Wafanyabiashara wenzangu, hali ya kibiashara ipoje huko kwenu?

Wafanyabiashara wenzangu, hali ya kibiashara ipoje huko kwenu?

kimara Kimara

Member
Joined
Jul 7, 2024
Posts
80
Reaction score
173
Habari za muda huu,

Wafanyabishara wenzangu.

Vipi hali ya biashara kwa upande Wako ikoje, ama mzunguko wa biashara ukoje kwa mwezi Huu, hasa hizi wiki mbili za mwisho wa mwezi wa 11.

Kwa upande wangu naona Mambo yamekua magumu, Mzunguko Umepungua, Wateja wanasa hawana hela. Kifupu Biashara imepoa.

Vipi kwa upande wako huko mambo yakoje.
 
Habari za muda huu,

Wafanyabishara wenzangu.

Vipi hali ya biashara kwa upande Wako ikoje, ama mzunguko wa biashara ukoje kwa mwezi Huu, hasa hizi wiki mbili za mwisho wa mwezi wa 11.

Kwa upande wangu naona Mambo yamekua magumu, Mzunguko Umepungua, Wateja wanasa hawana hela. Kifupu Biashara imepoa.

Vipi kwa upande wako huko mambo yakoje.
Mambo yakinyooka pia utuletee mrejesho
 
Habari za muda huu,

Wafanyabishara wenzangu.

Vipi hali ya biashara kwa upande Wako ikoje, ama mzunguko wa biashara ukoje kwa mwezi Huu, hasa hizi wiki mbili za mwisho wa mwezi wa 11.

Kwa upande wangu naona Mambo yamekua magumu, Mzunguko Umepungua, Wateja wanasa hawana hela. Kifupu Biashara imepoa.

Vipi kwa upande wako huko mambo yakoje.
Unafanya biashara gani?
 
UNAJIBU AMBAYO HUJAULIZWA MZEE MAMBO MENGI SANA YANI MPAKA UNABOA
Mpumbavu kweli wewe unashupaza shingo,,,, ! Huyo mdau yupo sahihi kuuliza hayo maswali ili apate cha kukushauri ! Biashara inategemea na bidhaa unayouza, eneo na kiasi cha mtaji ! Pambana na hali yako kama unashindwa kujibu hoja za msingi ili ushauriwe, kwa akili hizi inawezekana hata mchawi wa Biashara ni wewe mwenyewe, communication na wateja Zero kabisa, watakukimbia mpaka maji uite mma
 
Mpumbavu kweli wewe unashupaza shingo,,,, ! Huyo mdau yupo sahihi kuuliza hayo maswali ili apate cha kukushauri ! Biashara inategemea na bidhaa unayouza, eneo na kiasi cha mtaji ! Pambana na hali yako kama unashindwa kujibu hoja za msingi ili ushauriwe, kwa akili hizi inawezekana hata mchawi wa Biashara ni wewe mwenyewe, communication na wateja Zero kabisa, watakukimbia mpaka maji uite mma
MPUMBAVU MAMA AKO
 
UNAJIBU AMBAYO HUJAULIZWA MZEE MAMBO MENGI SANA YANI MPAKA UNABOA
Huyu Kimara ni chadema, ana mtaji wa 50,000 anataka aingize 100,000 kwa siku, usikute hapo hajafanya ubunifu wowte kama vile matangazo, upangaji vizuri wa bidhaa zivutie, kuongea vizuri na wateja. etc. anatafuta njia kuja ilaumu CCM.
just joking guys
 
Na ukiangalia lugha yake kama ni hiyohiyo kwa wateja mzunguko lazima uwe mgumu, watu wanahisi wateja ni wapya kila siku, but ukweli ni kwamba wateja wanaojirudia ni wengi kuliko wanaokuwa wapya kila siku. Mimi hapa nasubiria matusi yangu badala ya hoja, ndio sera za chadema (matusi)
 
Mpumbavu kweli wewe unashupaza shingo,,,, ! Huyo mdau yupo sahihi kuuliza hayo maswali ili apate cha kukushauri ! Biashara inategemea na bidhaa unayouza, eneo na kiasi cha mtaji ! Pambana na hali yako kama unashindwa kujibu hoja za msingi ili ushauriwe, kwa akili hizi inawezekana hata mchawi wa Biashara ni wewe mwenyewe, communication na wateja Zero kabisa, watakukimbia mpaka maji uite mma
Alitegemea tuanze mtukana Mama kwamba ameharibu uchumi, hakutaka ushauri ila alitaka support za kampeni
 
kichwani umejaa kinyesi ndo maana vitu vidogo vinakushinda unakuja kulia hapa ,,,, Hakuna huruma
Ndio mujue jinsi CCM wanavyopata tabu kubishana na Chad*. Hiki chama cha Chad** wamejawa matusi, wao na wafuasi wao, hakuna anayeweza toa hoja ya msingi asiweke matusi
 
Habari za muda huu,

Wafanyabishara wenzangu.

Vipi hali ya biashara kwa upande Wako ikoje, ama mzunguko wa biashara ukoje kwa mwezi Huu, hasa hizi wiki mbili za mwisho wa mwezi wa 11.

Kwa upande wangu naona Mambo yamekua magumu, Mzunguko Umepungua, Wateja wanasa hawana hela. Kifupu Biashara imepoa.

Vipi kwa upande wako huko mambo yakoje.
Inatwgemea na aina yabiashara mimi nauza mbolea nikisema nitaambiwa nawaringishia
 
Huyu Kimara ni chadema, ana mtaji wa 50,000 anataka aingize 100,000 kwa siku, usikute hapo hajafanya ubunifu wowte kama vile matangazo, upangaji vizuri wa bidhaa zivutie, kuongea vizuri na wateja. etc. anatafuta njia kuja ilaumu CCM.
just joking guys
Wewe TAJIRI unafanya biashara gani, UNAMTAJI WA SHINGAP na unaingiza shingap. Tuanzie Hapo
 
Back
Top Bottom