Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExactlyKwakweli Wahame hata leo leo siku 90 wamepewa nyingi sana. Majengo ya NHC mengi yao hadhi yake haiendani na Thamani ya Ardhi naaamini huo uwekezaji utaleta utatutoa huko. Kikubwa Mikataba isiwe ya kitapeli
Una hoja usikilizwe.Unaweza kuelezea makusanyo ya sasa ya NHC kwenye hayo majengo kupitia kodi ya pango. Na watakachopata baada ya hapo.
Si ajabu mradi wenyewe wakishavunja hayo maeneo mwekezaji ana miaka 20 ya kurudisha hela zake kabla ya NHC kupata chochote sasa hapo kuna faida gani ya serikali.
Hizi ndio baadhi ya PPP zenyewe ni ufisadi mtupu wa kuchukua prime areas kirahisi kwa uongo wa uwekezaji.
Halafu taasisi ambayo inadaiwa karibu tsh 2 trillion inaweza afford kupoteza mapato yake kishamba; baadae huo mzigo wamrushie mlipa kodi.
tatizo la hili, wanaweza kuondoka alafu hayo majengo yasifanyiwe chochote kile, yani yasiboreshwe
Kabisa mkuu, na shida ni kutokuwepo kwa uwazi katika hii mikataba tunayoingia na sera zisizoeleweka. Ngoja tuone mwisho wakeTtz hii nchi imefika hatua ya kwamba ni ngumu kujua yupi yupo sahihi kati ya mlalamikaji na mlalamikiwa unabaki tu kuangalia mwisho wake ni upi
tupo hapa, nhc tunawajuaMajengo yameshakabidhiwa kwa wenye pesa zao,
Vibali vya ujenzi vimeshatoka pia
Lol ndo tulipofikia kama nchi....Hizi nyumba za nhc zishakua za watu binafsi, unalipa Kodi milioni Moja kwa mtu ye anapeleka 250k serikalini, wazivunje zote tu