mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida yenu wafia vyama mnakurupuka na kujitoa ufahamu sijui mnakwama wapi?Unalia nini Dada umeumiaa...
Boniyai ajipange tu.atapiga sana michango ya nyumbu.ndani ya mwaka ana Bilioni yake anatuliaBaadhi ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakimsindikiza aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob kurudisha fomu ya kugombea kuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Pwani leo Septemba 5, 2024.
Maandamano hayo ya amani yameanzia Manzese yakitarajiwa kutamatika ofisi za chama hicho Kanda ya Pwani, zilizopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Pia, soma: Kuelekea 2025 - Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
Hayo ni mawazo yako ila ulichokiandika kinaonyesha roho imekuuma.Watu wanazingatia haki mambo ya chama yamebaki kwa vihiyo.Shida yenu wafia vyama mnakurupuka na kujitoa ufahamu sijui mnakwama wapi?
Statement ndogo mmeanza matusi
what if ni nyundo kwa watesi wenu
Wajinga ndio waliwao imewatoa ufahamu.
Kuna siku tutaelewana mtarudi humu na statements tofauti. Ni swala la muda.