Wafanyabiashara kutoka Tanzania kufuata mizigo ya bei nafuu Uganda, imekaaje?

Wafanyabiashara kutoka Tanzania kufuata mizigo ya bei nafuu Uganda, imekaaje?

What I know watu wakienda Dubai let say.
Wote wa Tanzania na waganda wananunua bei moja. Either ya Dilham au dollar au Yuan kama ni China sasa wakirudi nchini mwawo say nguo imenunuliwa dollar moja ambao nisawasawa na 2400 ya TZ.
Then uganda ni sawasawa 2400. Sasa waganda hiyo nguo atayiuza 5000 ya uganda na mbongo atauza 5000 ya Tz. Sasa hapo ni sawa na 3500 Tz.

Kinachotokea ukiwa unachukua mzigo mkubwa unajikuta ume save sana. Nina uzoef katika sector hii uliza utajibiwa kwa ufasaha
NDO UMECHANGANUA NN SASA HAPO?
 
Mkuu ni kuwa ukadiriaji wa kodi kwetu ni wa kukomoa kitu unanunua $10 wao wanasema $20 sasa ukilipa kodi kwa kiwango hicho lazima bei itapanda. Hakuna kuaminiana kati ya mwagizaji na tra.
Mani, hiyo concept ya Kodi kubwa inabidi kuifikiria zaidi.

Ukisema hivyo ina maana wafanya biashara wengi hawalipi Kodi wanapoingiza mzigo kuja Tanzania. Je hii ni kweli.
 
What I know watu wakienda Dubai let say.
Wote wa Tanzania na waganda wananunua bei moja. Either ya Dilham au dollar au Yuan kama ni China sasa wakirudi nchini mwawo say nguo imenunuliwa dollar moja ambao nisawasawa na 2400 ya TZ.
Then uganda ni sawasawa 2400. Sasa waganda hiyo nguo atayiuza 5000 ya uganda na mbongo atauza 5000 ya Tz. Sasa hapo ni sawa na 3500 Tz.

Kinachotokea ukiwa unachukua mzigo mkubwa unajikuta ume save sana. Nina uzoef katika sector hii uliza utajibiwa kwa ufasaha
Titty, sijaelewa huu mfano.
 
Mani, hiyo concept ya Kodi kubwa inabidi kuifikiria zaidi.

Ukisema hivyo ina maana wafanya biashara wengi hawalipi Kodi wanapoingiza mzigo kuja Tanzania. Je hii ni kweli.
Bei ya mzigo inapokuwa kubwa definitely na kodi itakuwa kubwa kwa sababu ni %ya thamani ya mzigo ndio huzaa kodi.
 
Wanajamvi,

Hapa Niko katika kituo cha Bus liitwalo FRIENDS jijini Kampala nikielekea nyumbani Tz. Ninachokiona hapa na wafanyabiashara wa KiTz toka Dar na Mwanza wamefungasha mizigo ya nguo, viatu, na vifaa vya MAGARI kuvileta Tz.

Najiuliza inakuwaje Uganda haina bandari lakini bado mizigo yao inapitia Bandari ya Dar na Mombasa lakini bado vitu ni being nafuu kiasi kwamba watanzania wanavifuata huku??

Naomba wanauchumi mlioko hapa mtuelewesha Tz kuna tatizo gani? Hii bandari ya Dar, Tanga na nyinginezo zinatunufaishaje??

Nchi hii inaendeshwa kwa neema ya Mungu. Unajua asilimia kati 40-70 ya petrol,spea za magari, na bithaa zingine zinakatwa kodi lundo VAT,Ushuru,Ushuru wa barabara nk.
 
Sometime nahisi hata thamani ya pesa yao kuwa ndogo inaweza kuwa sababu
 
Mani, hiyo concept ya Kodi kubwa inabidi kuifikiria zaidi.

Ukisema hivyo ina maana wafanya biashara wengi hawalipi Kodi wanapoingiza mzigo kuja Tanzania. Je hii ni kweli.
Hapo kila mtu anambinu yake yakuyingiza mzigo. Kingine kwa mfano Toyota harrier unaweza kuyinunua hela ya uganda milion 15 ambao ni sawa sawa na million 10. Inategemea na model. Kwahiyo sisi tunacheza tu na dollar wapi chini. Unanua huko

Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
 
NDO UMECHANGANUA NN SASA HAPO?
Uliza tu vizuri ntakujib. Maana wote wafanya biashara wananunua sehem moja kwa pesa moja maybe dollar. Sasa swala linakuja pesa ya uganda na tz inapishana kwa 1.5. Ukichukua mzigo inakua nafuu sana

Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
 
What I know watu wakienda Dubai let say.
Wote wa Tanzania na waganda wananunua bei moja. Either ya Dilham au dollar au Yuan kama ni China sasa wakirudi nchini mwawo say nguo imenunuliwa dollar moja ambao nisawasawa na 2400 ya TZ.
Then uganda ni sawasawa 2400. Sasa waganda hiyo nguo atayiuza 5000 ya uganda na mbongo atauza 5000 ya Tz. Sasa hapo ni sawa na 3500 Tz.

Kinachotokea ukiwa unachukua mzigo mkubwa unajikuta ume save sana. Nina uzoef katika sector hii uliza utajibiwa kwa ufasaha
Duh!!! Unaweza ukawa na uzoefu ila nina waswas mkubwa na mahesabu yako ya kiuchumi. Hasa kwenye hilo la thamani za fedha na kubadili fedha
 
Pili ukichukua nguo maybe China unangalia interest za wa Tz unaleta nyingi namwengine hivyo hivyo. Sasa waganda wanagalia interest zao. Kinachotokea ukienda uganda unaleta nguo unique ambazo hazitokua nyingi yani sare. Ukileta tz watu wanaona nguo unique kwasababu haziko huku ziko sehem nyingine.
Cjui nimeeleweka
Hii imekaa vizur[emoji106]
 
Hata vifaa vya Simu uganda ni bei rahisi ukilinganisha na dar..Ukweli ni kwamba hapa ubora wa bidhaa na kodi wanayolipa ni sabb ya wafanyabiashara wengi kwenda kuchukua mzigo kule licha ya mzigo mwingine kupitia hapa dar ila bado ukiufata kule ni bei rahisi tofaut na hapa kwetu
 
Tofauti ya Mombasa na bandari yetu pendwa ni nini ?!
Kinachotokea Uganda na mombasa ni kama TZ na Rwanda. Kama mzigo ni wa Uganda hauguswi unapita moja kwa moja kuna mikataba maluum baina ya nchi hizo kwa hiyo kama sio wa mombasa hautozwi pale unatozwa nyumbani wanalipia mandaari tu

Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
 
Bonson, hata mimi huwa napata shida sana kuelewa.

Wafanyabiashara wengi wa nguo kutoka ukanda wa ziwa na hata kutoka Dar, wanaenda kuchukua mzigo Kampala.

Kuna siku nilikaa siti moja na mfanyabiashara, tulikuwa tunatokea Mwanza kwenda Dar kwenye basi. Aliniambia Mali za Uganda zina ubora tofauti na za kariakoo. Alisema wafanya biashara wa Uganda huwa wanaagiza nguo za grade tofauti, na wakati wa kununua wanakumbia kabisa tofauti iliyopo. Alisema Kariakoo vitu vingi ni low quality.
Hiyo ndo sababu kubwa.
 
Titty, sijaelewa huu mfano.
Nilimanisha. Mganda na mTZ wakienda kuchukua nguo say kwa dola 5. Either guangzo au shangai wareva.
Mtanzania 5×2500= 12000 TZ sh
Uganda pia dollar ina range kwenye 2500 itakua pia 12000 ug sh.
Sasa inamaana ukibadilisha 12000 itakuja 8000 ya tz kuliko uyichue kwa 15000 bora uende ug ununue kwa 8000. Cjui kama tupo sawa. Mwenye kufanya biashara mwengine atowe uzoef tafadhali


Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
 
Bonson, hata mimi huwa napata shida sana kuelewa.

Wafanyabiashara wengi wa nguo kutoka ukanda wa ziwa na hata kutoka Dar, wanaenda kuchukua mzigo Kampala.

Kuna siku nilikaa siti moja na mfanyabiashara, tulikuwa tunatokea Mwanza kwenda Dar kwenye basi. Aliniambia Mali za Uganda zina ubora tofauti na za kariakoo. Alisema wafanya biashara wa Uganda huwa wanaagiza nguo za grade tofauti, na wakati wa kununua wanakumbia kabisa tofauti iliyopo. Alisema Kariakoo vitu vingi ni low quality.
Hiyo ni kweli kabisa ndugu yangu. Vitu pale Kampala vina ubora wa juu kulinganisha na vinavyouzwa Kariakoo! Nilikuwa UG kwa miaka 4 ya masomo, naweza thibitisha hilo.
 
Back
Top Bottom