Wafanyakazi watakaokataa kujiunga na DP World watapelekwa kufanya kazi bandari nyingine. Je, TPA wamekabidhi bandari yote Dar kwa DPW?

Wafanyakazi watakaokataa kujiunga na DP World watapelekwa kufanya kazi bandari nyingine. Je, TPA wamekabidhi bandari yote Dar kwa DPW?

Hakuna private sector inaweza kuwa na ufanisi ikikabidhiwa mali za umma, private sector always inachowaza nikuiba iwezavyo itengeneze faida kubwa kabla ya mkataba kuisha

Na hapo kwenye faida kubwa ndipo uzaliwa siasa chafu za uendeshaji, rushwa, ukwepaji kodi nk

Ni lini tumewahi kunufaika na madini? Lakini pamoja na kutonufaika unafahamu watanzania wanavyonyanyasika migodini? Wanabanwa si kwa .aslahi ya nchi, wanabanwa kwa maslahi ya mabeberu.

Same applies to DP world investment, tutegemee watu wetu kuwa watumwa huku RAIA wa kigeni wakiishi kama wafalme. Tutegemee sehemu zote za ukwepaji kodi tukiambiwa hakuna mtanzania anaweza kufanya kazi eneo hili watafanya wageni

Tutegemee mafunzo yatakayotolewa kwa watanzania yasiwe na tija kwao ili waweze kupata uncolified individuals kwa kigezo cha kusaka qualified from abroad

Tanzania tunaua nchi yetu kwa kufikiri misaada na kukabidhi mali za umma kwa wageni . Ipo siku tutashindwa kulipa hata salaries za watumishi kwa sababu vyanzo vyote vimeshikwa na wageni
Sisi wenyewe tumeshindwa kujisimamia. Bandari hiyo imeendeshwa na watanzania lakini wapigaji wakubwa ni sisi wenyewe. Nakumbuka kuna kipindi kina mchaga mmoja alikua anaendesha hiyo bandari somebody julius makundi nchi imeibwa hii watu hawalipi kodi mifumo ya mapato inachezewa. Sasa serikali imeona bora ije na mwekezaji ambaye atailipa serikali mapato kulingana na mkataba na atajipatia faida yake kuliko mwanzo mapato yanapotea.
 
Tangazo la TPA la ufafanuzi linasema wafanyakazi watakaobaki TPA watakwenda kufanya kazi bandari nyingine nje ya DSm. Kwa kauli hii maana yake hakuna mfanyakazi wa TPA atakayebaki bandari ya DSM baada ya DP world kuanza kazi?

Tangazo lao na ufafanuzi uliowakutolewa hapo awali ulionyesha ni baadhi ya gat zitapewa DP World, Leo kwenye taarifa kwa umma hakuna Sehemu uma unaambiwa gat gani itaendelea chini ya TPA badala yake watumishi wote wanaelekezwa kuchagua moja kati ya kwenda TPA mikoani au kubaki na DP World.

Naomba TPA watuambie ni wafanyakazi gani watabaki chini ya TPA wakisimamia bandari ya DSM? Au hadi management inaondoka kwenda kusimamia bandari za mikoa? Nauliza kwa sababu kuna tatizo la wakuu wa idara kuona kama wao siyo waajiriwa, tunafahamu watumishi wote wa TPA ni waajiriwa je mabosi nao wanakwenda kuajiriwa na DP world?

Pia soma Mamlaka ya Bandari (TPA) yatoa ufafanuzi kuhusu hali ya ajira za Watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam
Duuu kwaiyo huu ndo mwisho wa wazee wa bandari daresalama?
 
Kwa hiyo watanzania wanaamini DP World anakuja kuongeza ufanisi bandari ya DAR es salaam?

Tupeni mfano wa sherika au mali ya umma aliyopewa private sector ikanufaisha wananchi.

Manufaa ya wananchi siku zote yanatokana na wananchi wenyewe. Manufaa ya uwekezaji siku zote umewanufaisha wawekezaji.

Nilitegemea TPA na DP world wagawane maeneo ya uendeshaji kwa sababu zifuatazo

1. Kudhibiti mgeni kujiona yeye ndiye msimamizi wa bandari.

2. Kuwajengea uwezo Watanzania wengi zaidi

3. Kulinda maslahi ya Taifa pale mwekezaji anapopata hasara au menejimenti yake inapokwama kufikia malengo yaliyowekwa

4. Kushiriki moja kwa moja katika vikao rasmi vya uendeshaji .


Sisi tunaua shirika la umma na kukabidhi kazi zote kwa wageni kama ilivyo migodini. Leo hata watanzania kuingia kwenye premises za mwekezaji watalazimika kuzingatia masharti yao na siyo masharti ya sovereign state....Leo usishangae hata vyombo vya dola vikawekewa kikwazo kuingia ndani ya bandari. Huko migodini dola ikiingia mara zote si kwaajili ya kufanya uchunguzi
 
Tangazo la TPA la ufafanuzi linasema wafanyakazi watakaobaki TPA watakwenda kufanya kazi bandari nyingine nje ya DSm. Kwa kauli hii maana yake hakuna mfanyakazi wa TPA atakayebaki bandari ya DSM baada ya DP world kuanza kazi?

Tangazo lao na ufafanuzi uliowakutolewa hapo awali ulionyesha ni baadhi ya gat zitapewa DP World, Leo kwenye taarifa kwa umma hakuna Sehemu uma unaambiwa gat gani itaendelea chini ya TPA badala yake watumishi wote wanaelekezwa kuchagua moja kati ya kwenda TPA mikoani au kubaki na DP World.

Naomba TPA watuambie ni wafanyakazi gani watabaki chini ya TPA wakisimamia bandari ya DSM? Au hadi management inaondoka kwenda kusimamia bandari za mikoa? Nauliza kwa sababu kuna tatizo la wakuu wa idara kuona kama wao siyo waajiriwa, tunafahamu watumishi wote wa TPA ni waajiriwa je mabosi nao wanakwenda kuajiriwa na DP world?

Pia soma Mamlaka ya Bandari (TPA) yatoa ufafanuzi kuhusu hali ya ajira za Watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam
Hahaha kuna bandari ya ziwa victoria,kemondo,kuna kilwa ,kigoma ,bagamoyo,lindi,ukerewe,rufiji,
Kimsingi wanakwenda kukimbizana na mitumbwi na wavuvi wadogo wadogo hahahaba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Kimsingi hawana kazi za kufanya maana vibandari hivyo ni vya mitumbwi na mashua hahahaha
 
Unapata faida gani kwenye maisha yako wafanyakazi wa bandari wakifukuzwa kazi? Watanzania wengi ni wajinga sana
Boss..wameambiwa wafanye kazi na DP World au waende bandari nyingine. Sina roho ya namna hiyo. Barua ya mamlaka ya bandari umeisoma? Kwenda bandari nyingine ni kufukuzwa kazi? Kufanya kazi na DP World ni kufukuzwa Kazi? Hofu ya kufanya kazi na DP World ni ya nini? Hofu ya kwenda bandari zingine ni ya nini?
 
Hahaha kuna bandari ya ziwa victoria,kemondo,kuna kilwa ,kigoma ,bagamoyo,lindi,ukerewe,rufiji,
Kimsingi wanakwenda kukimbizana na mitumbwi na wavuvi wadogo wadogo hahahaba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Kimsingi hawana kazi za kufanya maana vibandari hivyo ni vya mitumbwi na mashua hahahaha
Hawakuzoea kuishi kwa salaries zao. Walizoea madili..nchi ya madili. Ndio maana hatuendelei.dahh
 
Boss..wameambiwa wafanye kazi na DP World au waende bandari nyingine. Sina roho ya namna hiyo. Barua ya mamlaka ya bandari umeisoma? Kwenda bandari nyingine ni kufukuzwa kazi? Kufanya kazi na DP World ni kufukuzwa Kazi? Hofu ya kufanya kazi na DP World ni ya nini? Hofu ya kwenda bandari zingine ni ya nini?
Mkuu kila la kheri
 
IMG_2094.jpeg
IMG_2093.jpeg
IMG_2092.jpeg

Wazee wa DP worlddddddddddddddddddddddd 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom