Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Nimeyasoma madai ya wafanyabiashara yanayouzunguka mtandaoni(ambayo yaka kama 14) na nimeona mengi hayana mashiko, hayaeleweki au ni vigumu kutekelezeka. Halafu madai ni mengi mno kiasi kwamba inakuwa vigumu kofocus kwenye mambo yapi ni muhimu. Pia kuna mambo yanawahusu wafanyabiashara wenyewe kutimiza wajibu ambayo nayo lazima yazingatiwe na wafanyabiashara
Ili kujikita katika mambo muhimu iltakiwa haya yadaiwe, yafanyike au yatekelezwe;
1. VAT upande Tanzania bara ipunguzwe kuwa 15% kama ilivyo Zanzibar
2. Winga na wamachinga wanouza barabarani mbele ya maduka/fremu hasa Kariakoo waondolewe.
3. Wafanyabiashara WOTE mtoe risiti halali kwa wateja
Madai yasiyo na mashiko ni kama haya;
1. Service levy itolowe- Kwa nini mnataka itolewe
2. Kodi ya TV- hii itakuwa imewekwa kwa sababu ya ugumu wa kukusanya kodi ya sanaa nchi hii
3. Faini iwe kama kwenye magari- Hili haliwezekani kwa sababu mapato ya gari yanafahamika kutokana na idadi ya siti lakini mapato ya duka huwa yanabadilika sana
4. Kodi zote ziwe kapu moja- Hili haliwezekani, duniani kote huwa kuna mamlaka tofauti ya kutoza kodi
5. Risiti sio kodi- Hili ni dai la kijinga, risiti lazima zitolewe kwa wateja
6. Ukomo wa kodi ya makadirio- Hili ni dai la kijinga, makadirio lazima yaendane na ukubwa wa biashara.
Madai mengi mengi ya kamatakamata, hesabu kukataliwa n.k ni masuala ya utendaji zaidi wa TRA, mamlaka nyingine za udhibiti na pia mfumo mzima wa biashara usio na mazingira rafiki ambao unahitaji mabadiliko makubwa ya kimfumo, sera, utendaji na usimamizi kwa kuhusisha wadau wengi.
Ili kujikita katika mambo muhimu iltakiwa haya yadaiwe, yafanyike au yatekelezwe;
1. VAT upande Tanzania bara ipunguzwe kuwa 15% kama ilivyo Zanzibar
2. Winga na wamachinga wanouza barabarani mbele ya maduka/fremu hasa Kariakoo waondolewe.
3. Wafanyabiashara WOTE mtoe risiti halali kwa wateja
Madai yasiyo na mashiko ni kama haya;
1. Service levy itolowe- Kwa nini mnataka itolewe
2. Kodi ya TV- hii itakuwa imewekwa kwa sababu ya ugumu wa kukusanya kodi ya sanaa nchi hii
3. Faini iwe kama kwenye magari- Hili haliwezekani kwa sababu mapato ya gari yanafahamika kutokana na idadi ya siti lakini mapato ya duka huwa yanabadilika sana
4. Kodi zote ziwe kapu moja- Hili haliwezekani, duniani kote huwa kuna mamlaka tofauti ya kutoza kodi
5. Risiti sio kodi- Hili ni dai la kijinga, risiti lazima zitolewe kwa wateja
6. Ukomo wa kodi ya makadirio- Hili ni dai la kijinga, makadirio lazima yaendane na ukubwa wa biashara.
Madai mengi mengi ya kamatakamata, hesabu kukataliwa n.k ni masuala ya utendaji zaidi wa TRA, mamlaka nyingine za udhibiti na pia mfumo mzima wa biashara usio na mazingira rafiki ambao unahitaji mabadiliko makubwa ya kimfumo, sera, utendaji na usimamizi kwa kuhusisha wadau wengi.