ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Nimekuwa nikiona wafanyabiashara mkitoa bidhaa na kuziba barabara mnakera mno .
Mmeanza tabia za machinga .
Ukifika Mwanza Mitaa ya Liberty barabara zimejaa vyombo madiaba, magoro, nguo Midori, n.k
Unapanga bidhaa dukani unaona hazitoshi mnakuja kupanga njee barabarani na kuziba njia/ barabara.
Mlilalamika ati machinga wanawaharibia kupanga nje Sasa ya Nini na nyie mtoe bidhaa nje na kuleta misongamano isiyo ya laZima mjini.
Naomba watu wa mpango mji Dar na Mwanza lifanyieni kazi hili suala
Sina wivu lakini tujipange vizuri kila mtu apate ridhiki hata sisi wa magari tunalipa Kodi TRA
Mmeanza tabia za machinga .
Ukifika Mwanza Mitaa ya Liberty barabara zimejaa vyombo madiaba, magoro, nguo Midori, n.k
Unapanga bidhaa dukani unaona hazitoshi mnakuja kupanga njee barabarani na kuziba njia/ barabara.
Mlilalamika ati machinga wanawaharibia kupanga nje Sasa ya Nini na nyie mtoe bidhaa nje na kuleta misongamano isiyo ya laZima mjini.
Naomba watu wa mpango mji Dar na Mwanza lifanyieni kazi hili suala
Sina wivu lakini tujipange vizuri kila mtu apate ridhiki hata sisi wa magari tunalipa Kodi TRA