Wafanyabiashara Kariakoo: Jengo lililoanguka Kariakoo halikubeba tani 850. Hii inamaanisha Rais alipewa taarifa zisizo sahihi?

Wafanyabiashara Kariakoo: Jengo lililoanguka Kariakoo halikubeba tani 850. Hii inamaanisha Rais alipewa taarifa zisizo sahihi?

Tiles, Container 200 ni zaidi ya Tani 4000 nyie Jamaa hizo hesabu mnapiga vipi? Mfanyabiashara huwa haachi kilo zake ovyo ovyo, kama bidhaa ni nyepesi atatumia 40 feet ili mzigo uwe mwingi zaidi.

Hata hizo nguo ushawahi kuona zikishushwa, njoo Swahili Mchikichi wanashusha CBM za boxer hapa uone, Binadamu habebi, zimekuwa pressed vibaya mno inabidi watu karibia 6 kusukuma then wanakata ndio wakinga wanagawana.
Aisee, umenifumbua nisivokuwa navijuwa
 
Twenty fit Nina hadi Bill of landing kama unataka ushahid container 8 za tiles nimezisimamia mwenyewe container hadi container zote 8 zinaingia stoo, na kila container inazidi tani 20.
Ndio nasema inategemea na mzigo lakin hakuna ghorofa inaweza kubeba container 32 eti tani 850 na ikahimili kkkoo. Huo ni uongo
 
We ndio wa kuhtaji machimbo mi nipo kkoo. Hakuna mchina mwenye godown kkoo zaid floor na mzigo unakuta ni viatu vya kitoto ambavyo sio vizito.
Hivi ni vya kitoto,vyepesi!?
 

Attachments

  • IMG-20241212-WA0010.jpg
    IMG-20241212-WA0010.jpg
    122.5 KB · Views: 1

Hapo jamaa kapiga calculation ya live load ghorofa 10 kwa tani 1800,
Ghorofa nyingi kkoo ni za kidaressalam haziko katika viwango vya kimataifa. So kwa jins tu zilivyojengwa haziwez kamwe kuhimili huo mzigo
 
wasilete
Wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo wamehoji juu ya usahihi wa takwimu alizopewa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan @samia_suluhu_hassan kuwa jengo la ghorofa lililoanguka Kariakoo Novemba 16, 2024 lilikuwa limebeba mizigo ya tani 850.

Akizungumza leo Februari 04, 2025 katika uzinduzi wa Balozi Jengo, Fredrick Lutindi ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Kariakoo amesema “wakati Mheshimwa Rais anaongea kuna takwimu alizitaja mimi na wafanyabiashara wengi tulishtuka kidogo kwamba jengo lile lililodondoka lilikuwa limebeba tani 850 sasa tani mia nane kwa kawaida Kariakoo hatuna jengo lenye uwezo wa kubeba tani hizo”

Wafanyabiashara hao wamemuomba Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda kusaidia kufuatilia ili Rais apewe taarifa zilizo sahihi hasa hizo za kiwango cha mizigo kilichobebwa kwenye jengo lililoanguka.

View attachment 3225041wa
wasituletee porojo ktk mambo ya kitaalam. Watuambie lilikuwa limebeba uzito kiasi gani.
 
Wewe kaa kimya nyie ndo vichwa maji mnapokea kila ujinga unaotolewa!
Jengo lina floor tatu libebe tani 850 hivi uko na akili kweli au umejaza usaha kichwani huko!
we acha kutumia makalio kufikiri hiyo kazi imefanywa na wataalam kutumia vyombo vya kisasa
 
Hivi ni vya kitoto,vyepesi!?
Nyepes sana hii ni pvc chief angalia kwenye box hapo watakuambia ni kg ngapi. Narudia kukuambia hakuna ghorofa kkoo inaweza kuchukua conteiner 32 tani 850 na ikawa salama. Ujenz wetu tunaujua.
 
Nyepes sana hii ni pvc chief angalia kwenye box hapo watakuambia ni kg ngapi. Narudia kukuambia hakuna ghorofa kkoo inaweza kuchukua conteiner 32 tani 850 na ikawa salama. Ujenz wetu tunaujua.
Mwanzo ulisema kuna viatu vya watoto,nimekuwekea vya watu wazima,unadai chepesi,ulivibeba wewe kupandisha ghorofa ya kumi?..mizigo ya viatu iliyopo ghorofa zingine kwenye hili jengo umeiona!?..acha ujuaji
 
Mwanzo ulisema kuna viatu vya watoto,nimekuwekea vya watu wazima,unadai chepesi,ulivibeba wewe kupandisha ghorofa ya kumi?..mizigo ya viatu iliyopo ghorofa zingine kwenye hili jengo umeiona!?..acha ujuaji
Pvc ni nzito? We vip hiyo sendo uliyotuma hapo haifiki 25 ni za shamba la bibi hilo ni local by material ambayo ni nyepesi sana. Bro mi ninayo nyumba hapa kkoo na naweka mizigo kwenye floor nachokuambia kwa ujenz huu wa kitanzania hasa kkoo hakuna nyumba inaweza kuchukua makasha 32 yaan tano 850 ni isianguke. Ndio maana nikakuambia nionyeshe mchina mmoja mwenye hiyo godown ya tani 850 kkoo. wachina wengi wenye mizigo store mara nyingi ni viatu vya kitoto na mokasini wanakuwa na godown chang'ombe huko nk. Usifanye mchezo na tani 850 mzee. Hiyo nyumba cjui utaweka nondo mlmt ngap na kwa ukubwa upi ibalance.
 
kumbe ufuta? Kaa kimya hakuna unalojua.
Sawa, tani 12,000 za ufuta nadeal nazo halafu unaniambia hakuna ninalojua!!??

Wewe utakuwa mmojawapo wa wale wanaoamini kuwa kilo moja ya pamba ni nzito kuliko kilo moja ya mahindi!!!
 
Back
Top Bottom