DOKEZO Wafanyakazi Hospitali ya K's - Mbeya wana hali mbaya, Wamiliki nao hawajali na wanawajibu kwa nyodo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hawa k'S Wana ajiri watu ambao hawana professional yeyote

Kuna jamaa alisoma HKL lakini ni doctor pale

Unategemea huyu akiacha kazi ataajirika wapi?

[emoji28][emoji28] taratibu basi ankali mbona unatupanga hivi. HKL akawe Daktari? Sio kihivyo ankali
 
[emoji28][emoji28] taratibu basi ankali mbona unatupanga hivi. HKL akawe Daktari? Sio kihivyo ankali
Mkuu unabisha nini?

Kuna jamaa kasoma ivumwe secondary advance level ni daktari K'S

Na ivumwe hamna comb ya sayansi

Na huyo jamaa alisoma education Ruco aka disco first year
 
Hiyo ni hospitali binafsi, wasipokulipa mshahara wa mwezi mmoja tu, unakuwa unafanya nini zaidi ya kuachana nao. Lakini pia msisahau, hata hizi hospitali na taasisi za serikali, zingekuwa zinalipa mishahara toka kwenye kapu lake, watu wasingelipwa mishahara miaka. Tunapenda sana kulipwa ujira kwa output zisizoonekana.
 
Mkuu unabisha nini?

Kuna jamaa kasoma ivumwe secondary advance level ni daktari K'S

Na ivumwe hamna comb ya sayansi

Na huyo jamaa alisoma education Ruco aka disco first year
Sawa mkuu, Alishawahi Kukuhudumia huko hosp kama Daktari? Kamą ni Hivyo basi unaweza ukatoa taarifa kwa mamlaka husika za usimamizi.
Kumbuka Sio Wote wanaofanya Kazi Hospitalini ni Wanataaluma hivyo ya Afya.
 
Mkuu, Kama wafanyakazi wake Hawana Output Kwanini asiwasimamishe Kazi? Atafute Wanaoleta Tija kwa taasisi.
Lakini Kitendo cha Kubakia Kazını Bila Kulipwa ujira wao sio sawa.
 
Itakua na wewe ni miongoni mwa watu waliofukuzwa kwa wizi so umeona ulete majungu,ks hospital mbeya is the best,maabara yao ni kati ya maabara mora kabisa katika vipimo
Naona wanekutuma kujibu mkuu

Tetea ugali chief tuko Nyuma yako
 
Mungu ni mwema niliwahi kutibiwa hapo K"s hospital, what a memory sitasahau madhara ya SP hadi Leo sipatani na mafuta yenye sulphur.

Tuache utani Mbeya mishikaki ni mitamu sana, kidogo na pale Njombe stendi.

Soko la uhindini enzi hizo ugali mishikaki nawaombea like soko lirudi, uhindini imechakaa, imezubaa.
 
Mkuu unabisha nini?

Kuna jamaa kasoma ivumwe secondary advance level ni daktari K'S

Na ivumwe hamna comb ya sayansi

Na huyo jamaa alisoma education Ruco aka disco first year
Mkuu sio kila anayevaa koti jeupe ni daktari, inawezekana ulimuona muhudumu wa restaurant amekatiza hospital ukajua ni daktari 😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…