Wafanyabiashara wenzangu kuna hitaji la "Mashine ya kukunia nazi" kwa mfanyabiashra mwenzetu kwa mahitaji ni mashine mbili.

Wafanyabiashara wenzangu kuna hitaji la "Mashine ya kukunia nazi" kwa mfanyabiashra mwenzetu kwa mahitaji ni mashine mbili.

Wabongo ni wagumu kujieleza Sana. Yaani Jamaa Anampa msomaji kazi kubwa Sana kutafakari alitaka kusema nini... Nimesoma mara mbili mbili na mimi sijaelewa kama inauzwa au au Kuna mtu anaitaji sample hizo za machine

Matangazo ya namna hii wala sijisumbui kujibu wala kuchangia
 
Studio pale IPO barabarani kabisa
Kama hizi ndugu au
mashineyaumemeyakukunianazi-6-of-8.jpeg
mashineyaumemeyakukunianazi-5-of-8.jpeg
 
MWANZA MWANZA:Bidhaa ya asili

Grab your facial kit now, helps with:
1. Acne
2. Dark spots and blemishes
3. Hyperpigmentation due to chemical creams
4. Skin tags
5. Wrinkles

Jipatie facial kit yako sasa, inasaidia na:
1. Chunusi
2. Makovu
3. Alama za kuungua na mafuta makali au jua.
4. Visunzua
5. Makunyanzi

Wasiliana na Mimi Instagram @online_naturalcosmetics kujipatia yako sasa kwa shilingi 35000, hutojutia mafuta ni mazuri sana [emoji5]
 
MWANZA MWANZA:Bidhaa ya asili

Grab your facial kit now, helps with:
1. Acne
2. Dark spots and blemishes
3. Hyperpigmentation due to chemical creams
4. Skin tags
5. Wrinkles

Jipatie facial kit yako sasa, inasaidia na:
1. Chunusi
2. Makovu
3. Alama za kuungua na mafuta makali au jua.
4. Visunzua
5. Makunyanzi

Wasiliana na Mimi Instagram @online_naturalcosmetics kujipatia yako sasa kwa shilingi 35000, hutojutia mafuta ni mazuri sana [emoji5]
Ndugu mbona mzaha mwingi
 
Back
Top Bottom