DOKEZO Wafanyabiashara Kibaha tunaishi kama digidigi, tunawakimbia Halmashauri ambao wanafunga maduka yetu

DOKEZO Wafanyabiashara Kibaha tunaishi kama digidigi, tunawakimbia Halmashauri ambao wanafunga maduka yetu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Nyakijooga

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
276
Reaction score
473
Halmashauri ya Kibaha Mjini imeanzisha oparesheni kamata kamata na kufunga biashara tangu wiki iliyopita.

Wanafika kwenye sehemu za biashara wakikuta unadaiwa kiasi chochote kile wanakutoa kwenye biashara yako, wanafunga na makufuli makubwa na kukutka kwenda kuchukua Control Number ili ulipie, kiwango kikianzia Tsh. 70,000

Oparesheni hiyo inafanyika kwenye maduka kuanzia maeneo ya Kibaha Mili Moja kupanda hadi Shule ya Maili Moja Msingi, Kwa Mang'umbi, Tankini hadi Mitaa ya Muheza.

Kinachoniuma ni kuona wanafungia hadi biashara ndogondogo, mtu ana kifremu chake anatakiwa kwenda kulipia, hawataki kusikia maelezo ya aina yoyote ile.

Kinachoendelea sasa ni Watu kufunga biashara zao, wakiwakwepa maafisa wa Halmashauri, hivi Rais Samia si alipiga marufuku hii staili ya kufunga biashara kisa tu mtu au watu wanadaiw kodi fulani ya Serikali au watasema yale ni maneno ya Kisiasa?

Hivi kwani si Rais Samia alisema hakuna kufunga biashara kwa sababu za mambo kama hayo, kwa nini hawawapi nafasi Wafanyabiashara wakajieleza na kama ni kulipa walipe kwa ustaarabu.

Mtu ana kifrem chake kidogo kaweka cherehani, jamaa wanapiga kufuri na kumtaka alipe Shilingi 70,000 wakati yeye mwenyewe ukute hiyo hela anaipata baada ya mwezi kwa tenda zake za kushona kwa bukubuku au 500.

Majibu ya Halmashauri ~ Malalamiko ya Kufunga Maduka, Halmashauri ya Kibaya yasema “Wanafunga wenyewe, hatujafunga sisi"
 
Halmashauri ya Kibaha Mjini imeanzisha oparesheni kamata kamata na kufunga biashara tangu wiki iliyopita.

Wanafika kwenye sehemu za biashara wakikuta unadaiwa kiasi chochote kile wanakutoa kwenye biashara yako, wanafunga na makufuli makubwa na kukutka kwenda kuchukua Control Number ili ulipie, kiwango kikianzia Tsh. 70,000

Kinachoniuma ni kuona wanafungia hadi biashara ndogondogo, mtu ana kifremu chake anatakiwa kwenda kulipia, hawataki kusikia maelezo ya aina yoyote ile.

Kinachoendelea sasa ni Watu kufunga biashara zao, wakiwakwepa maafisa wa Halmashauri.

Hivi kwani si Rais Samia alisema hakuna kufunga biashara kwa sababu za mambo kama hayo, kwa nini hawawapi nafasi Wafanyabiashara wakajieleza na kama ni kulipa walipe kwa ustaarabu.

Mtu ana kifrem chake kidogo kaweka cherehani, jamaa wanapiga kufuri na kumtaka alipe Shilingi 70,000 wakati yeye mwenyewe ukute hiyo hela anaipata baada ya mwezi kwa tenda zake za kushona kwa bukubuku au 500
Hii nchi ina Marais wangapi? Mama Samia si alipiga marufuku huu tabia ya kufunga biashara za watu?

Sasa unafunga biashara ya mtu hizo pesa za kuwalipa akazitowe wapi?

Kwanini wasitowe demand note ya mwezi mmoja?
 
Halmashauri ya Kibaha Mjini imeanzisha oparesheni kamata kamata na kufunga biashara tangu wiki iliyopita.

Wanafika kwenye sehemu za biashara wakikuta unadaiwa kiasi chochote kile wanakutoa kwenye biashara yako, wanafunga na makufuli makubwa na kukutka kwenda kuchukua Control Number ili ulipie, kiwango kikianzia Tsh. 70,000

Kinachoniuma ni kuona wanafungia hadi biashara ndogondogo, mtu ana kifremu chake anatakiwa kwenda kulipia, hawataki kusikia maelezo ya aina yoyote ile.

Kinachoendelea sasa ni Watu kufunga biashara zao, wakiwakwepa maafisa wa Halmashauri, hivi Rais Samia si alipiga marufuku hii staili ya kufunga biashara kisa tu mtu au watu wanadaiw kodi fulani ya Serikali au watasema yale ni maneno ya Kisiasa?

Hivi kwani si Rais Samia alisema hakuna kufunga biashara kwa sababu za mambo kama hayo, kwa nini hawawapi nafasi Wafanyabiashara wakajieleza na kama ni kulipa walipe kwa ustaarabu.

Mtu ana kifrem chake kidogo kaweka cherehani, jamaa wanapiga kufuri na kumtaka alipe Shilingi 70,000 wakati yeye mwenyewe ukute hiyo hela anaipata baada ya mwezi kwa tenda zake za kushona kwa bukubuku au 500
Wafanya biashara acheni janjajanja lipieni leseni za biashara muepuke usumbufu leseni kwa mwaka ni mara moja, mfano huyo anaeshona nguo kama anazo cherehani kuanzia 2 na kuendelea gharama yake ni elfu 50 tu kwa mwaka na kama chini ya cherehani 2 aende hapo halmashauri atakutana na maafisa maendeleo ya jamii atapewa kitambulisho cha ujasiriamali ili achape kazi bila ya bugudha.

Muhimu zaidi kabla ya kufungua biashara watembelee maafisa biashara wa halmashauri husika ili wakupe ABC huwa ni bure kupewa ushauri na hao maafisa, usifungue biashara kimazoea.
 
Hii tabia ya kufungia Biashara za Watu ni kuua Local Economy ni kwanini msikae mlipwe kidogo kidogo.

Mnataka kumuonyesha Mama kuwa ninyi Pwani mumevunja Rekodi ya ukusanyaji wakati yeye alishasema kuacha Harassment
 
Halmashauri ya Kibaha Mjini imeanzisha oparesheni kamata kamata na kufunga biashara tangu wiki iliyopita.

Wanafika kwenye sehemu za biashara wakikuta unadaiwa kiasi chochote kile wanakutoa kwenye biashara yako, wanafunga na makufuli makubwa na kukutka kwenda kuchukua Control Number ili ulipie, kiwango kikianzia Tsh. 70,000

Oparesheni hiyo inafanyika kwenye maduka kuanzia maeneo ya Kibaha Mili Moja kupanda hadi Shule ya Maili Moja Msingi, Kwa Mang'umbi, Tankini hadi Mitaa ya Muheza.

Kinachoniuma ni kuona wanafungia hadi biashara ndogondogo, mtu ana kifremu chake anatakiwa kwenda kulipia, hawataki kusikia maelezo ya aina yoyote ile.

Kinachoendelea sasa ni Watu kufunga biashara zao, wakiwakwepa maafisa wa Halmashauri, hivi Rais Samia si alipiga marufuku hii staili ya kufunga biashara kisa tu mtu au watu wanadaiw kodi fulani ya Serikali au watasema yale ni maneno ya Kisiasa?

Hivi kwani si Rais Samia alisema hakuna kufunga biashara kwa sababu za mambo kama hayo, kwa nini hawawapi nafasi Wafanyabiashara wakajieleza na kama ni kulipa walipe kwa ustaarabu.

Mtu ana kifrem chake kidogo kaweka cherehani, jamaa wanapiga kufuri na kumtaka alipe Shilingi 70,000 wakati yeye mwenyewe ukute hiyo hela anaipata baada ya mwezi kwa tenda zake za kushona kwa bukubuku au 500
Kilichobaki ni
👇
 
Hii nchi ina Marais wangapi? Mama Samia si alipiga marufuku huu tabia ya kufunga biashara za watu?

Sasa unafunga biashara ya mtu hizo pesa za kuwalipa akazitowe wapi?

Kwanini wasitowe demand note ya mwezi mmoja?
Dogo umeishi sana muda mrefu uingereza ndo maana hufaham vizuri inayoendelea nchini.
 
Halmashauri ya Kibaha Mjini imeanzisha oparesheni kamata kamata na kufunga biashara tangu wiki iliyopita.

Wanafika kwenye sehemu za biashara wakikuta unadaiwa kiasi chochote kile wanakutoa kwenye biashara yako, wanafunga na makufuli makubwa na kukutka kwenda kuchukua Control Number ili ulipie, kiwango kikianzia Tsh. 70,000

Oparesheni hiyo inafanyika kwenye maduka kuanzia maeneo ya Kibaha Mili Moja kupanda hadi Shule ya Maili Moja Msingi, Kwa Mang'umbi, Tankini hadi Mitaa ya Muheza.

Kinachoniuma ni kuona wanafungia hadi biashara ndogondogo, mtu ana kifremu chake anatakiwa kwenda kulipia, hawataki kusikia maelezo ya aina yoyote ile.

Kinachoendelea sasa ni Watu kufunga biashara zao, wakiwakwepa maafisa wa Halmashauri, hivi Rais Samia si alipiga marufuku hii staili ya kufunga biashara kisa tu mtu au watu wanadaiw kodi fulani ya Serikali au watasema yale ni maneno ya Kisiasa?

Hivi kwani si Rais Samia alisema hakuna kufunga biashara kwa sababu za mambo kama hayo, kwa nini hawawapi nafasi Wafanyabiashara wakajieleza na kama ni kulipa walipe kwa ustaarabu.

Mtu ana kifrem chake kidogo kaweka cherehani, jamaa wanapiga kufuri na kumtaka alipe Shilingi 70,000 wakati yeye mwenyewe ukute hiyo hela anaipata baada ya mwezi kwa tenda zake za kushona kwa bukubuku au 500
Hii inafanyika nadhani kote hata bunju nimeona wanapita mpaka mtaani kwenye zile saluni ndogo ndogo hata za wasusi wa uswazi. Tena huku wakikukuta wanakubeba wanakupeleka kituoni unakaa ndani mapaka ulipe au aje mtu akulipie deni. Zamani nasikia ulipokuwa ukikaa baada ya saa kadhaa wanakuachia wanakwambia ukalipe now kama hulipi kesho yake wanakuhamishia kituo kikubwa tayari kwa kufunguliwa...
 
Inategemea sio Biashara zote ndogo ndogo zinahitaji License.
na ndio maana kuna kitambulisho cha mjasiria mali kwa biashara ndogondogo mfano genge, fundi viatu n.k,

unakuta mtu ana duka la vyakula rejareja alafu hataki kukatia leseni ya biashara amboyo ni elfu 50 au saluni anasuka mitindo yote amekodisha fremu na anawafanyakazi 2+ leseni ya elfu 20 tu kwa mwaka inamshinda ?

Nchi inahitaji kodi iendelee
 
Hii inafanyika nadhani kote hata bunju nimeona wanapita mpaka mtaani kwenye zile saluni ndogo ndogo hata za wasusi wa uswazi. Tena huku wakikukuta wanakubeba wanakupeleka kituoni unakaa ndani mapaka ulipe au aje mtu akulipie deni. Zamani nasikia ulipokuwa ukikaa baada ya saa kadhaa wanakuachia wanakwambia ukalipe now kama hulipi kesho yake wanakuhamishia kituo kikubwa tayari kwa kufunguliwa...
leseni ya saluni bei haizidi elfu 20 waambie wakachukue control namba walipie ili watu wanyolewe hapo Bunju
 
Halmashauri ya Kibaha Mjini imeanzisha oparesheni kamata kamata na kufunga biashara tangu wiki iliyopita.

Wanafika kwenye sehemu za biashara wakikuta unadaiwa kiasi chochote kile wanakutoa kwenye biashara yako, wanafunga na makufuli makubwa na kukutka kwenda kuchukua Control Number ili ulipie, kiwango kikianzia Tsh. 70,000

Oparesheni hiyo inafanyika kwenye maduka kuanzia maeneo ya Kibaha Mili Moja kupanda hadi Shule ya Maili Moja Msingi, Kwa Mang'umbi, Tankini hadi Mitaa ya Muheza.

Kinachoniuma ni kuona wanafungia hadi biashara ndogondogo, mtu ana kifremu chake anatakiwa kwenda kulipia, hawataki kusikia maelezo ya aina yoyote ile.

Kinachoendelea sasa ni Watu kufunga biashara zao, wakiwakwepa maafisa wa Halmashauri, hivi Rais Samia si alipiga marufuku hii staili ya kufunga biashara kisa tu mtu au watu wanadaiw kodi fulani ya Serikali au watasema yale ni maneno ya Kisiasa?

Hivi kwani si Rais Samia alisema hakuna kufunga biashara kwa sababu za mambo kama hayo, kwa nini hawawapi nafasi Wafanyabiashara wakajieleza na kama ni kulipa walipe kwa ustaarabu.

Mtu ana kifrem chake kidogo kaweka cherehani, jamaa wanapiga kufuri na kumtaka alipe Shilingi 70,000 wakati yeye mwenyewe ukute hiyo hela anaipata baada ya mwezi kwa tenda zake za kushona kwa bukubuku au 500


Kosa kubwa sana ni kuendelea kuwa na Chama cha mapinduzi madarakani.


Nchi hii ina mifumo ya ajabu sana ya makusanyo ya pesa ndio maana biashara halali hazistawi .

Sasa hivi nchi imejaa matapeli na wasanii na wakwepa kodi na washirikina kwa sababu ya mifumo miibaya ya matozo na kodi.

Kila wizara inakusanya kwa mbinu zake na kutumia wanavyojipanga wao halafu at the end wanataka fungu la bajeti ya wizara toka hazina. Upimbavu mkubwa .

Pesa zote zilitakiwa ziingie hazina kisha zipitie kwenye bunge la bajeti.

Haya makusanyo ya kila wizara na kutumika bila kueleweka ndipo panapopigwa pesa za wananchi na makodi na matozo kila siku wakati nchi nyingine zikiwa zinauza vitu bei ya chini sisi inapandishwa na matozo yanayoishia kwenye mifuko ya watu wachache.

Mfuko wa kukusanya fedha za umma unapaswa kuwa mmoja tuu . Kila mtu afanye kazi kwa bajeti inayopitishwa na bunge. Wafanywabi1shara watapumua. Huu utitiri wa matozo ni wizi mtupu.
 
Halmashauri ya Kibaha Mjini imeanzisha oparesheni kamata kamata na kufunga biashara tangu wiki iliyopita.

Wanafika kwenye sehemu za biashara wakikuta unadaiwa kiasi chochote kile wanakutoa kwenye biashara yako, wanafunga na makufuli makubwa na kukutka kwenda kuchukua Control Number ili ulipie, kiwango kikianzia Tsh. 70,000

Oparesheni hiyo inafanyika kwenye maduka kuanzia maeneo ya Kibaha Mili Moja kupanda hadi Shule ya Maili Moja Msingi, Kwa Mang'umbi, Tankini hadi Mitaa ya Muheza.

Kinachoniuma ni kuona wanafungia hadi biashara ndogondogo, mtu ana kifremu chake anatakiwa kwenda kulipia, hawataki kusikia maelezo ya aina yoyote ile.

Kinachoendelea sasa ni Watu kufunga biashara zao, wakiwakwepa maafisa wa Halmashauri, hivi Rais Samia si alipiga marufuku hii staili ya kufunga biashara kisa tu mtu au watu wanadaiw kodi fulani ya Serikali au watasema yale ni maneno ya Kisiasa?

Hivi kwani si Rais Samia alisema hakuna kufunga biashara kwa sababu za mambo kama hayo, kwa nini hawawapi nafasi Wafanyabiashara wakajieleza na kama ni kulipa walipe kwa ustaarabu.

Mtu ana kifrem chake kidogo kaweka cherehani, jamaa wanapiga kufuri na kumtaka alipe Shilingi 70,000 wakati yeye mwenyewe ukute hiyo hela anaipata baada ya mwezi kwa tenda zake za kushona kwa bukubuku au 500
WAtu makwepa kulipa 500 ya konda leo mje mlipe 70k kwa hiyari,acheni upuuzi lipeni kodi kwa maendeleo,

Hiyo ndo dawa yenu funga tu kama huwezi kulipa kalale na mkeo ndani.
 
Back
Top Bottom