Wafanyabiashara: Chanzo la tatizo Kariakoo ni Kitengo cha Forodha Bandarini, Mawaziri hawamsaidii Rais

Wafanyabiashara: Chanzo la tatizo Kariakoo ni Kitengo cha Forodha Bandarini, Mawaziri hawamsaidii Rais

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
1684151389535.png

Naibu Katibu Mkuu Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Mkoa wa Dar es Salaam, Muliro amesema: “Changamoto ya Kariakoo chanzo ni Bandarini kwenye kitengo cha Forodha, pale mifumo ya kodi si rafiki, ukitaja thamani ya kodi halisi hauwezi kutoa mzigo.

Kinachofuata unashirikiana na makamishna wa Forodha mnadanganya kwa pamoja, mfano mzigo wa Tsh. Milioni 300 mnasema una thamani ya Tsh. Milioni 80, hivyo ukishadanganya Bandarini ukija kwenye soko unashindwa kuandika uhalisia kwenye Mashine ya EFD, matokeo yake inatokea kamatakamata.

Tumeshafikisha malalamiko kwa Waziri wa Fedha na Waziri wa Viwanda lakini ni kama wanamtesa Rais kwa kuwa hawamsaidii ipasavyo.

Serikali irudi Bandarini ikaboreshe, sasa hivi Afisa wa Kodi anaweza kuamka akasema hana hela, akiingia mtaani kwenye kamatakamata hawezi kukosi si chini ya Tsh. Milioni 5
 
Waziri wa Uwekezaji, Biashara na Viwanda Dk Ashatu Kijaji Huyu ni bomu.
Hata PhD yake Nina wasi wasi nayo.
Haka ka mama kana bahati tu ila utendaji sifuri.Kanadhani jinsia yake itaendelea kukasaidia kubaki kwenye uwaziri daima
 
Mbona tunaandamana kwa sababu sisi wenye maduka tunalipa kodi wakati kuna wajanja wenye ma store hawalipi kodi
Nguo zinauziw store bei kubwa na hawalipi kodi. It's not fair at all wanaharibu biashara sana. .
 
Hii inamaanisha nini? Enzi za Jiwe;
  • Uchumi ulikuwa mbaya sana mpaka wafanyabiashara wakashindwa kugoma?
  • Waliogoma kugoma kwakuwa walitishwa?
  • Hali ilikuwa shwari sana na haswa kwa wanyonge?

Kwa nchi iliyofunguliwa, serikali inayoupiga mwingi, neema kila kona, ajira kede kede, NINI kinatokea hapa, HUJUMA?
  • Huko bandarini si ndo wanamtoa TICTS ili kumuweka mtu wao? Waliwezaje kuona kkna hiyo tu wasiangalie na hiyo FORODHA?
  • Mkuu wa TRA ni yupi kwani, yule aliyetumbuliwa kipindi fulani? Sababu za kutumbuliwa kwake ziliwekwa wazi? Ni genuine?
  • Waziri wa fedha, hajawahi tumbuliwa?
  • Ripoti ya soko kuungua inasemaje?

Bado kwenye chakula kule, dalili sio nzuri nasikia, wakulima wanasema msimu wa mavuno ndo huu lakini wanashangaa bei hazishuki!
 
Naibu Katibu Mkuu Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Mkoa wa Dar es Salaam, Muliro amesema: “Changamoto ya Kariakoo chanzo ni Bandarini kwenye kitengo cha Forodha, pale mifumo ya kodi si rafiki, ukitaja thamani ya kodi halisi hauwezi kutoa mzigo.

Kinachofuata unashirikiana na makamishna wa Forodha mnadanganya kwa pamoja, mfano mzigo wa Tsh. Milioni 300 mnasema una thamani ya Tsh. Milioni 80, hivyo ukishadanganya Bandarini ukija kwenye soko unashindwa kuandika uhalisia kwenye Mashine ya EFD, matokeo yake inatokea kamatakamata.

Tumeshafikisha malalamiko kwa Waziri wa Fedha na Waziri wa Viwanda lakini ni kama wanamtesa Rais kwa kuwa hawamsaidii ipasavyo.

Serikali irudi Bandarini ikaboreshe, sasa hivi Afisa wa Kodi anaweza kuamka akasema hana hela, akiingia mtaani kwenye kamatakamata hawezi kukosi si chini ya Tsh. Milioni 5
Tatizo ni kitengo cha forodha bandarini, idara ya ushuru na forodha, ama ni TRA kwa ujumla!? Kama suala lenye kadhia kwa wafanyabiashara linawahusu pia makamishina wa kodi (ushuru na forodha???), basi hilo litakuwa ni tatizo la kiidara, lakini kama ni kitengo fulani cha forodha bandarini, basi tatizo litakuwa ni la meneja na "officer in charge" wa kitengo husika, ingawaje ukweli ni kwamba kuna vitengo mbalimbali vya forodha pale bandarini.
 
Rushwa Bandarini itaondolewa wakati CCM itakapo ondolewa madarakani wameshashindwa kuongoza Nchi wamebakia kuiba na kujilimbikizia mali tu.
UONGO BHANA HUO UONGO kwani hatujui wengi wa maafisa wa TRA ni wachaga na wote lao na Mbowe na CHADEMA ni moja- kuikosanyisha seriakli ya CCM na wananchi. KATAA SASA
 
Waziri wa Uwekezaji, Biashara na Viwanda Dk Ashatu Kijaji Huyu ni bomu.
Hata PhD yake Nina wasi wasi nayo.
Tusipo tengeneza strong institution....hata aje malaika usitegemee ataweza kuongoza.....................

Ulicho andika ni insult Kwa Dr.Ashatu kijaji kuhusu PhD

Nacho amini na kukijua tusipo tengeneza strong institution.......
HATA,
WEWE UNAE JINASIBU NA KUTYPE HAPA UKIPEWA UKAONGOZE UTADONDOKEA PUA......

9 December 2023 tunafikisha miaka 62 ya Uhuru wa TANGANYIKA still tumethubutu, tumeshindwa, tujipange kama taifa....
 
Naibu Katibu Mkuu Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Mkoa wa Dar es Salaam, Muliro amesema: “Changamoto ya Kariakoo chanzo ni Bandarini kwenye kitengo cha Forodha, pale mifumo ya kodi si rafiki, ukitaja thamani ya kodi halisi hauwezi kutoa mzigo.

Kinachofuata unashirikiana na makamishna wa Forodha mnadanganya kwa pamoja, mfano mzigo wa Tsh. Milioni 300 mnasema una thamani ya Tsh. Milioni 80, hivyo ukishadanganya Bandarini ukija kwenye soko unashindwa kuandika uhalisia kwenye Mashine ya EFD, matokeo yake inatokea kamatakamata.

Tumeshafikisha malalamiko kwa Waziri wa Fedha na Waziri wa Viwanda lakini ni kama wanamtesa Rais kwa kuwa hawamsaidii ipasavyo.

Serikali irudi Bandarini ikaboreshe, sasa hivi Afisa wa Kodi anaweza kuamka akasema hana hela, akiingia mtaani kwenye kamatakamata hawezi kukosi si chini ya Tsh. Milioni 5
Kama wanaona wafanya biashara waongo basi watengeze bidhaa zote hapa nchini wataona kama kunamtu ataagiza nje au waagize wenyewe wauze wenyewe kilakitu wafanye wao kama wanashindwa kuamini wafanyabiashara utafikiri mitaji wamewapa wao.
 

Naibu Katibu Mkuu Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Mkoa wa Dar es Salaam, Muliro amesema: “Changamoto ya Kariakoo chanzo ni Bandarini kwenye kitengo cha Forodha, pale mifumo ya kodi si rafiki, ukitaja thamani ya kodi halisi hauwezi kutoa mzigo.

Kinachofuata unashirikiana na makamishna wa Forodha mnadanganya kwa pamoja, mfano mzigo wa Tsh. Milioni 300 mnasema una thamani ya Tsh. Milioni 80, hivyo ukishadanganya Bandarini ukija kwenye soko unashindwa kuandika uhalisia kwenye Mashine ya EFD, matokeo yake inatokea kamatakamata.

Tumeshafikisha malalamiko kwa Waziri wa Fedha na Waziri wa Viwanda lakini ni kama wanamtesa Rais kwa kuwa hawamsaidii ipasavyo.

Serikali irudi Bandarini ikaboreshe, sasa hivi Afisa wa Kodi anaweza kuamka akasema hana hela, akiingia mtaani kwenye kamatakamata hawezi kukosi si chini ya Tsh. Milioni 5
Raisi mwenyewe amesema anataka kusaidiwa
 
Back
Top Bottom