baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Service levy kwa sisi wafanyabiashara sio issue sana ila usumbufu wake sasa, sijui utoe risiti ucaclulate, then uende mpaka ofisi ya jiji kule ukapange foleni, sometime unapoteza siku nzima, inshort hii kodi wafanyakazi wa jiji hadi wanaosimamia usafi ambao hata haiwahusu wanaitumia kama kichaka cha kuwaomba Rushwa wafanyabiashara, kuna Dai jengine lina sema kodi zijumuishwe, idumbukizwe huko.Madai yasiyo na mashiko ni kama haya;
1. Service levy itolowe- Kwa nini mnataka itolewe
Faini ya sasa ni 1.5M+ sometime 3M+ usipotoa risiti, na kuna tetesi wanataka waiongeze. definition ya kutotoa risiti ni pana sana, anaweza akapita Afisa Tra akawaSha Machine yako ambayo asubuhi ilikua inafanya kazi ila for some reason imegoma mchana, kama jana yake ni jpili ama huku toa Z report anahesabu umekaa na machine mbovu zaidi ya masaa 24 unaandikiwa ulikua unauza bila kutoa risiti,2.Kodi ya TV- hii itakuwa imewekwa kwa sababu ya ugumu wa kukusanya kodi ya sanaa nchi hii
3. Faini iwe kama kwenye magari- Hili haliwezekani kwa sababu mapato ya gari yanafahamika kutokana na idadi ya siti lakini mapato ya duka huwa yanabadilika sana
Mimi binafsi nilipigwa fine ya kutotoa risiti kwa kosa la kuchelewa ku update machine, unakuta makadirio ya mwaka 1m ila fine zaidi ya makadirio ya mwaka haimake sense kabisa.
Ila zinaweza kulipwa pamoja, mfanya biashara wa Kariakoo ni one man army, aamke saa 11 asubuhi awahi dukani sometime hadi usiku yupo dukani, anapata wapi muda wa kupanga foleni kila ofisi? Nini kinawashinda Serikali kutengeneza Wallet ama njia ya malipo ikaunganishwa na Tin no? Ikajumuisha madeni yako yote ukawa unalipa pamoja? Just imagine kwa siku unaingiza laki na kitu ila sababu ya kikodi kisicho na mbele wala nyuma uache kazi siku hio upange foleni kulipa 20,000.4.Kodi zote ziwe kapu moja- Hili haliwezekani, duniani kote huwa kuna mamlaka tofauti ya kutoza kodi
Hili suala niliwahi kuliongelea uzi mwengine, mfanyabiashara unakuta hatoi risiti mizigo yote ila still kodi anayo lipa ni hata 40% ya kipato chake, kuna watu wanalia humu kila siku, maoni yangu binafsi watoe kodi kwa wafanyabiashara wa kawaida waweke Tozo, watengeneze database ya bidhaa mfano Tozo ya pochi 1,000 umeuza pochi 10 kwa siku basi kuwe na 10,000 ya serikali ikiwezekana ilipwe siku hio hio kupitia wallet ya serikali.5.Risiti sio kodi- Hili ni dai la kijinga, risiti lazima zitolewe kwa wateja
Hali ya sasa wafanyabiashara wanaumia hasa wenye frame, unapewa mzigo kwa 98,000 unauza 100,000 faida yako ni 2000 ila ukitoa Risiti kule Tra inasoma 100,000 na unatakiwa uilipie kodi ambayo ni zaidi ya serikali inayotakiwa kuchukua sababu kodi halali ilitakiwa ikatwe kwenye 2,000. kutokana na udogo wa biashara na kutokuwa na mahesabu ya VAT plus mapapa wenye mizigo kuwapa maduka mizigo bila risiti hali ya mfanyabiashara wa frame inakua ngumu.
Kifupi mkuu hapo vimeandikwa tu kwa shortcut kila mtu ana tabu zake, tuache kukopi mifumo ya Ulaya tu innovate kutokana na hali zetu, tupanue wigo wa kodi kwa kuhakiki Sha watu wengi zaidi wanalipa kodi badala kung'ang'ania wachache wanaolipa walipe kingi zaidi.6. Ukomo wa kodi ya makadirio- Hili ni dai la kijinga, makadirio lazima yaendane na ukubwa wa biashara.
Madai mengi mengi ya kamatakamata, hesabu kukataliwa n.k ni masuala ya utendaji zaidi wa TRA, mamlaka nyingine za udhibiti na pia mfumo mzima wa biashara usio na mazingira rafiki ambao unahitaji mabadiliko makubwa ya kimfumo, sera, utendaji na usimamizi kwa kuhusisha wadau wengi.