isambe
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 2,195
- 1,407
Duuuh, watu wanadhambi,Haya mavitu nakumbuka wazungu waliyakataa,ikawa call centers zote ziko India naona huko nako wameamka wamekuja huko jalalani, it's sad.Wengi hupata matatizo mkuu hasa kiuno mgongo na masikio kuuma na kutoa maji hali zikiwa mbaya ndio hivyo wanaacha kazi kimyakimya nawafahamu wengi waliathirika