YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Biashara nyingi za wafanyabiashara ngozi nyeusi hufa mwanzilishi akifa tofauti na za wahindi,waarabu na wapemba
Wahindi ndio wanaongoza duniani kwa uwezo mkubwa wa familia kuweza kuendesha biashara.
Nashauri wafanyabiashara wa ngozi nyeusi wapeleke watoto vyuo vikuu vya India wakachuke degree za family business. Kule wanazo kuanzia degree ya kwanza, ya pili hadi PhD
Napendekeza India sababu ndio wenye ufahamu mkubwa kwenye uendeshaji wa family business.Mainchi mengine kama ulaya na Marekani wao uzoefu wao mkubwa hauko kwenye family business uko kwenye corporate business zile za kusajili masoko ya hisa na kuuza hisa sokoni.
Mtoto akisoma family business degree mzazi hata akifariki anakuwa anajua nini cha kufanya.
Nimechoka mazishi ya biashara za Waswahili ngozi nyeusi kuwa akifa tu mwanzilishi na biashara inakufa hata iwe kubwa vipi.
Wahindi ndio wanaongoza duniani kwa uwezo mkubwa wa familia kuweza kuendesha biashara.
Nashauri wafanyabiashara wa ngozi nyeusi wapeleke watoto vyuo vikuu vya India wakachuke degree za family business. Kule wanazo kuanzia degree ya kwanza, ya pili hadi PhD
Napendekeza India sababu ndio wenye ufahamu mkubwa kwenye uendeshaji wa family business.Mainchi mengine kama ulaya na Marekani wao uzoefu wao mkubwa hauko kwenye family business uko kwenye corporate business zile za kusajili masoko ya hisa na kuuza hisa sokoni.
Mtoto akisoma family business degree mzazi hata akifariki anakuwa anajua nini cha kufanya.
Nimechoka mazishi ya biashara za Waswahili ngozi nyeusi kuwa akifa tu mwanzilishi na biashara inakufa hata iwe kubwa vipi.