Wafanyabiashara ni wengi kuliko waajiriwa lakini watanzania wanaoishi angalau maisha standard waajiriwa ni wengi, Tuendelee kuponda ajira?

Wafanyabiashara ni wengi kuliko waajiriwa lakini watanzania wanaoishi angalau maisha standard waajiriwa ni wengi, Tuendelee kuponda ajira?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Ni ukweli usiopingika kwamba wafanyabiashara wana pesa nyingi, hata ukiangalia top 20 ya matajiri hapa Tz utawakuta wafanyabiashara wamejaa wao hasa wahindi , wasarabu na wasomali, hata baada ya hapo kuna watanzania wenye asili zetu wanaofanya biasbara.

Lakini katika kigezo cha idadi ya watanzania wanaoishi maisha standard idadi kubwa ni waajiriwa hasa wa serikalini, Ni kweli wafanyabiashara ni wengi kuzidi waajiriwa lakini kuna wafanyabiashara wachache ndio wenye mafanikio, excuse ya kusema serikalini wapo wanaopiga pesa haina mantiki sababu hata kwenye biashara kuna wanaopiga pesa kwa njia nyeusi kuzidi hata waajiriwa wapigaji.

Ukienda mitaa ambayo inasifika angalau wanaishi watu wenye maisha standard basi utakuta wengi ni waajiriwa

Ukienda shule binafsi private hizi ada milioni + utawakuta wanafunzi wengi wazazi ni waajiriwa

Ajira kipato ni cha uhakika kwa muda mrefu, pia kuna kuongezewa mishahara na kupanda madaraja, Biashara upepo unaweza badilika aidha kwa ushindani, madeni, wenye mitaji mirefu kuua soko, n.k. Kufirisika kwenye biashara ni suala la kawaida, wengi walioshindwa kumaliza ujenzi na kuacha mapagala huwa ni wafanyabiashara,

Wafanyabiashara wengi wa Tz wamebanwa sana hawana muda wa kutosha kupumzika na familia zao ama kufatilia mienendo ya watoto, wengi huondoka alfajiri hurudi usiku wakiwa wamechoka, waajiriwa wengi hawajabanwa hata makazini kuna muda hutoka kufanya mambo mengine, kazi zinaisha jioni, weekemd kuna mapumziko, sikukuu kibao za kiserikali na kidini, likizo, n.k.
 
Hii inaweza kuwa na ukweli ndani yake
Tukiangalia mfanya biashara moja moja ni kweli tutawaona kina Mo, Bakhresa, Davis Mosha, n.k. Hao ni wachache lakini tukiangalia kwa jicho la upana zaidi tunaona wafanyabiashara wengi wana hali ngumu,
 
Biashara roho mkono hata kutumia pesa unajibana sana ,unaweza kuamka kesho huna hata mia .

Kufilisika dk 1 tu unaanza upya , wafanyakazi wengi wanatesa kwa mikopo dhamana ni msharaha ,wezi wapo pia ,madili kibao .
 
Usichokijua ni kuwa sehemu kubwa ya waajiliwa ni bendera fuata upepo na hawaishi Kwa kutumia akili na awana uzoefu wa maswala ya pesa hivyo hili ndilo kundi kubwa linaloigiza maisha, mtu kamshahara chini ya 1 million anakopa bank anunue gari huku uhakika wa mafuta hana, anajibana kupeleka mtoto shule ya bei akiamini njia ya mafanikio ni Moja kama anayopita eye(kuajiliwa)
Upande wa pili kumkuta mfanya biashara anazungusha zaidi ya 100m na hata gari Hana kawaida tu
 
Bila hao wafanya biashara pesa yako ya mshahara ingetoka wapi? Watumishi wengi wa uma ni wapangaji wazuri unakuta miaka nenda rudi kapanga chumba na sebure TV kubwa kula vizuri kupendeza na kununua piki piki aina ya TVS cha maana hamna wengine miaka nenda miaka rudi wananga'nga'nia kwenye nyumba za national house mpaka wana staafu mwisho wa siku inakuwa tafrani na wastaafu wengi kazi yao kuzurura vijiwe mbali mbali vijiwe vya boda boda migahawa mabanda ya mpira na kwenye hoteli ndogo ndogo wakikuona wanagongea msosi wengi wamekimbiwa na wake zao hadi watoto
 
Ni ukweli usiopingika kwamba wafanyabiashara wana pesa nyingi, hata ukiangalia top 20 ya matajiri hapa Tz utawakuta wafanyabiashara wamejaa wao hasa wahindi , wasarabu na wasomali, hata baada ya hapo kuna watanzania wenye asili zetu wanaofanya biasbara.

Lakini katika kigezo cha idadi ya watanzania wanaoishi maisha standard idadi kubwa ni waajiriwa hasa wa serikalini, Ni kweli wafanyabiashara ni wengi kuzidi waajiriwa lakini kuna wafanyabiashara wachache ndio wenye mafanikio, excuse ya kusema serikalini wapo wanaopiga pesa haina mantiki sababu hata kwenye biashara kuna wanaopiga pesa kwa njia nyeusi kuzidi hata waajiriwa wapigaji.

Ukienda mitaa ambayo inasifika angalau wanaishi watu wenye maisha standard basi utakuta wengi ni waajiriwa

Ukienda shule binafsi private hizi ada milioni + utawakuta wanafunzi wengi wazazi ni waajiriwa

Ajira kipato ni cha uhakika kwa muda mrefu, pia kuna kuongezewa mishahara na kupanda madaraja, Biashara unaweza kupiga mshindo ile ile yani kwa mwezi unaingiza mshahara wa mwaka wa muajiriwa lakini si ajabu soko likabadilika ukaanza kuingiza theluthi ya mshahara wa mwajiriwa.

kufirisika kwenye ama biashara kuyumba ni suala la muda mfupi sana, wengi walioshindwa kumaliza ujenzi na kuacha mapagala huwa ni wafanyabiashara,

Wafanyabiashara wengi wa Tz wamebanwa sana hawana muda wa kutosha kupumzika na familia zao ama kufatilia mienendo ya watoto, wengi huondoka alfajiri hurudi usiku wakiwa wamechoka, waajiriwa wengi hawajabanwa hata makazini kuna muda hutoka kufanya mambo mengine, kazi zinaisha jioni, weekemd kuna mapumziko, sikukuu kibao za kiserikali na kidini, likizo, n.k.
maisha standard ni yapi hayo?
 
Usichokijua ni kuwa sehemu kubwa ya waajiliwa ni bendera fuata upepo na hawaishi Kwa kutumia akili na awana uzoefu wa maswala ya pesa hivyo hili ndilo kundi kubwa linaloigiza maisha, mtu kamshahara chini ya 1 million anakopa bank anunue gari huku uhakika wa mafuta hana, anajibana kupeleka mtoto shule ya bei akiamini njia ya mafanikio ni Moja kama anayopita eye(kuajiliwa)
Upande wa pili kumkuta mfanya biashara anazungusha zaidi ya 100m na hata gari Hana kawaida tu
Au sio?
 
Ni ukweli usiopingika kwamba wafanyabiashara wana pesa nyingi, hata ukiangalia top 20 ya matajiri hapa Tz utawakuta wafanyabiashara wamejaa wao hasa wahindi , wasarabu na wasomali, hata baada ya hapo kuna watanzania wenye asili zetu wanaofanya biasbara.

Lakini katika kigezo cha idadi ya watanzania wanaoishi maisha standard idadi kubwa ni waajiriwa hasa wa serikalini, Ni kweli wafanyabiashara ni wengi kuzidi waajiriwa lakini kuna wafanyabiashara wachache ndio wenye mafanikio, excuse ya kusema serikalini wapo wanaopiga pesa haina mantiki sababu hata kwenye biashara kuna wanaopiga pesa kwa njia nyeusi kuzidi hata waajiriwa wapigaji.

Ukienda mitaa ambayo inasifika angalau wanaishi watu wenye maisha standard basi utakuta wengi ni waajiriwa

Ukienda shule binafsi private hizi ada milioni + utawakuta wanafunzi wengi wazazi ni waajiriwa

Ajira kipato ni cha uhakika kwa muda mrefu, pia kuna kuongezewa mishahara na kupanda madaraja, Biashara upepo unaweza badilika aidha kwa ushindani, madeni, wenye mitaji mirefu kuua soko, n.k. Kufirisika kwenye biashara ni suala la kawaida, wengi walioshindwa kumaliza ujenzi na kuacha mapagala huwa ni wafanyabiashara,

Wafanyabiashara wengi wa Tz wamebanwa sana hawana muda wa kutosha kupumzika na familia zao ama kufatilia mienendo ya watoto, wengi huondoka alfajiri hurudi usiku wakiwa wamechoka, waajiriwa wengi hawajabanwa hata makazini kuna muda hutoka kufanya mambo mengine, kazi zinaisha jioni, weekemd kuna mapumziko, sikukuu kibao za kiserikali na kidini, likizo, n.k.
Umepata GPA ya ngapi?
 
Upande wa pili kumkuta mfanya biashara anazungusha zaidi ya 100m na hata gari Hana kawaida tu
Acha kuota ndoto za mchana, Mtu azungushe takribani bilioni 3 kwa mwezi akose gari ?

sio kawaida kumkuta mfanyabiashara anaezungusha milioni 100 kwa siku, wapo lakini ni kundi la wafanyabiashara wachache sana wenye uwezo huu Tz,
 
Ni ukweli usiopingika kwamba wafanyabiashara wana pesa nyingi, hata ukiangalia top 20 ya matajiri hapa Tz utawakuta wafanyabiashara wamejaa wao hasa wahindi , wasarabu na wasomali, hata baada ya hapo kuna watanzania wenye asili zetu wanaofanya biasbara.

Lakini katika kigezo cha idadi ya watanzania wanaoishi maisha standard idadi kubwa ni waajiriwa hasa wa serikalini, Ni kweli wafanyabiashara ni wengi kuzidi waajiriwa lakini kuna wafanyabiashara wachache ndio wenye mafanikio, excuse ya kusema serikalini wapo wanaopiga pesa haina mantiki sababu hata kwenye biashara kuna wanaopiga pesa kwa njia nyeusi kuzidi hata waajiriwa wapigaji.

Ukienda mitaa ambayo inasifika angalau wanaishi watu wenye maisha standard basi utakuta wengi ni waajiriwa

Ukienda shule binafsi private hizi ada milioni + utawakuta wanafunzi wengi wazazi ni waajiriwa

Ajira kipato ni cha uhakika kwa muda mrefu, pia kuna kuongezewa mishahara na kupanda madaraja, Biashara upepo unaweza badilika aidha kwa ushindani, madeni, wenye mitaji mirefu kuua soko, n.k. Kufirisika kwenye biashara ni suala la kawaida, wengi walioshindwa kumaliza ujenzi na kuacha mapagala huwa ni wafanyabiashara,

Wafanyabiashara wengi wa Tz wamebanwa sana hawana muda wa kutosha kupumzika na familia zao ama kufatilia mienendo ya watoto, wengi huondoka alfajiri hurudi usiku wakiwa wamechoka, waajiriwa wengi hawajabanwa hata makazini kuna muda hutoka kufanya mambo mengine, kazi zinaisha jioni, weekemd kuna mapumziko, sikukuu kibao za kiserikali na kidini, likizo, n.k.
Sijasoma Uzi wote lakin naona kabisa hujui nini maana ya sustainable economy and development, waajiriwa wanaishi luxury life lakin hawana maisha mazuri endelevu
 
Sijasoma Uzi wote lakin naona kabisa hujui nini maana ya sustainable economy and development, waajiriwa wanaishi luxury life lakin hawana maisha mazuri endelevu
Mwenye maisha mazuri wndelevu ni mwenye stable income kwa muda mrefu ama wafanyabiashara wengi wanaofunga biashara ndani ya muda mchache
 
Acha kuota ndoto za mchana, Mtu azungushe takribani bilioni 3 kwa mwezi akose gari ?
Ndo maana hapo juu kuna mtu kasema waajiriwa hawajui 'how money works' probably na wewe upo hilo kundi

Cheki unashangaa mtu kuzungusha billion 3 na hata hana gari. Ningekua nakufaham ningekupeleka kkoo siku moja ukakutane na watu aina hio.

Ukishakua mfanyabiashara akili yako ipo kwenye kufanya hela yako izalishe zaidi, na wala sio kuitumia zaidi. Gari ni liability in disguise chief, wala sio asset. Ndo maana hata bank hawakupi mkopo kwa gari, labda microfinance za uchochoroni huko.

Pia Wafanyabiashara hawanunui magari, magari yanajinunua kwa ajili yao.

Tukirudi kwenye mada yako, 90% ya wafanyabiashara wameajiri watu directly au indirectly, wameajiri hadi serikali, banks, etc. Sasa sijui unaongelea wafanyabiashara wapi hao wanaoishi maisha magumu. Au unasemea machinga na mawinga.

Na kingine pita mtaani kwako angalia watu wote wanaoheshimika. Kama ni mwajiriwa basi ni mwajiriwa na ana biashara yake, lkn pure mwajiriwa hata kwenye jumuiya hapewi nafasi ya kuongea unless wafanyabiashara wameisha.
 
Usichokijua ni kuwa sehemu kubwa ya waajiliwa ni bendera fuata upepo na hawaishi Kwa kutumia akili na awana uzoefu wa maswala ya pesa hivyo hili ndilo kundi kubwa linaloigiza maisha, mtu kamshahara chini ya 1 million anakopa bank anunue gari huku uhakika wa mafuta hana, anajibana kupeleka mtoto shule ya bei akiamini njia ya mafanikio ni Moja kama anayopita eye(kuajiliwa)
Upande wa pili kumkuta mfanya biashara anazungusha zaidi ya 100m na hata gari Hana kawaida tu
Msome jamaa vizuri halafu weka hoja zako. Bro unaamini kabisa mtu anunue gari hata kama la mkopo halafu ashindwe kununua mafuta?? Sio kweli,
 
Biashara bwana unaona una milioni tano, nenda kununua bidhaa kariakoo, unarudi na 10k tena hujanunua kila kitu.
 
Back
Top Bottom