Southern Giant
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 621
- 1,298
kwa kawaida leseni ni funguo ya kuanza kufanya biashara, kama hauna solution ya kwanza ni kupatiwa elimu na kusajiliwa mara moja ila kama hautoi ushirikiano kinachofuata ni kufungiwa hiyo biashara yako lengo la elimu ni kukupa muongozo wa utendaji wa hiyo biashara na hata ukipata hiyo leseni ukikiuka masharti afisa anahaki ya kukunyang'anya hiyo leseniKufunga Biashara sio Solution.
Ukifungia Biashara hata hicho kidogo hupati hebu fikiria vizuri.kwa kawaida leseni ni funguo ya kuanza kufanya biashara, kama hauna solution ya kwanza ni kupatiwa elimu na kusajiliwa mara moja ila kama hautoi ushirikiano kinachofuata ni kufungiwa hiyo biashara yako lengo la elimu ni kukupa muongozo wa utendaji wa hiyo biashara na hata ukipata hiyo leseni ukikiuka masharti afisa anahaki ya kukunyang'anya hiyo leseni
swala la ukusanyaji wa kodi sio la kuoneana huruma ni bora upate kidogo kwa wanaokubali kulipa kuliko kukosa kabisaUkifungia Biashara hata hicho kidogo hupati hebu fikiria vizuri.
Watu hawataki kulipa kodiLipeni ushuru wa Halmashauri. Acheni janja!
Leseni ni fees sio kodi mnaweza hata kufanya shilingi 5000.swala la ukusanyaji wa kodi sio la kuoneana huruma
Inashangaza sana. Hili nalo rais aitwe?Watu hawataki kulipa kodi
Ni uelewa mdogoHalmashauri ya Kibaha Mjini imeanzisha oparesheni kamata kamata na kufunga biashara tangu wiki iliyopita.
Wanafika kwenye sehemu za biashara wakikuta unadaiwa kiasi chochote kile wanakutoa kwenye biashara yako, wanafunga na makufuli makubwa na kukutka kwenda kuchukua Control Number ili ulipie, kiwango kikianzia Tsh. 70,000
Oparesheni hiyo inafanyika kwenye maduka kuanzia maeneo ya Kibaha Mili Moja kupanda hadi Shule ya Maili Moja Msingi, Kwa Mang'umbi, Tankini hadi Mitaa ya Muheza.
Kinachoniuma ni kuona wanafungia hadi biashara ndogondogo, mtu ana kifremu chake anatakiwa kwenda kulipia, hawataki kusikia maelezo ya aina yoyote ile.
Kinachoendelea sasa ni Watu kufunga biashara zao, wakiwakwepa maafisa wa Halmashauri, hivi Rais Samia si alipiga marufuku hii staili ya kufunga biashara kisa tu mtu au watu wanadaiw kodi fulani ya Serikali au watasema yale ni maneno ya Kisiasa?
Hivi kwani si Rais Samia alisema hakuna kufunga biashara kwa sababu za mambo kama hayo, kwa nini hawawapi nafasi Wafanyabiashara wakajieleza na kama ni kulipa walipe kwa ustaarabu.
Mtu ana kifrem chake kidogo kaweka cherehani, jamaa wanapiga kufuri na kumtaka alipe Shilingi 70,000 wakati yeye mwenyewe ukute hiyo hela anaipata baada ya mwezi kwa tenda zake za kushona kwa bukubuku au 500
hata hiyo elfu tano unayosema watu hawatoacha kulalamika, kwa kawaida halmashauri nyingi zinatoza ushuru wa sokoni(vizimba) au ktk stendi za daladala 500/= lakini tazama wafanya biashara na hao makondakta wanavyolalamikaLeseni ni fees sio kodi mnaweza hata kufanya shilingi 5000.
mtu anauza vifaa vya ujenzi duka kubwa limesheheni kila kitu mtaji zaidi ya M50 leo hii anambiwa alipe laki na hamsini kwa mwaka kwaajili ya leseni achangie serikali yake analalamika inashangaza hiiInashangaza sana. Hili nalo rais aitwe?
Watu wanacholalamika ni fedha wanazotoa kuibiwa kwenye Manispaa na Halmashauri.hata hiyo elfu tano unayosema watu hawatoacha kulalamika,
ubadhirifu wa fedha upo kigezo kikubwa tunaona hati chafu zinazotolewa na mkaguzi mkuu, lakini sio kigezo cha kutolipa kodi cha msingi ni kuwachagua viongozi imara watakao simamia vyema rasilimali zetu zikiwemo hizo kodi zetu zinazokatwa na hawa mabwana wa halmashauri na manispaa/majijiWatu wanacholalamika ni fedha wanazotoa kuibiwa kwenye Manispaa na Halmashauri.
Fees lazima ziwe Affordable ili kuwashawishi Watu wengi kufungua Biashara ili wakue wawe walipakodi wakubwa lakini kuwapiga mikwara na kuwafungia ni ninyi mnakosa na wao wanakosa huo sio ujinga kweli?!🤔
Na huku mbeya mkuu na mbuga zetu, fukwe, visiwa vinauzwa na maduka wanafunga wanakusanya hela tu. Wakinyimana wanatumbuanaHalmashauri ya Kibaha Mjini imeanzisha oparesheni kamata kamata na kufunga biashara tangu wiki iliyopita.
Wanafika kwenye sehemu za biashara wakikuta unadaiwa kiasi chochote kile wanakutoa kwenye biashara yako, wanafunga na makufuli makubwa na kukutka kwenda kuchukua Control Number ili ulipie, kiwango kikianzia Tsh. 70,000
Oparesheni hiyo inafanyika kwenye maduka kuanzia maeneo ya Kibaha Mili Moja kupanda hadi Shule ya Maili Moja Msingi, Kwa Mang'umbi, Tankini hadi Mitaa ya Muheza.
Kinachoniuma ni kuona wanafungia hadi biashara ndogondogo, mtu ana kifremu chake anatakiwa kwenda kulipia, hawataki kusikia maelezo ya aina yoyote ile.
Kinachoendelea sasa ni Watu kufunga biashara zao, wakiwakwepa maafisa wa Halmashauri, hivi Rais Samia si alipiga marufuku hii staili ya kufunga biashara kisa tu mtu au watu wanadaiw kodi fulani ya Serikali au watasema yale ni maneno ya Kisiasa?
Hivi kwani si Rais Samia alisema hakuna kufunga biashara kwa sababu za mambo kama hayo, kwa nini hawawapi nafasi Wafanyabiashara wakajieleza na kama ni kulipa walipe kwa ustaarabu.
Mtu ana kifrem chake kidogo kaweka cherehani, jamaa wanapiga kufuri na kumtaka alipe Shilingi 70,000 wakati yeye mwenyewe ukute hiyo hela anaipata baada ya mwezi kwa tenda zake za kushona kwa bukubuku au 500
😁😁Na huku mbeya mkuu na mbuga zetu, fukwe, visiwa vinauzwa na maduka wanafunga wanakusanya hela tu. Wakinyimana wanatumbuana
Hakuna kiongozi imara atatoka nje ya CCM mkuu viongozi imara watatoka ndani ya chama humo humo. Na hivyo hatuitaji kiongozi imara zaid ni taasis imara zitakazo simamia rasilimali zote za nchi. Na kiongozi mmojaubadhirifu wa fedha upo kigezo kikubwa tunaona hati chafu zinazotolewa na mkaguzi mkuu, lakini sio kigezo cha kutolipa kodi cha msingi ni kuwachagua viongozi imara watakao simamia vyema rasilimali zetu zikiwemo hizo kodi zetu zinazokatwa na hawa mabwana wa halmashauri na manispaa/majiji
Oohh my boy, box linasemaje Schengen?Dogo umeishi sana muda mrefu uingereza ndo maana hufaham vizuri inayoendelea nchini.
Raisi hafiki kila kata ili tatizo la wateule kuanzia Rc,Dc na wakurugenziHii nchi ina Marais wangapi? Mama Samia si alipiga marufuku huu tabia ya kufunga biashara za watu?
Sasa unafunga biashara ya mtu hizo pesa za kuwalipa akazitowe wapi?
Kwanini wasitowe demand note ya mwezi mmoja?
Huyu ni mwanaCCM . Ni kipofu haoni ubaya wa CCM wala uzuri wa nchi.Leseni inatakiwa iwe bure ili kuondoa mzigo kwa wafanyabiashara.