Hapana kwenye hili wakuu tuwe wakweli, sheria ni sheria, Barrick hawana kosa lolote kuhusiana na mikataba na the rest of the story, tatizo ni letu wenyewe, kuanzia bunge na viongozi wetu, tuliowachagua wenyewe,
Sheria za kazi za Barrick, ambazo wafanyakazi waliogoma walizisaini wenyewe wakati wakiajairiwa ziko clear kuwa ukigoma, Barrick, wakakupa dead line ya kurudi kazini, usiporudi ni haki yao kisheria kukufukuza na kuzitangaza nafasi hizo kwa public, na ukiweza unaweza omba tena upya lakini hutakuwa na any special consideration,
Tanzania, au Barrick sio wa kwanza kukutwa na hii kitu, hata serikali ya USA, hairuhusu wafanyakazi wake kugoma, ukigoma unakuwa umejifukuza mwenyewe, mnyonge mnyongeni, lakini kwenye hili wafanyakazi waliogoma simply wamekuwa missguided warudi tu kuomba msamaha au kuomba radhi wasamehewe, au waombe kazi upya, wanafukuzwa wananfunzi wetu, sasa itakuwa Barrick?