Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Magari ya Azam TV na madereva wao wachunguzwe.
Magari yao yanapata ajali mara kwa mara na zinakuwa mbaya na au zinatokea maaeneo hatari.
Kuna uwezekano madereva hawana ujuzi wa 'udereva wa kujihami' ambao kila dereva haswa wa 'Passenger Service Vehicles (PSV)' anatakiwa awe nao.
Magari yao yanapata ajali mara kwa mara na zinakuwa mbaya na au zinatokea maaeneo hatari.
Kuna uwezekano madereva hawana ujuzi wa 'udereva wa kujihami' ambao kila dereva haswa wa 'Passenger Service Vehicles (PSV)' anatakiwa awe nao.