Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Next week naiman mambo itaanza kukaa sawaMbaya sana,wateja hatuna hela mku
KabisaTunao kaa kwa shemeji hapa tupite kimya tusome maoni tu.
Kama bado unafugwa baki hapo hapo mkuu usiondoke nyumbani chondechondeTunao kaa kwa shemeji hapa tupite kimya tusome maoni tu.
Tutashukuru aisee..maana 🙌Next week naiman mambo itaanza kukaa sawa
kWELI! KWELI!!Ni kweli mkuu nachoona inasababishwa na hazina kutokufungulia pesa katika mataasisi thus matumizi yamepungua ila next week ya september nadhani mfumo utafunguka wakandarasi na wazabuni watalipwa so hata mitaani itaingia
Uko sahihi since this month uanze hali si nzuri hairidhishi.Habarini Jamani, Wafanyabiashara wenzangu vp hali ya biashara huko kwenu ikoje, mzunguko ukoje. Mimi naona tangu mwezi huu wa nane Mambo yamekua magumu sana, vp kwenu huko !
Kote hali mbaya sana hakuna biashara zinazoendelea.mitaji imeanguka bidhaa tunazo lkn hakuna wanunuzi hata bidhaa za vyakula haziendi.Habarini Jamani, Wafanyabiashara wenzangu vp hali ya biashara huko kwenu ikoje, mzunguko ukoje. Mimi naona tangu mwezi huu wa nane Mambo yamekua magumu sana, vp kwenu huko !
Onho,pole sanaMwezi mgumu sana kwangu, bora hata January. Mwezi unaisha bills palepale mauzo hayaridhishi ni sawa na hamna. Nilianza kushtuka tangu ile siku mechi ya Simba na Yanga imeisha kuanzia kesho yake ilikuwa hovyo tu mpaka leo.
Dah mwez nao kama imekaza maden kbao kiukwl napitia njia ya wana Israel kutembea kwa miguu miaka 47 kufka nch ya kusadkka ya maziwa na asaliHabarini Jamani, Wafanyabiashara wenzangu vp hali ya biashara huko kwenu ikoje, mzunguko ukoje. Mimi naona tangu mwezi huu wa nane Mambo yamekua magumu sana, vp kwenu huko !
Asante. Nimekumbuka Simba vs Yanga ilikuwa siku ya NaneNane. Kesho yake ilikuwa Jumapili mauzo kidogo sana nikashangaa mbona Jumapili mbovu kuliko Jumatatu ya wiki ile. Tangu hapo mpaka leo.Onho,pole sana
Mnaweza kuchangia pia tujue pia huduma hapo home hazijatetereka ukilinganisha na miezi mitatu nyuma, msosi ni uleule au kuna mabadiliko, king'amuzi kimelipiwa? Vipi hasiraTunao kaa kwa shemeji hapa tupite kimya tusome maoni tu.