Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
ππππKatika sehemu pakishenz mbagala yani ukitoka temeke unaenda mbagala ukifika unaweza tapika yote aliyataka jiwe kuruhusu watu kufanya bizness hovyo hovyo
Chadema baada ya wamachinga kuwapiga chini Sasa mshawageuza maaduiNimepita Mbagala wiki hii nikielekea kwenye Shamba langu Mkuranga, Hakika Mbagala ni Nchi nyingine kabisa, Utaratibu wao wa kuishi ni tofauti kabisa na Utaratibu wa Tanzania.
Wamachinga wamepanga bidhaa kuanzia kwenye milango ya maduka ya watu hadi katikati ya Barabara bila wasiwasi wowote, Wala hawaogopi hata milango ya Benki! yaani ni kama Mbagala haina serikali yoyote ile na ni kama hakuna mgambo wala polisi, Kumbukeni hawa Wamachinga hawalipi kodi yoyote ile, Ugali wa Mama Lishe unasongewa barabarani na magari yanasubiri msongaji amalize ndio yapite, Hili kwangu ni jambo la Ajabu mno!
Marafiki zangu wa kihindi wanaofanya biashara eneo hilo nilipowahoji kuhusu hali hiyo wamenieleza kwamba wanatishwa kulogwa ikiwa watafanya kampeni yoyote ya kuwazuia walioziba Milango yao!
Taarifa za chini chini zinaeleza kwamba Meya wa Eneo hilo, ambaye anatajwa kutisha kwa Ushirikina ndiye mlinzi wa Kwanza wa mambo hayo, anaunga mkono kila uchafu wa Wamachinga bla kujali athari zake, Kimsingi Wafanyabiashara wa Mbagala wanachosubiri ni kudura za Mungu, Hali yao ni mbaya kuliko nilichoandika.
Huwezi kuwa na nyumba London na Tandika, yaani una nyumba Mbinguni na Somalia?Sijawahi kuishi Mbagala, miaka yote niko nyumbani kwangu Tandika Mwembeyanga, nina nyumba 2 Kyela, moja Londan, moja Maryland, moja Ottawa na moja Johannesburg
Baada ya wewe kuandika haya utawasaidia kwa lipi!Nimepita Mbagala wiki hii nikielekea kwenye Shamba langu Mkuranga, Hakika Mbagala ni Nchi nyingine kabisa, Utaratibu wao wa kuishi ni tofauti kabisa na Utaratibu wa Tanzania.
Wamachinga wamepanga bidhaa kuanzia kwenye milango ya maduka ya watu hadi katikati ya Barabara bila wasiwasi wowote, Wala hawaogopi hata milango ya Benki! yaani ni kama Mbagala haina serikali yoyote ile na ni kama hakuna mgambo wala polisi, Kumbukeni hawa Wamachinga hawalipi kodi yoyote ile, Ugali wa Mama Lishe unasongewa barabarani na magari yanasubiri msongaji amalize ndio yapite, Hili kwangu ni jambo la Ajabu mno!
Marafiki zangu wa kihindi wanaofanya biashara eneo hilo nilipowahoji kuhusu hali hiyo wamenieleza kwamba wanatishwa kulogwa ikiwa watafanya kampeni yoyote ya kuwazuia walioziba Milango yao!
Taarifa za chini chini zinaeleza kwamba Meya wa Eneo hilo, ambaye anatajwa kutisha kwa Ushirikina ndiye mlinzi wa Kwanza wa mambo hayo, anaunga mkono kila uchafu wa Wamachinga bla kujali athari zake, Kimsingi Wafanyabiashara wa Mbagala wanachosubiri ni kudura za Mungu, Hali yao ni mbaya kuliko nilichoandika.
Huyu mama muongo muongo sanaHuwezi kuwa na nyumba London na Tandika, yaani una nyumba Mbinguni na Somalia?
Mbagala ni kero.Mkuu hebu jaribu siku moja kupita Mbagala, hakuna serikali kabisa!
Wanalipa ushuruMachinga wanalipa kodi?
bei gani?Wanalipa ushuru
Ni kuhakikisha Machinga wanaondolewa kwenye milango yalBaada ya wewe kuandika haya utawasaidia kwa lipi!
Wewe ni mtekaji na mtu usiyejulikana unaombea wamachinga waondolewe ili wateseke!Ni kuhakikisha Machinga wanaondolewa kwenye milango yal
Serikali ime-collapse siku nyingi. Kipande kidogo cha serikali kilichobaki wima ni kile kinachohusika na uuaji, utesaji, ukandamizaji na propanda ili watawala wachache waendelee kufaidi. Iko siku kila mtu ataelewa maana ya maneno haya.Kiukweli watanzania wengi tunalalamika viongozi hawafuati sheria ila sisi pia ni wavunjifu wakubwa. Hao machinga wakiondolewa kwa nguvu watalalamika kwa kutumia kisingizio cha unyonge na umaskini. Pia watapata watetezi wengi wakiwemo baadhi ya wapinzani. Serikali ifanye maamuzi magumu.