaka mnapoona kuna UNAFUU WA MAISHA mtutolee nuksi zenu hapa......kwani uwepo wao kwa sasa umetupa UNAFUU UPI WA MAISHA??/na wakiondoka watatupa unafuu upi au UGUMU upi wa maisha???
Mtuachie nchi yetu tutengeeneze wafanyabiashara wa kesho wenye mapenzi mema na NCHI YETU......
Kwa akili zenu nusu kwani KKOO INA WAFANYA BIASHARA 2900 TU...?????A HIZI ZOTE NI PROPAGANDA..maana akili zao zinawaaminisha wao ndio wangekuwa wameishika NCHII hii MAMBO yangetuendea sawia na TANZANIA ingekuwa mfano wa kuigwa DUNIA nzima....
Hatari sana. Nakiona kipindi kigumu sana cha mkuu huko mbeleni. Na kitu kibaya zaidi, PR yake na development partners haipo vizuri na hao DP wameshajua kwamba jamaa siye.Ukusanye toka wapi wakati matajiri wanatakiwa waishi km mashetani,biashara zinafungwa labda kwenye magari,na Kwa usawa huu watu wanatii sheria ili kukwepa kuchomolewa 30,