Wafanyakazi wa New Sideway Bar Bunju, Dar es Salaam jirekebisheni mnafukuza wateja

1. UKIONA HIVYO UJUE MENEJA NI SHEMEJI YAO WAHUDUMU, YAANI ANAMLAMBA MMOJA WAO, AU AMEWAPITIA KARIBU WOTE WAKATI ANAWAAJIRI
2. HIYO BAR KWA MAELEZO YAKO INAONEKANA HAINA WATEJA WENGI BASI, BAAR YENYE WATEJA WAHUDUMU WANAPATRA WAPI MUDA WA KUKAA KUPIGA SOGA?
3. INAONEKANA ULIMKOPA MMOJA WA WAHUDUMU WAKAAMBIZANA KWA HIYO WAMEKUSUSA MAZIMA
4. KAMA NI MNYWAJI WA UKWELI NI VIZURI KUWAACHIA CHENJI HAWA WAHUDUMU KWA SABABU MBILI AU ZAIDI. KWANZA, WANALIPWA PESA NDOGO SANA, PILI, KWENYE BAR AMBAYO UNAKUNYWA MARA KWA MARA WAHUDUMU WANAKUWA SIO WAHUDUMU WA BAR TU BALI HATA WEWE MTEJA NI WAHUDUMU WAKO PRIVATE, WAFANYE KUWA MARAFIKI ZAKO HALAFU UTAKUJA KUNIAMBIA SIKU MOJA!
 
Mkuu utafute hela kwa jasho bado ukatumie kwa jasho tena?Hiyo tabia ndy sizitakagi katika maisha yangu nikiona viashiria kama hivo nasepa mapema naenda wanakothamini hela yangu.Kwani offer ni lazima si wanalipwa mishahara?Muhudumu wa hivo tena anipishe mbali
 
[emoji23][emoji23]
 
Kwani kuwapa tip lazima ?
 
Mswahili bila "bakora" haendi, tunawalaumu bure wahindi na ukali wao lakini huo ndio ukweri
Bila kiboko Mjerumani asingeijenga nchi hii.
Ilikuwa ni viboko kwa kwenda mbele,usipolima Shamba viboko akulishe nani,usipopalilia Shamba viboko utasababisha wadudu wahamie mashamba ya wengine.
Bila kiboko mswahili hawezi.
 
River Wood pazuri ila tatizo hapana vibe skuizi watu wachache .. Kwa mbele kidogo kuna sehem inaitwa Ox Sports Bar nadhani kuna vibe balaaaa ila tatizo ni changanyikeni sana washua, bodaboda, pisi kali, madem wachafu wachafu wote ndani balaa tupu😂

Anyway ngoja nifanyie utafiti hapo Posto Bella natafuta chimbo kwaajili ya skukuu
 
Ongezea na hili wa vyoo vichafu na vibaya
Yani bar kubwa ila vyoo ni kama bar ya pombe za kienyeji. Nishakaa na manzi hapo alipoenda chooni akashindwa tumia hari mbaya na mie kwenda cha wanaume kichafu kupita kiasi
 
Umeandika kwa herufi kubwa kama ilivyokuwa kwenye barua ya kujiuzulu ya Mheshimiwa Spika [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hivi kweli uchawi upo ? mabaa yote yaliyojazana mitaani we unasumbuka na hiyo tu ! utakuwa umelogwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…