Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo sio hao wamachinga tatizo ni serikali yetu haijui kutumia rasilimali watu. Baadae nitafafanua vizuriNimepita Mbagala wiki hii nikielekea kwenye Shamba langu Mkuranga, Hakika Mbagala ni Nchi nyingine kabisa, Utaratibu wao wa kuishi ni tofauti kabisa na Utaratibu wa Tanzania.
Wamachinga wamepanga bidhaa kuanzia kwenye milango ya maduka ya watu hadi katikati ya Barabara bila wasiwasi wowote, Wala hawaogopi hata milango ya Benki! yaani ni kama Mbagala haina serikali yoyote ile na ni kama hakuna mgambo wala polisi, Kumbukeni hawa Wamachinga hawalipi kodi yoyote ile, Ugali wa Mama Lishe unasongewa barabarani na magari yanasubiri msongaji amalize ndio yapite, Hili kwangu ni jambo la Ajabu mno!
Marafiki zangu wa kihindi wanaofanya biashara eneo hilo nilipowahoji kuhusu hali hiyo wamenieleza kwamba wanatishwa kulogwa ikiwa watafanya kampeni yoyote ya kuwazuia walioziba Milango yao!
Taarifa za chini chini zinaeleza kwamba Meya wa Eneo hilo, ambaye anatajwa kutisha kwa Ushirikina ndiye mlinzi wa Kwanza wa mambo hayo, anaunga mkono kila uchafu wa Wamachinga bla kujali athari zake, Kimsingi Wafanyabiashara wa Mbagala wanachosubiri ni kudura za Mungu, Hali yao ni mbaya kuliko nilichoandika.
umeandika baadhi ya yale niliyotaka kusema. Na hiyo ndio njia wanayotumia hao wenye maduka makubwa kukwepa kodi maana wanasingizia wamachinga wakati wamachinga ndo wateja na wauzaji wa biashara zaoUsichojua wale MACHINGA wengi wao pale wanachukua mzigo kutoka kwenye maduka makubwa hapohapo ndiyo wanaenda kuuza kwa makubaliano kifupi zile biashara ni zawenye maduka makubwa palepale wale MACHINGA ni wauzaji tu wakiuza pesa wanapeleka kwa wenye maduka wao wanapewa chochote kitu
Hii hoja haina Mashiko, unawezaje kuwapa mali yako ya thamani watu usiowajua?umeandika baadhi ya yale niliyotaka kusema. Na hiyo ndio njia wanayotumia hao wenye maduka makubwa kukwepa kodi maana wanasingizia wamachinga wakati wamachinga ndo wateja na wauzaji wa biashara zao
Sasa hivi serikali haiwezi kufanya lolote! Mwaka huu na mwaka kesho ni kura mkuu!Kiukweli watanzania wengi tunalalamika viongozi hawafuati sheria ila sisi pia ni wavunjifu wakubwa. Hao machinga wakiondolewa kwa nguvu watalalamika kwa kutumia kisingizio cha unyonge na umaskini. Pia watapata watetezi wengi wakiwemo baadhi ya wapinzani. Serikali ifanye maamuzi magumu.
Si kweli, Mtu ana duka la Dawa, Mlangoni kwake kumejaa Mama lishe na Wauza Dagaa Mchele, unataka tuamini hiyo nayo ni biashara yake?izo biashara ni za hao wenye maduka.
Mbagala ipi hiyo yenye maduka ya wahindi? Barabara ya kuelekea wapi hiyo inayozibwa na mama ntilienwasonga ugali?Nimepita Mbagala wiki hii nikielekea kwenye Shamba langu Mkuranga, Hakika Mbagala ni Nchi nyingine kabisa, Utaratibu wao wa kuishi ni tofauti kabisa na Utaratibu wa Tanzania.
Wamachinga wamepanga bidhaa kuanzia kwenye milango ya maduka ya watu hadi katikati ya Barabara bila wasiwasi wowote, Wala hawaogopi hata milango ya Benki! yaani ni kama Mbagala haina serikali yoyote ile na ni kama hakuna mgambo wala polisi, Kumbukeni hawa Wamachinga hawalipi kodi yoyote ile, Ugali wa Mama Lishe unasongewa barabarani na magari yanasubiri msongaji amalize ndio yapite, Hili kwangu ni jambo la Ajabu mno!
Marafiki zangu wa kihindi wanaofanya biashara eneo hilo nilipowahoji kuhusu hali hiyo wamenieleza kwamba wanatishwa kulogwa ikiwa watafanya kampeni yoyote ya kuwazuia walioziba Milango yao!
Taarifa za chini chini zinaeleza kwamba Meya wa Eneo hilo, ambaye anatajwa kutisha kwa Ushirikina ndiye mlinzi wa Kwanza wa mambo hayo, anaunga mkono kila uchafu wa Wamachinga bla kujali athari zake, Kimsingi Wafanyabiashara wa Mbagala wanachosubiri ni kudura za Mungu, Hali yao ni mbaya kuliko nilichoandika.
Mada ya leo ni Mbagala, kariakoo tutakuja.Mbagala ipi hiyo yenye maduka ya wahindi? Barabara ya kuelekea wapi hiyo inayozibwa na mama ntilienwasonga ugali?
Meya yupi huyo mwenye mamlaka ya kuzuia vyombo vya Dola kutekeleza Sheria za nchi?
Fika kariakoo uone machiga wa pale ndio urudintena
hahahahahahahahahahahahahah....hatar sana mkuu.Sijawahi kuishi Mbagala, miaka yote niko nyumbani kwangu Tandika Mwembeyanga, nina nyumba 2 Kyela, moja Londan, moja Maryland, moja Ottawa na moja Johannesburg
Na mle ndani ya gereza la Keko nilikokukuta juzi ulikuwa unafanya nini?Sijawahi kuishi Mbagala, miaka yote niko nyumbani kwangu Tandika Mwembeyanga, nina nyumba 2 Kyela, moja Londan, moja Maryland, moja Ottawa na moja Johannesburg
😆😆😆😆Wanatishwa kurogwa kwamba hawapajui kigoma au mtwara 🤔🤔
Huwa nasaidia kuwalipia faini WafungwaNa mle ndani ya gereza la Keko nilikokukuta juzi ulikuwa unafanya nini?