Mkuu umetoka jela nini? Naona unazingatia sana neno utaratibuWatu hamtaki utaratibu, Tukitaka tuendelee tufuate utaratibu. Kama kuna haja ya kuwa na Bus terminal /stand kila wilaya basi lifanyike, lakini vituo vilivyopo viheshimike.
Lakini hao wachache wanaotaka kupandisha na kushusha abiria nje ya vituo halali sio sawa.
Huyu ndezi anayepiga keleleeeeeeee kama sio tanga zanzibar akili hamna kabisa tukuyu inatoa watu akili timamu sanaHahaaaaaa, unatuvunjia heshima watu wa Tukuyu bro. Tuombe radhi.
Biashara zimemkataaMkuu umetoka jela nini? Naona unazingatia sana neno utaratibu
Inawezekana ni mtaji wa mkopo sasa majembe auction wanatimba enetaim sunBiashara zimemkataa
Nenda upareni ukalime mabumunda
Ukiona yapo huko jua wameona fursa ikiwamo wingi wa abiria kwann wasiende maeneo mengine kama makumbusho labda au masaki kule wanajua kule hawana abiria soSasa wenye Mabasi hawatakiwi waachwe huru kiasi hiko....
Lazima wafuate utaratibu,,,
Mana sasa hayo Mabasi hadi Chanika na Vijibweni nisha yaona.....
Hatakama tupo Soko huru lakini lazima vitu vifanyke kwa utaratibu...
Wanashangaza sana.Siku zote biashara haitakiwi kutegemea Stendi, bali stendi ndio inapaswa kutegemea biashara yako, shida ni hawa wafanyabiashara walidanganywa na ccm
Nimepita hapo stendi zaidi ya mara 50 lakini sikuwahi kununua chochote, hii ni kwa sababu si lazima abiria kununua kitu hapo stendi, sasa wanacholilia ni nini?
Aliyekwambia mbezi nje ya mji nani? Nje ukianzia wapiMbona Treni ipo katikati ya mji?. Na hata uwanja wa ndege upo katikati ya mji ila stendi ya mabasi wamepeleka mafichoni.
Aorport yetu iko nje ya mji ila mtoa mada kwa akuwa anakaa nako basi haowezi kuona hiloViwanja vya ndege vyote hapa nchini na nje ya nchi huwa vinatakiwa kujengwa nje ya mji....
Sema kwa Mkoa wetu huu,Mipango miji huwa wanaruhusu ujenzi holela na watu kufanya ujenzi kwenye maeneo yaliyotengwa kwa maviwanda makubwa na miundombinu kama hiyo..mm
Stand ni makutano makuuHujui kitu wewe. Kwanini stendi ijengwe sasa!? Pumbavu!
Kumbe stand wanaingiaMimi mfano nakaa mbezi ila nikifika kituoni nataka kwenda Moro naambiwa usafiri wa mabasi ya Abood haupatikani hapo ...Yapo Urafiki. Basi linajazia urafiki then linapita juu kwa juu Mbezi bila ya kuingia ndani stendi!
Zaidi ya asilimia 75-80 ya basi zinazoondoka alfajiri haziingii ndani ya stendi ya Magufuli badala yake zinapita juu kwa juu.
Wamiliki wa mabasi wanaihijumu serikali , wanaikosesha serikali mapato yake ya getini. Pia wanawahujumu watanzania kwa kuwakosesha ajira
Watu hamtaki utaratibu, Tukitaka tuendelee tufuate utaratibu. Kama kuna haja ya kuwa na Bus terminal /stand kila wilaya basi lifanyike, lakini vituo vilivyopo viheshimike.
Lakini hao wachache wanaotaka kupandisha na kushusha abiria nje ya vituo halali sio sawa.
biashara ni ushindani kinachofanyika now ni ujanja wako na uwezo wako ndivyo vitakupa wateja mtu akisema afuate bus toka kigamboni mpka magu stand anaingia gharama na kupoteza muda kusiko na sababu wakati angeweza panda kilimanjaro yake pale ferry akasepa kwa uhakika..... usafiri wenyewe wa tabu bado muone shida watu wakiwekewa huduma karibu.Sgr nayo iwe inafuata abiria. Mkuu utaratibu lazima uwepo na upo kila nchi. Hiyo ya mabus kufata abiria sio sahihi ni kulazimisha tu
Nauli ya kutoka mbeya to Dar ni shingapi sahiiAbood Bus service
BM
Ally's star
Katarama
Happynation
Kilimanjaro
Tilisho
Kimbinyiko
Shabiby
Newforce
N.k
Ni miongoni mwa kampuni nyingi ambazo hazitaki kuingia Magufuli Bus terminal....usafiri wa asubuhi ni kazi sana , wanapita juu kwa juu
Lazima uwe na elfu 70, tarehe 13-07-2024, Morogoro -mbeya nililipa, 60,000Nauli ya kutoka mbeya to Dar ni shingapi sahii