Wafanyabiashara: Chanzo la tatizo Kariakoo ni Kitengo cha Forodha Bandarini, Mawaziri hawamsaidii Rais

Strong isitution unajengaje kwa kizazi hik cha walarushwa .strong situation lazima uwapate watu strong ndo watatrngenezs strong institutional
 
UONGO BHANA HUO UONGO kwani hatujui wengi wa maafisa wa TRA ni wachaga na wote lao na Mbowe na CHADEMA ni moja- kuikosanyisha seriakli ya CCM na wananchi. KATAA SASA
Fikra duni kabisa
 
Ndio tatizo la kupeana kazi kwa kubebana wakati sifa hawana
 
Kila siku Rais anaonekana hana makosa aiseeee
 
Fikra duni kabisa
Ukiangalia juu juu uko sawa lakini kwa ndani ukichugunza sana utaelewa. Kama siyo akiliya KICHADEMA CHADEMA Afisa wa TRA unawezaje kuliita agizo la rais maneno ya jukwaani?
 
Sasa hivi bandari inamilik8wa na Kikwete kupitia Gharib wa GSM na kampuni yake ya Silent Ocean zamani ikiitwa Home Shopping Center.
 
Sio mawaziri hawamsaidii... Kama mpka wewe huko umelijua hili unadhani yeye hajui? Hapa analakujibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…