so CMB wataka kusema wasupport barrick?
if its so just immagine umepata fweza za bingo..then can u go to a foreign country kama uko europe au hata kwa bush na kimada wake rice..ukanunu kampuni halafu ukaweza just fire them all 900 workers??????
...jamani kama mnapenda free market acheni hii issue iwe btn Barric Vs 900 employee,kwanini mnataka serikali ichukue side? hizi ndio double standard naita,nina uhakika kuna sheria za kazi hope zitatoa haki na wala sio JK kama wengi mmnavyotaka aingilie...sio kwa sababu Barrick ni Foreigners ndio tuone kama wana makosa,
nchi itaendelea kama haki na usawa unatolewa kutokana na sheria zilizopo ambazo sisi wenyewe ndio tumeziweka na ukiona tunazilalamikia itabidi sisi wenyewe ndio tuzifanyie kazi kuzirekebisha ,najua hao employee they'll fight this tooth & nail to the end na wakishindwa sheria haikuwa upande wao na itakuja tena kupunish wengine next time
Mwafrika kazi ya JK sio kutunga sheria na hana huo uwezo kikatiba ni BUNGE TUU...back to the isue sioni why JK ajiingize kwenye issue kama hii labda for a goodwill kusaidia pande zote mbili waelewane tuu,ukiona Raisi aningilia issue kama hizo ni dalili za udikteta...acheni sheria ifanye kazi,kama haifanyi kazi bunge litunge nyingine ndio demokrasi
...whatever it is hicho chama cha wafanyakazi ndio kilitakiwa kuwa lobbyst mkubwa katika bunge ili kubadilisha sheria za kutetea maslahi ya wafanyakazi lakini kazi yao ni kutishia tishia tuu useless migomo kila mwaka ambayo haina faida yeyote na kupotezea watu muda tuu,sometimes tunajirudisha nyuma wenyewe tuu
...unavuna ulichopanda,sio siri chama cha wafanyakazi ni one wing ya CCM na CCM ndio watunga sheria na nyie wafanyakazi ndio supporter wakubwa wa serikali ya CCM mnaowaweka madarakani...sasa leo mnamlaumu nani? unafiki wa vyama vya wafanyakazi na kujipendekeza kwao CCM huku wakisahau kazi yao ni maslahi ya wafanyakazi wao ndio mwanzo wa matatizo yote haya
...jamani kama mnapenda free market acheni hii issue iwe btn Barric Vs 900 employee
kwanini mnataka serikali ichukue side? hizi ndio double standard naita
nina uhakika kuna sheria za kazi hope zitatoa haki na wala sio JK kama wengi mmnavyotaka aingilie
sio kwa sababu Barrick ni Foreigners ndio tuone kama wana makosa
nchi itaendelea kama haki na usawa unatolewa kutokana na sheria zilizopo ambazo sisi wenyewe ndio tumeziweka
....dar si lamu emotions kwenye vitu kama hivi u'll end up looser
na wala sitetei Barrick ninachokataa hapa ni watu kufikiria JK anaweza kutoa haki kwa hao wafanyakazi
yeye sio Judge wala court ambako naamini ndiko haki ya kweli itapatikana,na kama umenielewa kuna haja ya kubadilisha sheria nyingi sana ambazo zinamwonea mfanyakazi
ambazo wawekezaji smart & experience wana uwezo wa kuzitumia effectivelly to their advantage....anyway support JK aingilie uone TZ tutakavyoburuzwa kwenye international court and end up compensating millions to Barrick
" SITAJIHUSISHA NA MGOMO WOWOTE BATILI"
..mgomo batili ndo upi?