NDO UMECHANGANUA NN SASA HAPO?What I know watu wakienda Dubai let say.
Wote wa Tanzania na waganda wananunua bei moja. Either ya Dilham au dollar au Yuan kama ni China sasa wakirudi nchini mwawo say nguo imenunuliwa dollar moja ambao nisawasawa na 2400 ya TZ.
Then uganda ni sawasawa 2400. Sasa waganda hiyo nguo atayiuza 5000 ya uganda na mbongo atauza 5000 ya Tz. Sasa hapo ni sawa na 3500 Tz.
Kinachotokea ukiwa unachukua mzigo mkubwa unajikuta ume save sana. Nina uzoef katika sector hii uliza utajibiwa kwa ufasaha
Mani, hiyo concept ya Kodi kubwa inabidi kuifikiria zaidi.Mkuu ni kuwa ukadiriaji wa kodi kwetu ni wa kukomoa kitu unanunua $10 wao wanasema $20 sasa ukilipa kodi kwa kiwango hicho lazima bei itapanda. Hakuna kuaminiana kati ya mwagizaji na tra.
Titty, sijaelewa huu mfano.What I know watu wakienda Dubai let say.
Wote wa Tanzania na waganda wananunua bei moja. Either ya Dilham au dollar au Yuan kama ni China sasa wakirudi nchini mwawo say nguo imenunuliwa dollar moja ambao nisawasawa na 2400 ya TZ.
Then uganda ni sawasawa 2400. Sasa waganda hiyo nguo atayiuza 5000 ya uganda na mbongo atauza 5000 ya Tz. Sasa hapo ni sawa na 3500 Tz.
Kinachotokea ukiwa unachukua mzigo mkubwa unajikuta ume save sana. Nina uzoef katika sector hii uliza utajibiwa kwa ufasaha
Bei ya mzigo inapokuwa kubwa definitely na kodi itakuwa kubwa kwa sababu ni %ya thamani ya mzigo ndio huzaa kodi.Mani, hiyo concept ya Kodi kubwa inabidi kuifikiria zaidi.
Ukisema hivyo ina maana wafanya biashara wengi hawalipi Kodi wanapoingiza mzigo kuja Tanzania. Je hii ni kweli.
Wanajamvi,
Hapa Niko katika kituo cha Bus liitwalo FRIENDS jijini Kampala nikielekea nyumbani Tz. Ninachokiona hapa na wafanyabiashara wa KiTz toka Dar na Mwanza wamefungasha mizigo ya nguo, viatu, na vifaa vya MAGARI kuvileta Tz.
Najiuliza inakuwaje Uganda haina bandari lakini bado mizigo yao inapitia Bandari ya Dar na Mombasa lakini bado vitu ni being nafuu kiasi kwamba watanzania wanavifuata huku??
Naomba wanauchumi mlioko hapa mtuelewesha Tz kuna tatizo gani? Hii bandari ya Dar, Tanga na nyinginezo zinatunufaishaje??
Hapo kila mtu anambinu yake yakuyingiza mzigo. Kingine kwa mfano Toyota harrier unaweza kuyinunua hela ya uganda milion 15 ambao ni sawa sawa na million 10. Inategemea na model. Kwahiyo sisi tunacheza tu na dollar wapi chini. Unanua hukoMani, hiyo concept ya Kodi kubwa inabidi kuifikiria zaidi.
Ukisema hivyo ina maana wafanya biashara wengi hawalipi Kodi wanapoingiza mzigo kuja Tanzania. Je hii ni kweli.
Uliza tu vizuri ntakujib. Maana wote wafanya biashara wananunua sehem moja kwa pesa moja maybe dollar. Sasa swala linakuja pesa ya uganda na tz inapishana kwa 1.5. Ukichukua mzigo inakua nafuu sanaNDO UMECHANGANUA NN SASA HAPO?
Duh!!! Unaweza ukawa na uzoefu ila nina waswas mkubwa na mahesabu yako ya kiuchumi. Hasa kwenye hilo la thamani za fedha na kubadili fedhaWhat I know watu wakienda Dubai let say.
Wote wa Tanzania na waganda wananunua bei moja. Either ya Dilham au dollar au Yuan kama ni China sasa wakirudi nchini mwawo say nguo imenunuliwa dollar moja ambao nisawasawa na 2400 ya TZ.
Then uganda ni sawasawa 2400. Sasa waganda hiyo nguo atayiuza 5000 ya uganda na mbongo atauza 5000 ya Tz. Sasa hapo ni sawa na 3500 Tz.
Kinachotokea ukiwa unachukua mzigo mkubwa unajikuta ume save sana. Nina uzoef katika sector hii uliza utajibiwa kwa ufasaha
Hii imekaa vizur[emoji106]Pili ukichukua nguo maybe China unangalia interest za wa Tz unaleta nyingi namwengine hivyo hivyo. Sasa waganda wanagalia interest zao. Kinachotokea ukienda uganda unaleta nguo unique ambazo hazitokua nyingi yani sare. Ukileta tz watu wanaona nguo unique kwasababu haziko huku ziko sehem nyingine.
Cjui nimeeleweka
Unaboa maana zinanunuliwa kwa dollarspesa ya Uganda iko chini. inaweza kuwa sababu. Ukienda mtukula ukachange hata 1Mtzs unapata pesa za uganda za kutosha na unanunua vitu kibao.
ila wenyeji wa hizo safari wanajua mengi zaidi
Tofauti ya Mombasa na bandari yetu pendwa ni nini ?!Vitu vyao vingi vinapitia mombasa
Kinachotokea Uganda na mombasa ni kama TZ na Rwanda. Kama mzigo ni wa Uganda hauguswi unapita moja kwa moja kuna mikataba maluum baina ya nchi hizo kwa hiyo kama sio wa mombasa hautozwi pale unatozwa nyumbani wanalipia mandaari tuTofauti ya Mombasa na bandari yetu pendwa ni nini ?!
Ulikua tu mfano au approximation iskupe tabuDuh!!! Unaweza ukawa na uzoefu ila nina waswas mkubwa na mahesabu yako ya kiuchumi. Hasa kwenye hilo la thamani za fedha na kubadili fedha
Kule Uganda hawanunuwi kwa dollar boc. Mfano kwa uhakika 1m ya TZ ni sawa sawa na 1.5 ya Uganda. Yuko sahihi kabisa. We ndo ujamwelewaUnaboa maana zinanunuliwa kwa dollars
Hiyo ndo sababu kubwa.Bonson, hata mimi huwa napata shida sana kuelewa.
Wafanyabiashara wengi wa nguo kutoka ukanda wa ziwa na hata kutoka Dar, wanaenda kuchukua mzigo Kampala.
Kuna siku nilikaa siti moja na mfanyabiashara, tulikuwa tunatokea Mwanza kwenda Dar kwenye basi. Aliniambia Mali za Uganda zina ubora tofauti na za kariakoo. Alisema wafanya biashara wa Uganda huwa wanaagiza nguo za grade tofauti, na wakati wa kununua wanakumbia kabisa tofauti iliyopo. Alisema Kariakoo vitu vingi ni low quality.
Nilimanisha. Mganda na mTZ wakienda kuchukua nguo say kwa dola 5. Either guangzo au shangai wareva.Titty, sijaelewa huu mfano.
Hiyo ni kweli kabisa ndugu yangu. Vitu pale Kampala vina ubora wa juu kulinganisha na vinavyouzwa Kariakoo! Nilikuwa UG kwa miaka 4 ya masomo, naweza thibitisha hilo.Bonson, hata mimi huwa napata shida sana kuelewa.
Wafanyabiashara wengi wa nguo kutoka ukanda wa ziwa na hata kutoka Dar, wanaenda kuchukua mzigo Kampala.
Kuna siku nilikaa siti moja na mfanyabiashara, tulikuwa tunatokea Mwanza kwenda Dar kwenye basi. Aliniambia Mali za Uganda zina ubora tofauti na za kariakoo. Alisema wafanya biashara wa Uganda huwa wanaagiza nguo za grade tofauti, na wakati wa kununua wanakumbia kabisa tofauti iliyopo. Alisema Kariakoo vitu vingi ni low quality.