papiso
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 391
- 231
- Thread starter
- #41
Sasa wenzangu na mimi wanaopasua masikio mishahara yao duni gharama za kuishi mazingira ya voda pekee yake yapo juu mwisho wa siku mshahara wote unaishia pale pale ofisini kabla hujafika nyumbani kukutana na madeni huwezi hata kuweka akiba wakati staff wa voda mishahara yao hukutana tu bank we safari yako moja tu atm dahhh