Anaanzia wapi kumshirikisha wakati cha kwanza atakuwa anasimangwa. Soma uwe na vyako.hivi havikuhusu.Upumbavu tu hapa umeandika..
Mbona huyo Mo na watoto wa Bakhressa hawajasoma hizo family business bachelor na wamesoma US na UK??
Mzazi mshirikishe mtoto wako kwenye biashara zako tangia akiwa mdogo na uweke succession plan. Lakini pamoja na yote hayo msisitize asome kwa bidii ili aje asimamie hizo biashara. Hata akisoma Udom kama utakuwa umeweka msingi imara tangia mwanzoni hawezi kufeli
Hata wakisoma kazi bure..
-Baba ana acaunt kumi za bank zote hazijulikani na familia
-Baba ana biashara nyingine zaidi ya tatu zote hazijulikani na familia moja tu ndiyo inayo julikana na famili
-Baba wa kiafrica anaamini hakuna anaeweza kuendesha biashara yake tofauti na yeye
-Baba wa kiafrica haamini watoto wake mda wote anahisi kuibiwa..
Baba wa kiafrica haamini mawazo ya mtu mwingine zaidi na mawazo yake
wacha tu zife
Kwahiyo pia unataka kila Mtanzania azae watoto 8 kama Bakhressa??
Kama una mtoto mmoja au wawili wakasoma Finance na Business Admistration za UDSM au UDOM na sio hiyo family business ya India wao hawawezi kutengeneza Admistration structure na kwenye mapungufu wakahire watu wa kuziba hizo nafasi??
Pia unataka kusema hakuna watoto wa kiafrika (Kitanzania) waliofanikiwa kwa kuendesha biashara za familia??
Mkuu shida kubwa ya waafrika na wabongo wengi ni kutohusisha watoto kwenye biashara, na sio watoto tu mpaka mke wakati mwingine hajui chochote kuhusu biashara ya mmewe wala account zina pesa ngapi. Anashirikishwa tu kusign fomu za mikopo za benki..
Hii roho wengi wenu ndo mnayo. Hakuna degree itakayookoa biashara ya familia kama baba hana nia ya kuiendeleza baada ya kuaga dunia. Hamna nia ya kujenga generational wealth.Biashara ni wito na maono, kama nimefanikiwa kuwasomesha basi wakatafute vyao, mi nilifundishwa na nani?
Wacha biashara ife!
Biashara nyingi za wafanyabiashara ngozi nyeusi hufa mwanzilishi akifa tofauti na za wahindi,waarabu na wapemba
Wahindi ndio wanaongoza duniani kwa uwezo mkubwa wa familia kuweza kuendesha biashara.
Nashauri wafanyabiashara wa ngozi nyeusi wapeleke watoto vyuo vikuu vya India wakachuke degree za family business. Kule wanazo kuanzia degree ya kwanza, ya pili hadi PhD
Napendekeza India sababu ndio wenye ufahamu mkubwa kwenye uendeshaji wa family business.Mainchi mengine kama ulaya na Marekani wao uzoefu wao mkubwa hauko kwenye family business uko kwenye corporate business zile za kusajili masoko ya hisa na kuuza hisa sokoni.
Mtoto akisoma family business degree mzazi hata akifariki anakuwa anajua nini cha kufanya.
Nimechoka mazishi ya biashara za Waswahili ngozi nyeusi kuwa akifa tu mwanzilishi na biashara inakufa hata iwe kubwa vipi.
Ziko kibao tena zipo miaka mingi tu ila Tanzania na nchi nyingi za kiafrika vyuo havifundishi hizo degree naona havioni umuhimu na hii imechangia sana family business nyingi za kiafrika kufa mwanzilishi akifa.India zipo tena miaka tu
Upumbavu tu hapa umeandika..
Mbona huyo Mo na watoto wa Bakhressa hawajasoma hizo family business bachelor na wamesoma US na UK??
Mzazi mshirikishe mtoto wako kwenye biashara zako tangia akiwa mdogo na uweke succession plan. Lakini pamoja na yote hayo msisitize asome kwa bidii ili aje asimamie hizo biashara. Hata akisoma Udom kama utakuwa umeweka msingi imara tangia mwanzoni hawezi kufeli
Umegongelea penyewe. Kweli miafrika ndivyo tulivyo.KiufupI Wazee wa Kiafrika wanapenda kuona watoto wakiteseka. Wanapokufa lazima watu wagawane sababu hakuna anayejua kuendesha biashara
Hapo kwenye “control from the grave”, panafikirisha sana.That's the cultural difference! Baba was kiakfrika hata access ya bank account hataki mkewe na watoto wawe nayo, anaona bora akifariki na biashara ifungwe tu kuliko wengine kufaidi mfano, mjane wake Ku enjoy mali zake na mwanaume mwingine, sababu ndo mawazo yake yanampeleka hapo. Control from the grave.
Badilikieni wanaume! Ndo wale wale wanaoachisha wake zao kazi sababu wanataka kuchunga make, result ni familia inakuwa na income moja badala ya mbili. Akitangulia mbele what happens to his family??
Badilikeni.
Biashara nyingi za wafanyabiashara ngozi nyeusi hufa mwanzilishi akifa tofauti na za wahindi,waarabu na wapemba
Wahindi ndio wanaongoza duniani kwa uwezo mkubwa wa familia kuweza kuendesha biashara.
Nashauri wafanyabiashara wa ngozi nyeusi wapeleke watoto vyuo vikuu vya India wakachuke degree za family business. Kule wanazo kuanzia degree ya kwanza, ya pili hadi PhD
Napendekeza India sababu ndio wenye ufahamu mkubwa kwenye uendeshaji wa family business.Mainchi mengine kama ulaya na Marekani wao uzoefu wao mkubwa hauko kwenye family business uko kwenye corporate business zile za kusajili masoko ya hisa na kuuza hisa sokoni.
Mtoto akisoma family business degree mzazi hata akifariki anakuwa anajua nini cha kufanya.
Nimechoka mazishi ya biashara za Waswahili ngozi nyeusi kuwa akifa tu mwanzilishi na biashara inakufa hata iwe kubwa vipi.
Naongelea wafanyabiashara ngozi nyeusi walivyo hovyo siongelei ngozi nyeupe akina abood Nk watu ngozi nyeupe Hawana shida wanaelewa vizuri mambo ya succession plan kwenye business.Kwa uwezekano mkubwa education haichangii uendeshaji wa biashara ingekuwa inachangia kwa sailimia mia hizo biashara za watu weusi zisinge kufa Ila experience ndio kitu katika swala la uendeshaji wa biashara za familia unaweza mpeleka mtoto india havard na kwengunepo na asiweze endesha biashara, historia inaonyesha kabisa kwa bilionea namba moja wa india [emoji1128] bwana ambani mukeshi ambaye baba alimuachisha shule na kuanza kumpa biashara aiendeshe na matunda yakaoneka. Hapa hapa bongo muangalie mohamed abood alikua anaendesha biashara ya baba yake toka alipomaliza shule na baada ya baba yao kufalikialiendesha vema.
Hii roho wengi wenu ndo mnayo. Hakuna degree itakayookoa biashara ya familia kama baba hana nia ya kuiendeleza baada ya kuaga dunia. Hamna nia ya kujenga generational wealth.
I feel sorry for your people.I do not work on generational wealth....
I feel sorry for your people.
naongelea wafanyabiashara ngozi nyeusi walivyo hovyo siongelei ngozi nyeupe akina abood Nk watu ngozi nyeupe Hawana shida wanaelewa vizuri mambo ya succession plan kwenye business. Wawe akina Abood, Mo dewji watoto wa bakheresa nk sina shida na watanzania ngozi nyeupe wawe waarabu, wahindi,au wapemba shida yangu waswahili ngozi nyeusi wawe wachaga au kabila yeyote.
Naongelea wafanyabiashara ngozi nyeusi walivyo hovyo siongelei ngozi nyeupe akina abood Nk watu ngozi nyeupe Hawana shida wanaelewa vizuri mambo ya succession plan kwenye business.
Wawe akina Abood, Mo dewji watoto wa bakheresa nk sina shida na watanzania ngozi nyeupe wawe waarabu, wahindi,au wapemba shida yangu waswahili ngozi nyeusi wawe wachaga au kabila yeyote.