Duuuh, watu wanadhambi,Haya mavitu nakumbuka wazungu waliyakataa,ikawa call centers zote ziko India naona huko nako wameamka wamekuja huko jalalani, it's sad.Wengi hupata matatizo mkuu hasa kiuno mgongo na masikio kuuma na kutoa maji hali zikiwa mbaya ndio hivyo wanaacha kazi kimyakimya nawafahamu wengi waliathirika
Uchumi waligoma wakasababisha duka likafungwa kwa kufilisika eti!Mbona uchumi waligoma komaeni tuu kitaeleweka mwisho wa siku
Hii ngozi ina laana, uliza mhindi analipwabei gani?Halafu humu humu JF mnatucheka tunaobeba boksi.
Sasa kwa huo mshahara wa chini ya laki 5 dah na kampuni inaingiza mamia ya mamilion kwa siku. Ukienda kiwanda cha neti Arusha watu wanalipwa elf75 kwa mwez na kwasiku wanafanya kazi masaa12 na manyanyaso.
Laki na nusuhivi mtu wa bachelor wanamlipa tzs ngapi???
Duuu hahahaaa we mtambo kwelu!!!!Hasiyefunzwa na mamaye,hufunzwa na erolink.
Mkuu niliwah fanya nao kazi miaka 4,,ni wauajiDuuu hahahaaa we mtambo kwelu!!!!
Pole hayo ni mateso na utumwa alafu mtu ukulipe Kiduchu !!Ile kazi ni ya kinyonyaji mnoooo vipengelee nilivyovitaja na vingine vingi ukifanikiwa ndio unapata above laki tatu ila kuna sharti moja la ajabu sana ili upate bonus ni lazima uwe na high performance ambayo wafanyakazi wengi wanajitaidi kufika ila ikatokea siku moja ukaumwa au ukapata dharura ya aina yoyote ile basi zile juhudi zako zote kazi bure utaambulia below laki tatu ile ofisi mfanyakazi mwenye mwezi mmoja na mwenye miaka nenda rudi wanalipwa sawa na mara nyingine huzidiwa na mgeni,ukiumwa ni juu yako kampuni haitokununulia hata panadol hawana program yoyote ile ya kumkumbuka mfanyakazi wao hakuna cha bima wala nini na kinachoomiza zaidi kuumwa kwako kuna effect moja kwa moja na mshahara wako maana unalipwa kulingana na masaa ya kazi sasa ukiumwa maana yake huna masaa hivyo huna mshahara wee uguaaaa ukipona ndio urudi kufanya kazi yaani pale wafanyakazi hawana thamani kabisaa
Mshahara laki sita labda vodacom south africa ya pale mlimani city na vodashop zote ni below laki nne i have been there i have experienced itCall center job europe inalipa.sana lakini sio.bongo. Do a research on vodacom sa call centre salaries amd fringe benefits. Sijui wabongo nani katuloga hivi kweli yai.moja tsh 400, nyama kg 1 tsh 9000 halafu unakubali.mshahara hata wa laki 6 na nusu?? Hapana.tunahitaji maslahi bora kwa wananchi wetu. Hizi shida za watu kupata kipindupindu,kujenga mabondeni,watoto kutojua kusoma na kuhesabu vinasababishwa na.mishahara duni. Let us be realistic
lakini kwanini na vijana wanaingia mkataba na erolink kama wanaona wanawanyonya?