Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu pumguza kidogo codes! Unachapa sana Java mkuu! Mi niliishia C++ na hata sikuimaliza! Almasi DDC Kariakoo!
ila broo unajuaga kukunja habari sasa hapa nipo kwe kitendawili cha almasi..sijui ni eneo ukumbi au biashara ila no p nmeipata conclusion mwambie mzee wa lambalamba mo level nyengine..mtoto akili nyingi kama shihole trump ah ah
Daaah, walau hapa sasa nimekusoma! Shukrani kwa kutuhabarisha!Yeye aliweka 40 Billion mwenzake kaweka tu 20 Billion na kashinda Yeye ' Tenda ' huku mwenye 40 Billion akiambiwa kuwa japo ana ' mzigo ' wa Kutosha ila hakuwa kuwa na msaada na ' Almasi ' ya Kariakoo kama ambavyo mwenzake wa 20 Billion alivyokuwa akijitolea kwa hali na mali na ni jana tu ameiletea zawadi kubwa ' Almasi ' yake hiyo kutoka nchini Ufaransa japo kwa sasa ' Almasi ' yenyewe ipo Mkoani Morogoro na itaingia Dar es Salaam Jumatano mchana kwa jukumu lake zito la siku ya Alhamisi maeneo ya Temeke.
SimbaMkuu pumguza kidogo codes! Unachapa sana Java mkuu! Mi niliishia C++ na hata sikuimaliza! Almasi DDC Kariakoo!
Hapana ameleta tu mipasho. Uchumi wa Nchi hauwezi kuelezewa kimipasho mipasho, namna hii. By the way, "Almasi ya Kariakoo?" What the Hell is This?Mtoa mada alikuwa bingwa wa literature...hongera kwa fasihi yako sisi wenye ufahamu tumeshakupata
JMOOO na BAKA-UKIWEZADuuuhh......aisee... mi nimesoma tu kama stori lkn mpka sa hv sjui ni kina nani....huko mbagala na kariankoo......Wa dar watanisaidia
Almasi=simbaila broo unajuaga kukunja habari sasa hapa nipo kwe kitendawili cha almasi..sijui ni eneo ukumbi au biashara ila no p nmeipata conclusion mwambie mzee wa lambalamba mo level nyengine..mtoto akili nyingi kama shihole trump ah ah
Mkuu nimekuelewaMkuu we acha tu unaambiwa ' Bifu ' la hawa Wawili lilipofikia na linapoelekea ni kubaya na kama wenye kuwamudu wasipoingilia kati ama kuwasuluhisha au kuzungumza nao tu kwa maslahi mapana ya Sekta nzima ya Biashara na Uwekezaji hapa Tanzania kuna hatari mambo yakaharibika. Biashara zao ndizo chanzo cha yote haya na kibaya zaidi mmoja wapo alizidiwa na Mwenzake katika ' Tenda ' ya ' Almasi ' inayopatikana Kariakoo jirani tu Ukumbi wa DDC ambayo huyo Mwenzake alikuwa anaihitaji kwa udi na uvumba ili awe na umiliki wa ' Starehe ' mbili halafu zote za aina moja moja ikiwa ya Mbagala Shamba na nyingine ya Kariakoo ' down town ' kabisa.
Khaaa hizi code hatariHapa ni mwendo wa ' Codes ' tu Mkuu. Yaani Mkuu hujui kwamba hatua chache tu kutoka hapa ulipo huo Ukumbi wa DDC Kariakoo kunapatikana hiyo ' Almasi ' ambayo wiki iliyopita iliiogelea yenyewe kutoka Bwawani Zanzibar hadi Feri Dar es Salaam baada ya kushindwa kulipia Ushuru wa Kodi za nchini Uganda?