Sio Marekani tu, kila mtu binasfi anasukumwa na kulinda maslahi yake, inakuja familia, ukoo hadi taifa...Ndio maana kuna magomvi ya mipaka ya viwanja mtu na jirani yake...nchi na nchi nyingine..huo ndio utaratibu wa maisha
Sio Marekani tu, kila mtu binasfi anasukumwa na kulinda maslahi yake, inakuja familia, ukoo hadi taifa...Ndio maana kuna magomvi ya mipaka ya viwanja mtu na jirani yake...nchi na nchi nyingine..huo ndio utaratibu wa maisha