Wafanyabiashara fursa ya kupandisha vitu bei wameitumia vizuri. Naona wako fasta sana, kila kitu kimepanda

Wafanyabiashara fursa ya kupandisha vitu bei wameitumia vizuri. Naona wako fasta sana, kila kitu kimepanda

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Wafanyabiashara wetu kweli hamna huruma maana vitu vimepanda na mnashindana kupandisha bei kweli.

Hata kama mafuta yamepanda ila mbona nauli za magari azijapanda? Na pia kuna bidhaa tu za humu ndani ambazo hata hazitoki nje nazo mmeoandisha maradufu.

Ila sawa tu, tutaishi tu amtukomoi
 
Huku kwetu
nyama 10000/=
sukari 3000/=
unga wa dona 1200/=
unga wa ngano 2000/=
mafuta utajaza mwenyewe

mtaani vitafunio wanapika kwa uchache vinaisha mapema tu ukiendaa saa tano upati kitu.

nimekasirika sana leo nimtuma mdogo wangu nyama nusu anarudi anasema ela haitoshii nyama elfu tano... yani kuku wa broiler wanakuwa bei rahisi kuliko nyama ya ng'ombe. shenzi sana!


Endeleeni kusema mama anaupiga mwingi
 
Back
Top Bottom