Wafaransa ni wachawi sana Argentina achukue tahadhari zote kuelekea fainali ya kombe la dunia 18.12.2022

Wafaransa ni wachawi sana Argentina achukue tahadhari zote kuelekea fainali ya kombe la dunia 18.12.2022

Ufaransa walifaidika na uchawi fainali ya 98
Waliloga sana, waliloga uwanjani na wakaenda kwenye hotel ya wachezaji wa Brazil
Wachezaji wa Brazil asubuhi wengi walishindwa kuamka kwenda kupasha misuli kutokana na kujikisia homa na kuumwa

Hadi muda wa mechi wasiwasi ulikuwa mkubwa
Ile mechi wabrazil walikuwa hawakabi,hawakimbii ni kama walifungwa mawe miguuni walikuwa ni kama watazamaji na wao

Mpaka leo sijawahi kuamini kama Timu mbovu ile ya ufaransa ilimfunga Brazil ile

Pia mwamuzi wa mechi iyo aliwabeba sana wafaransa yule mwarabu,

mchezaji wa ufaransa akifanya faulo alikuwa hajiangaishi kupuliza kipenga

Deshamps ndio mchawi namba moja uyo kocha alifanya akiwa captain na sasa ufaransa wamempa timu aendeleze ufundi

Nawasihi argentina wamfiche Messi ndani asitoke la sivyo jumapili watajuta

Kwahiyo argentina wajiangalie watapigwa juju
Wakimuwahai messi tu wakampiga juju basi ufaransa amemaliza kazi
Aliskika shabiki kindakindaki wa NBC PL
 
Ufaransa walifaidika na uchawi fainali ya 98
Waliloga sana, waliloga uwanjani na wakaenda kwenye hotel ya wachezaji wa Brazil
Wachezaji wa Brazil asubuhi wengi walishindwa kuamka kwenda kupasha misuli kutokana na kujikisia homa na kuumwa

Hadi muda wa mechi wasiwasi ulikuwa mkubwa
Ile mechi wabrazil walikuwa hawakabi,hawakimbii ni kama walifungwa mawe miguuni walikuwa ni kama watazamaji na wao

Mpaka leo sijawahi kuamini kama Timu mbovu ile ya ufaransa ilimfunga Brazil ile

Pia mwamuzi wa mechi iyo aliwabeba sana wafaransa yule mwarabu,

mchezaji wa ufaransa akifanya faulo alikuwa hajiangaishi kupuliza kipenga

Deshamps ndio mchawi namba moja uyo kocha alifanya akiwa captain na sasa ufaransa wamempa timu aendeleze ufundi

Nawasihi argentina wamfiche Messi ndani asitoke la sivyo jumapili watajuta

Kwahiyo argentina wajiangalie watapigwa juju
Wakimuwahai messi tu wakampiga juju basi ufaransa amemaliza kazi
Ingekuwa ni uchawi basi Nigeria inayosifika kwa uchawi ingekuwa inachukua kombe la Afrika mara nyingi kuliko timu zote. Ingekuwa hivyo waraabu na majini yao wangekuwa wanachukua kombe la dunia
Mpira ni burudani na ni sayansi.
 
Ufaransa walifaidika na uchawi fainali ya 98
Waliloga sana, waliloga uwanjani na wakaenda kwenye hotel ya wachezaji wa Brazil
Wachezaji wa Brazil asubuhi wengi walishindwa kuamka kwenda kupasha misuli kutokana na kujikisia homa na kuumwa

Hadi muda wa mechi wasiwasi ulikuwa mkubwa
Ile mechi wabrazil walikuwa hawakabi,hawakimbii ni kama walifungwa mawe miguuni walikuwa ni kama watazamaji na wao

Mpaka leo sijawahi kuamini kama Timu mbovu ile ya ufaransa ilimfunga Brazil ile

Pia mwamuzi wa mechi iyo aliwabeba sana wafaransa yule mwarabu,

mchezaji wa ufaransa akifanya faulo alikuwa hajiangaishi kupuliza kipenga

Deshamps ndio mchawi namba moja uyo kocha alifanya akiwa captain na sasa ufaransa wamempa timu aendeleze ufundi

Nawasihi argentina wamfiche Messi ndani asitoke la sivyo jumapili watajuta

Kwahiyo argentina wajiangalie watapigwa juju
Wakimuwahai messi tu wakampiga juju basi ufaransa amemaliza kazi
Wewe ni tahira unafikiri kule ni Tanzania isiyo na mipango,,tafuta record ya Brazil na France utapata jibu,,umelopoka tu
 
Uchawi? Leta ushahidi.
Mpape leo kasema ndugu zetu waafrica hatuta waangusha. Anajua wazi kilicho wakuta wale no 4. Lugha zao ni mbaya wamekutana na laana ya machif.
 
Back
Top Bottom