Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Siyo lazima ni nunue bidhaa nikishukaTatizo ni ushamba na kufanya mambo kwa sifa bila uhalisia. Darhaihitaji stand moja kubwa, bali inahitaji stand nyingi ndogo ndogo.
Huo ujenzi ulikuwa ni ufisadi tu.
Wakuu wa wilaya ni sababu ya kuhudumia idadi ya watu na si geographically. Kijiografia dar ni ndogo sana kuiwekea stend 3 ni matumiz mabaya ya pesa za umma.Kama ni hivyo Sasa si wangeifanya iwe na mkuu wa mkoa mmoja na mkuu wa wilaya mmoja tu, kulikuwa na sababu gani ya kujaza wakuu wa wilaya watano
Nadhani wanaangalia idadi ya watu na siyo ukubwa wa eneo mabasi yanabeba watu ambao huitwa abiriaWakuu wa wilaya ni sababu ya kuhudumia idadi ya watu na si geographically. Kijiografia dar ni ndogo sana kuiwekea stend 3 ni matumiz mabaya ya pesa za umma.
Mbona kuna magari ya kuwachukua abiria wa ndege na kuwapeleka airport, au hilo hujui mzee wangu?Kwa hiyo na ndege zifuate abiria walipo? Kuna haja gani ya kutumia pesa nyingi kujenga stendi??
NB: Arusha mbaki na stendi yenu maana tumeona hazina umhimu.
Daladala zinatakiwa kupakia level seats ndiyo na pia bus inatakiwa isiwe na vituo vingi vya kushusha abiria zinaongeza msongamano mjini. Tumien fursa ya kushindilia kuongeza daladala nyingi na hivyo mtakuwa mmetengeneza ajira zaidi. Bus za mwendokasi Mpya zitakuja very soon.Basi mpya za mwendokasi zimeshakuja?
Halafu daladala pia zinatakiwa ziwe zinapakiza abiria level seats tu, Abiria waliopo hata hamuwezi kuwahudumia vizuri, hiki kinachofanyika sasa kwenye dalala kupakiza abiria kwa kushindilia kama nyanya kwenye tenga ni wendawazimu halafu na bado mna tamaa ya fisi kuchukua hata wachache wanaobebwa na mabasi.
Ndo maana ajali zinakuwa nyingi. Watu wanafanya kazi zisizowahusukama ndege ina uwezo wa kumfikia abiria fresh
π€£ π€£ π€£Umewahi kumuona mtu anashuka kwenye ndege halafu anaenda kugombania daladala? Umewahi kumuona mtu kwenye ndege anagombana na kondakta kisa buku?
Stendi tunaangalia eneo na si watu. Watu tutaaangalia idadi ya mabus kuweza kumudu uhitaji.Nadhani wanaangalia idadi ya watu na siyo ukubwa wa eneo mabasi yanabeba watu ambao huitwa abiria
πββοΈπβοΈπππππ€πSahihi kabisa.
Hahaaa! Kwani nikienda na tax itakatazwa mi kunifikisha karibu na eneo maalumu la kushushia abiria wanaosafiri kwa ndege?Mbona kuna magari ya kuwachukua abiria wa ndege na kuwapeleka airport, au hilo hujui mzee wangu?
Huo mkopo na hiyo riba analipa nani ?!Imejengwa kwa mikopo yenye riba nafuu siyo pesa zako. Tunasubiri ushuke pale tupate kodi tukalipe deni. Nafananisha ndege na bus kwa kuwa vyote vina vituo maalumu vya kupakia na kushusha, hata hiace zina vituo maalumu vya kupakia na kushusha. Bus zingekuwa na msaada huo zisingelalamika kuomba kupandisha nauli, mafuta yakishuka mbona hawaombi kushusha nauli?? Ni uhuni tu.
π€£ π€£ π€£Ok sasa kila abiria atashushwa anapoishi Dar es Salaam hii?! mhmm haya ngoja nikae na ujinga wangu.
UnaruhusiwaHahaaa! Kwani nikienda na tax itakatazwa mi kunifikisha karibu na eneo maalumu la kushushia abiria wanaosafiri kwa ndege?
Tutalipa kulingana na makusanyo ktk stendi zetu mnazogomea kufanya nazo kazi.Huo mkopo na hiyo riba analipa nani ?!
Umesahau kwamba umeandika dar ni ndogo sana kuijengea stendi 3 ni matumizi mabaya ya pesa, hapo ilikuwa inamaanisha niniStendi tunaangalia eneo na si watu. Watu tutaaangalia idadi ya mabus kuweza kumudu uhitaji.
π€£ π€£ π€£Hahaaaaaa, unatuvunjia heshima watu wa Tukuyu bro. Tuombe radhi.
Kodi iliyoko kwenye Tiketi ni ya KAZI gani?Imejengwa kwa mikopo yenye riba nafuu siyo pesa zako. Tunasubiri ushuke pale tupate kodi tukalipe deni.
Sasa kuna shida gani!! Abiria wa bus mna njaa sana mnataka mfikishe kwenu, mwishowe wa bunju nae aweke demand bus iweke kituo kule kwao. Nchi inajaa kila aina ya takataka ya vituo vya busUnaruhusiwa
ππππππLakini sababu nyingine pia dar ni mkoa uliojaa watu wa lawama sana kila kitu unachofanya hawakitaki yaani hawana jema.Tatizo la Dar es salaam kwenye uongozi ni mawili wengi wa viongozi WA Dar kuwepo huwekwa sababu wanapendelewa Wana connection lakini vichwani hamna kitu wenye akili hupelekwa mikoani ndio maana mikoani kunafanya vizuri
Pili viongozi wengine huhamishiwa Dar Kwa sababu za kiafya ili wakae karibu na hospital ya rufaa ya Mloganzila na Muhimbili wanakotakiwa kuwa wanahudhuria matibabu mara Kwa mara Kwa hiyo mkoa unakuta unaongozwa na wagonjwa wazima wako mikoani
Hii combination ya akili finyu na wagonjwa ndio inasababisha hizo chaos tunazoona
Jiji la Dar linahitaji watu wazima na wenye akili hasa
Ndio vzr mkuuSasa kuna shida gani!! Abiria wa bus mna njaa sana mnataka mfikishe kwenu, mwishowe wa bunju nae aweke demand bus iweke kituo kule kwao. Nchi inajaa kila aina ya takataka ya vituo vya bus