Wafanyabiashara wa Kariakoo Jiandaeni kwa mabadiliko haya

Wafanyabiashara wa Kariakoo Jiandaeni kwa mabadiliko haya

binafsi ninachojali ni bidhaa bora na ya bei reasonable, regardless of nani ameleta au nani anauza.
Kwa bahati mbaya ni kwamba ubora wa bidhaa na gharama ya bidhaa ni directly proportional.

Nimetolea mfano hapo juu wa kifaa kama Blender. Ubora wa Blender unachangiwa kwa kiwango kikubwa na motor. Motor ikiwa nzuri, basi blender itasifiwa kuwa inafanya kazi vizuri, imedumu nk.

Sasa kwa motor, ili iwe nzuri ni lazima iwe imesukwa na nyaya za material mazuri. Hapa nazungumzia copper. The more the purity of the copper wires windings, the better the quality ya motor husika. Na blender ambazo zimetengenezwa na hizi motor kimsingi huwa ni ghali.

Sasa si wafanyabiashara wote wanaweza ng'amua issues za copper, steel na aluminium. Hivyo kwa kujua ama kutokujua, mfanyabiashara ataenda tengenezesha blender ya nyaya za kawaida, atakuja waaminisha watu blender ni nzuri. Na atauza bei ya chini. Madhara yake ndiyo kama niliyoyaweka hapo juu ktk post zilizopita.
 
Kwa bahati mbaya ni kwamba ubora wa bidhaa na gharama ya bidhaa ni directly proportional.

Nimetolea mfano hapo juu wa kifaa kama Blender. Ubora wa Blender unachangiwa kwa kiwango kikubwa na motor. Motor ikiwa nzuri, basi blender itasifiwa kuwa inafanya kazi vizuri, imedumu nk.

Sasa kwa motor, ili iwe nzuri ni lazima iwe imesukwa na nyaya za material mazuri. Hapa nazungumzia copper. The more the purity of the copper wires windings, the better the quality ya motor husika. Na blender ambazo zimetengenezwa na hizi motor kimsingi huwa ni ghali.

Sasa si wafanyabiashara wote wanaweza ng'amua issues za copper, steel na aluminium. Hivyo kwa kujua ama kutokujua, mfanyabiashara ataenda tengenezesha blender ya nyaya za kawaida, atakuja waaminisha watu blender ni nzuri. Na atauza bei ya chini. Madhara yake ndiyo kama niliyoyaweka hapo juu ktk post zilizopita.
kwa wafanya biashara, hoja zako za muhimu sana, lakini kwa walaji (wateja) tunahitaji soko huria za aina hii, watu washindane, wabongo nao wasisubiri kubebwa waende china wakatafuta partnerships, wakiona china kumebana waende uturuki, ikishindikana waingia ubia na hao wachina wa hapa. ule umungumtu wa wafanyabiashara wa kariakoo hatuutaki, wacha wachangamshwe akili wajue tunaweza kuishi bila wao. binafsi napenda wachina waje tena kwa wingi na wafanye vyovyote vile inavyowezekana kwenye izo biashara hata kama wafanyabiashara wabongo wataumia ila kama sisi walaji hatuumii,wengi wape.
 
kwa wafanya biashara, hoja zako za muhimu sana, lakini kwa walaji (wateja) tunahitaji soko huria za aina hii, watu washindane, wabongo nao wasisubiri kubebwa waende china wakatafuta partnerships, wakiona china kumebana waende uturuki, ikishindikana waingia ubia na hao wachina wa hapa. ule umungumtu wa wafanyabiashara wa kariakoo hatuutaki, wacha wachangamshwe akili wajue tunaweza kuishi bila wao. binafsi napenda wachina waje tena kwa wingi na wafanye vyovyote vile inavyowezekana kwenye izo biashara hata kama wafanyabiashara wabongo wataumia ila kama sisi walaji hatuumii,wengi wape.
Boss ninachokwambia ni kwamba, hata wachina waje, hutoona waswahili wakikimbia kariakoo. Njia pekee ya kuwakimbiza watu kariakoo ni kwa hao unaowaita wachina waje wafungue kiwanda hapa TZ ambacho kinatengeneza kila kitu, kuanzia Chips, LED screens nk (kwa mfano wa Electronics). Tofauti na hapo hakuna kitu hao wachina watafanya ambacho wafanyabiashara wa TZ watashindwa.

Kwani hapo umezungumzia watu kuingia patnership na wachina na kuja kuuza TZ. Lakini kuna wa TZ wana huo mtaji wa kwenda china kununua na kuja leta TZ wakauza pasipo patnership.

So Kariakoo itabaki kuwa Kariakoo.
 
Boss ninachokwambia ni kwamba, hata wachina waje, hutoona waswahili wakikimbia kariakoo. Njia pekee ya kuwakimbiza watu kariakoo ni kwa hao unaowaita wachina waje wafungue kiwanda hapa TZ ambacho kinatengeneza kila kitu, kuanzia Chips, LED screens nk (kwa mfano wa Electronics). Tofauti na hapo hakuna kitu hao wachina watafanya ambacho wafanyabiashara wa TZ watashindwa.

Kwani hapo umezungumzia watu kuingia patnership na wachina na kuja kuuza TZ. Lakini kuna wa TZ wana huo mtaji wa kwenda china kununua na kuja leta TZ wakauza pasipo patnership.

So Kariakoo itabaki kuwa Kariakoo.
subiri hiyo kitu ya ubungo iishe ndio utajua watu wanapenda kariakoo au la. just wait.
 
Chukua machimbo ya biashara ukafanye biashara (Namba za simu 600 za machimbo na location zake)!

KINAUZWA
Kitabu cha Machimbo ya Biashara
Kitabu chenye machimbo 600 ya biashara kwa TSH 15,000 tu!

Kitabu hiki kina namba za simu 600 za wauzaji wa bidhaa kwa bei nafuu, jumla na rejareja.

Jinsi ya kukipata WHATSAPP: 0612607426
CALL: 0687746471

Unaweza kupakua kitabu hiki kupitia link hii:

Kwa msaada wa kupakua, wasiliana kupitia:
WhatsApp: 0612607426
Call: 0687746471

Kitabu kina sura 68 kama ifuatavyo:

Sura ya 1 hadi 5: Machimbo ya nguo za watoto, vifaa vya ofisini (stationery), vifaa vya ujenzi (hardware), dawa (pharmacy), na vinywaji.

Sura ya 6 hadi 10: Kahawa, maremba, vifaa vya mazoezi, miwani, na nywele bandia kama rasta na wigs.

Sura ya 11 hadi 20: Shati za shifoni, viatu, kofia, gauni za usiku, vitambaa vya masofa, hereni na cheni, vyombo vya jikoni, na vifaa vya michezo.

Sura ya 21 hadi 30: Pajamas, balo za mitumba, masweta, maturubai, pipi, jeans, jezi, na vifaa vya kufungashia.

Sura ya 31 hadi 40: Toys, T-shirts, diaper, bidhaa za supermarket, manukato, madera, mitandio, abaya, hijabu, na vitenge.

Sura ya 41 hadi 50: Khanga, vitambaa vya kushona, vipodozi, nguo za watoto, pochi, vifaa vya simu, mikeka, bidhaa za wachina, na sufuria sets.

Sura ya 51 hadi 60: Chupa za maji, midoli, lubricants za magari, maduvets, mashuka, mapazia, majora ya mapazia, T-shirts zinazotrend, na bidhaa za ubuyu wa Zanzibar.

Sura ya 61 hadi 68: Maua artificial, pipi, vifaa vya masofa, bidhaa za mitumba, vifaa vya kuandaa keki, na bidhaa kutoka kwa wachina moja kwa moja.
 
Wewe unayajua hayo lakini matajiri wanazidi kujenga maduka mapya kariakoo kwa wingi sana au unadhani hawajui kuhusu kituo cha ubungo? Kile kituo cha ubungo hakina jipya ukiwa na milioni 1 unapewa fremu.
 
Kama ilivyo kariakoo wafanya biashara wengi wanafanya biashara ya B2B yaani Busness to bussness ( mtu ununua bidhaa na kuiuza hio bidhaa iliapate faida/profit.
Wa China na watu wenye viwanda wao ufanya B2C yaani Busness to consumption ( uunda bidhaa kiwandani kisha kuiuza kwa mlaji, ndo profit/faida wanapoipatia)

Kama ambavyo wafanya biashara wa kariakoo uwa wanawalalamikia wachina waliopo kariakoo kuuza bidhaa zao kwa bei nafuu kitu ambacho kina athiri wafanya biashara wa ndani .

Mfano wa kinachofanyika katika hii biashara .
Mtanzania anaenda China na vielelezo vyake yaan TIN number , Nida nk na ana mshawishi mchina hasa mwenye kiwanda na kula nae contract kuwa mchina kwa vile ana kiwanda basi asafirishe bishaa zake kwa wingi na kupeleka Tanzania ambapo huyu Mtanzania ndo atakua msimamizi wa Godown. Mikataba hii ufanya bidhaa iuuzwe bei rahisi kwani bidhaa usafirishwa kwa wingi tofauti na ile ya MOQ (minimum order quantity)

Sasa hali hii☝️☝️ imetokea kenya. Kuna bidada anaitwa Shiquo. Huyo dada baada ya kula contract na mchina basi anauza vitu bei chee kupindukia hadi wale wanaofanyaga biashara ya kwenda china kununua mzigo au kuwanunulia watu ili MOQ ifike wanaona bora wachukue kwa huyo bidada nchini.

Mtindo huu wa contract wanaufanya pia wabongo wachache mfano ni yule bidada alie kamatwa kwa kuchangisha fedha za maafa.

Taharuki itaanzia hapa
View attachment 3170252
Siku kituo hiki cha biashara kikikamilika na kuanza kazi basi hii mikataba na wachina itakua mingi .pia wachina watakalibishwa kuwekeza nchini na wata jaza magodown kwa bidhaa na kuuza vitu bei chee kitu ambacho kitaathiri wafanyabiashara wa kariakoo wanaofanya B2B kwani kodi ya fremu ipo juu ukizingatia ushuru na Tozo zimesimama hali itakayofanya biashara nyingi kushindwa kuendelea

Wafanya biashara wa Kkoo tujipange kwa mabadiliko haya huko mbeleni na kuacha tabia ile ya kuuza bidhaa kwa kujiskia kua hapa ni 'mtakuja'.

Suluhisho
Panga mikakati katika biashara yako itakayo tengeneza Royal customer watakao kuwa na wewe in whatever happens. kwani wabongo upenda vitu cheap na wataenda upande wa mchina na kuwaacha wauzaji wakibongo.

Kwani huko kenya wafanya biashara wana mlalamikia huyo bidada na hio strategy yake ya contract badala ya wao kutengeneza mikakati itakayo okoa biashara yao pamoja na wateja wao

Tengeneza Good service au good product iuze kwa reasonable price yenye good customer care ili siku mchina akileta bidhaa zake kwenye Godown nchini uweze kuendana na mabadiliko na bei atakayo kuja nayo wateja wako wasije kukukimbia, biashara yako ikafa na uanze kulalamikia serikali na wachina kwani wafanya biashara wengi sio ma Celebrity/ super star ambao mteja uwa ananua bidhaa kwa bei ya juu kisa muuzaji ni mtu maarafu na anapata pride pale anapouziwa bidhaa na Star huyo.

Tengeneza social media presence; ni muda sasa wa wafanya biashara kuiingia kwenye mitandao ya kijamii kama instagram, tiktok.. nk ili watengeneze community/ jamii
Jamii au followers hao uta showcase product na huduma yako

Huko kenya wafanya biashara ambao walikuwa sio watu wa mitandao wameishia kulalamika kwani walifanya biashara kimazoea " kua hapa ni mtakuja"
Wateja wote wamemkimbilia huyo bidada na mchina wake hali inayowafanya wauze bidhaa zao kwa bei ya chini ili warudishe pesa ya mzigo ukizingatia kodi ya fremu ipo juu.

# Jiandae kwa yajayo mbeleni

Nawasilisha.......
Noted!
 
Kama ilivyo kariakoo wafanya biashara wengi wanafanya biashara ya B2B yaani Busness to bussness ( mtu ununua bidhaa na kuiuza hio bidhaa iliapate faida/profit.
Wa China na watu wenye viwanda wao ufanya B2C yaani Busness to consumption ( uunda bidhaa kiwandani kisha kuiuza kwa mlaji, ndo profit/faida wanapoipatia)

Kama ambavyo wafanya biashara wa kariakoo uwa wanawalalamikia wachina waliopo kariakoo kuuza bidhaa zao kwa bei nafuu kitu ambacho kina athiri wafanya biashara wa ndani .

Mfano wa kinachofanyika katika hii biashara .
Mtanzania anaenda China na vielelezo vyake yaan TIN number , Nida nk na ana mshawishi mchina hasa mwenye kiwanda na kula nae contract kuwa mchina kwa vile ana kiwanda basi asafirishe bishaa zake kwa wingi na kupeleka Tanzania ambapo huyu Mtanzania ndo atakua msimamizi wa Godown. Mikataba hii ufanya bidhaa iuuzwe bei rahisi kwani bidhaa usafirishwa kwa wingi tofauti na ile ya MOQ (minimum order quantity)

Sasa hali hii☝️☝️ imetokea kenya. Kuna bidada anaitwa Shiquo. Huyo dada baada ya kula contract na mchina basi anauza vitu bei chee kupindukia hadi wale wanaofanyaga biashara ya kwenda china kununua mzigo au kuwanunulia watu ili MOQ ifike wanaona bora wachukue kwa huyo bidada nchini.

Mtindo huu wa contract wanaufanya pia wabongo wachache mfano ni yule bidada alie kamatwa kwa kuchangisha fedha za maafa.

Taharuki itaanzia hapa
View attachment 3170252
Siku kituo hiki cha biashara kikikamilika na kuanza kazi basi hii mikataba na wachina itakua mingi .pia wachina watakalibishwa kuwekeza nchini na wata jaza magodown kwa bidhaa na kuuza vitu bei chee kitu ambacho kitaathiri wafanyabiashara wa kariakoo wanaofanya B2B kwani kodi ya fremu ipo juu ukizingatia ushuru na Tozo zimesimama hali itakayofanya biashara nyingi kushindwa kuendelea

Wafanya biashara wa Kkoo tujipange kwa mabadiliko haya huko mbeleni na kuacha tabia ile ya kuuza bidhaa kwa kujiskia kua hapa ni 'mtakuja'.

Suluhisho
Panga mikakati katika biashara yako itakayo tengeneza Royal customer watakao kuwa na wewe in whatever happens. kwani wabongo upenda vitu cheap na wataenda upande wa mchina na kuwaacha wauzaji wakibongo.

Kwani huko kenya wafanya biashara wana mlalamikia huyo bidada na hio strategy yake ya contract badala ya wao kutengeneza mikakati itakayo okoa biashara yao pamoja na wateja wao

Tengeneza Good service au good product iuze kwa reasonable price yenye good customer care ili siku mchina akileta bidhaa zake kwenye Godown nchini uweze kuendana na mabadiliko na bei atakayo kuja nayo wateja wako wasije kukukimbia, biashara yako ikafa na uanze kulalamikia serikali na wachina kwani wafanya biashara wengi sio ma Celebrity/ super star ambao mteja uwa ananua bidhaa kwa bei ya juu kisa muuzaji ni mtu maarafu na anapata pride pale anapouziwa bidhaa na Star huyo.

Tengeneza social media presence; ni muda sasa wa wafanya biashara kuiingia kwenye mitandao ya kijamii kama instagram, tiktok.. nk ili watengeneze community/ jamii
Jamii au followers hao uta showcase product na huduma yako

Huko kenya wafanya biashara ambao walikuwa sio watu wa mitandao wameishia kulalamika kwani walifanya biashara kimazoea " kua hapa ni mtakuja"
Wateja wote wamemkimbilia huyo bidada na mchina wake hali inayowafanya wauze bidhaa zao kwa bei ya chini ili warudishe pesa ya mzigo ukizingatia kodi ya fremu ipo juu.

View: https://x.com/millardayo/status/1876218889635283018?t=xIhwPx1pLWbJTTNOfMHtEg&s=08
# Jiandae kwa yajayo mbeleni

Nawasilisha.......

Hayawi hayawi yamekua. Sisi wenye fremu mwenge na sinza tujipange kisaikolojia
 
Mleta mada, hao wanaofanya biashara kwa trending wala si tishio kama wengi wanavyowahofia hususan katia biashara za vifaa vya umeme na electronics.

Na point ipo hapa.
Biashara ya electronics na vyombo vya umeme ni biashara ya tofauti kidogo na biashara zingine. Kwani, unapomuuzia kifaa mteja, unampatia na warranty. Ile warranty ni kama kifungo. Mteja anaweza tumia kifaa, kufikia mwezi wa 3 kikamsumbua. Atakupigia simu. Sasa hapo ni mawili, umbadilishie ama umsolvie hiko kipengele kwa kumtengenezea. Kinyume na hapo, ndiyo majina ya tapeli, mwizi nk yatakuandama

Assume wewe ulienda china ukaweka tangazo let say la Blender watu wakakutumia pesa uwanunulie. Mind you hujanunia unit extra kwa ajili ya changamoto hizo. Pia wewe Electronics siyo biashara yako kuu ila ilipita nayo kwa upepo kwa kipindi hicho kwa kuwa ilikuwa na upepo. Mteja anaporudi baada ya miezi mitatu, anakukuta wewe ulishasahau hata kama ulifanya hiyo biashara. Hivyo anapokuja na kipengele inahitaji moyo wa kipekee kumsolvia kipengele as itakubidi utoe pesa mfukoni usolve. Mbaya zaidi hao watu wanapoendaga agizisha hizo bidhaa, kwa kutokujia ama kwa makusudi, huwa wanachukuaga bidhaa zenye low quality. Mfano kwa Blender unakuta mtu anachukua blender zenye motor zilizosukwa na nyaya hafifu nk. Hii inapelekea blender kuharibika kabla ya wakati ama warranty kuisha.

Na ndiyo maana hao unaowazungumzia, kwa sasa huoni tena wakifanya biashara ama kuwakusanyisha watu pesa kwa ajili ya kuwanunulia bidhaa za electronics.
Umenisemea,hao ndo kina-niffer na nilisema mwanzo kwa watu wengi sana tena wengine wakaanza kuona ni wivu unanisumbua.
Binafsi naheshimu watu walio kwenye industry for so long ,maana mbivu na mbichi wanazijua barabara
 
Boss ninachokwambia ni kwamba, hata wachina waje, hutoona waswahili wakikimbia kariakoo. Njia pekee ya kuwakimbiza watu kariakoo ni kwa hao unaowaita wachina waje wafungue kiwanda hapa TZ ambacho kinatengeneza kila kitu, kuanzia Chips, LED screens nk (kwa mfano wa Electronics). Tofauti na hapo hakuna kitu hao wachina watafanya ambacho wafanyabiashara wa TZ watashindwa.

Kwani hapo umezungumzia watu kuingia patnership na wachina na kuja kuuza TZ. Lakini kuna wa TZ wana huo mtaji wa kwenda china kununua na kuja leta TZ wakauza pasipo patnership.

So Kariakoo itabaki kuwa Kariakoo.
Point n , kariakoo itabaki kua kariakoo
 
Back
Top Bottom