Mhigomkami
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 1,105
- 765
Ok
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanavaa vizuri ili kulinda kibarua 😅Huwa nawaza hawa watumishi wa umma wanapatikanaje aisee ukienda ofisi za umma licha ya kuwa na majibu ya hovyo bado unakuta mtu amevaa sijui nini msabato siyo msabato tabu tupu angalia mabenki ya binafsi jinsi wadada wanawaka angalia hospitali binafsi mpaka unatamani uumwe nenda sasa hizo hospitali za serikali utashangaa utakuta wadada wamenyoa nywele milli imejinenepea hovyo majibu mabaya hebu "utumishi na wenzio mkaliangalie hilo"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahKuvaa vizuri hakuhitaji hela nenda karume pale kuna nguo za elfu mbili mbili unamechisha zako fresh tu.
Pole madam.Nimelia sana🥹🥹 kanda ya ziwa tuhamishiwe tu Uganda
Uvaaji ni skill kama skills zingine.Kuvaa vizuri ni tabia ya mtu. Kuna watu nawajua wana hela nzuri tu lakini uvaaji wa hovyo kabisa.
Ila watu wa kanda ya ziwa ndio wanaongoza kwa kuvaa hovyo.
kila mtu ameruhusiwa kuvaa anavyopenda mwenyewe alimradi avae kiheshimaKuvaa vizuri ni tabia ya mtu. Kuna watu nawajua wana hela nzuri tu lakini uvaaji wa hovyo kabisa.
Ila watu wa kanda ya ziwa ndio wanaongoza kwa kuvaa hovyo.
Kwani wasabato tunavaaje lakini arrrrgh![]()
![]()
![]()
Haa HaaMshahara laki 5,hapo madeni kila kona.. utapendeza kweli?