Pre GE2025 Wafuasi CHADEMA wavamia nyumbani kwa Mbowe kumlazimisha achukue Fomu ya kugombea Uenyekiti

Pre GE2025 Wafuasi CHADEMA wavamia nyumbani kwa Mbowe kumlazimisha achukue Fomu ya kugombea Uenyekiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kundi kubwa la vijana wamejazana Nyumbani Kwa Freeman Mbowe mikocheni

Baadhi ya majirani wamepiga Simu polisi Ili kuomba Ulinzi wa Makazi yao

Niko hapa Chato ngoja nielekee nikashuhudie kinachojiri 🐼

==

Mamia ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamefika nyumbani kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe, wakimtaka achukue fomu kwaajili ya kutetea nafasi yake ya uenyekiti.


IMG_1768.jpeg
IMG_1769.jpeg
IMG_1770.jpeg
 
Baada ya miaka mingi kupita, leo Wacha na Mimi nichangie kidogo kuhusu yanayoendelea Chadema.

Ukitaka mabadiliko lazima uoneshe Nia ya kubadilika na si kuendelea kufanya mambo Yale yale. Wananchi wengi wamekatishwa tamaa na namna upinzani unavyokabiliana na serikali dhalimu ya CCM.

Kuna matukio mengi yamefanyika kutoka mwaka 2015 Mpaka leo ambayo yamerudisha nyuma Ari na morali ya wananchi kushiriki katika demokrasia na kwa kiasi kikubwa wamekata tamaa.

Mtu mmoja ambaye walau ameonesha kuwa na msimamo wa kukabiliana na hali tangu kipindi hicho kwa mtazamo wangu ni TAL. Huyu mtu hakika anaonesha wazi wazi ana Nia thabiti ya kuleta mabadiliko kwani Hana hata chembe ya hofu kwa Yale anayoamini yanaweza kuleta haki.

Nilidhani CDM wameliona hili kama sie watu ambao tupo nje ya CDM vile ambavyo tumeweza kuona. Nashangaa ndani ya CDM hawataki mabadiliko ilhali wanataka mabadiliko ndani ya nchi, hapa tunashangazwa wengi.

Haileti picha nzuri kuona TAL anapingwa wazi wazi na kuanza kuonekana kama ni mtu Baki wakati ameweka rehani uhai wake kusaidia vugu vugu la mabadiliko kupitia CDM.

Wengi tungependa ashike nafasi ya kuu pale CDM tuone namna Gani ataleta mbinu mpya za kukabiliana na CCM.

Mbowe amepata muda wa kutosha na kwa kweli mbinu zake hazijatosha kabisa kukabiliana na CCM ambao wanatumia Dola kuendelea kubaki madarakani.

CDM msichezee fursa hii tena, manalo jukumu la kuonesha Jamii kuwa mnaweza kubadilika kulingana na mazingira na kusaidia Jamii ya Tanzania ambayo imebaki bila msaada kwa ukoloni wa CCM.

Ahsante
 
Kundi kubwa la vijana wamejazana Nyumbani Kwa Freeman Mbowe mikocheni

Baadhi ya majirani wamepiga Simu polisi Ili kuomba Ulinzi wa Makazi yao

Niko hapa Chato ngoja nielekee nikashuhudie kinachojiri 🐼

==

Mamia ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamefika nyumbani kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe, wakimtaka achukue fomu kwaajili ya kutetea nafasi yake ya uenyekiti.

View attachment 3179505
Leo umekuwa mkweli kwamba unaishi mtaa wa Chato,
Ipo siku utataja jina lako halisi,
Msalimie Ex DC Kasesela
 
Hii lazima Kuna motive behind

Hapo Kuna mdau atakuwa amewalipia mafuta pamoja na Posho zao shilingi 10k Kila mmoja

Lissu jiandae, wenye Chama Chao hawako tayari kumwachia Chama mtu wa kuja, hasa asiye wa Kaskazini

Mbowe akiendelea na mpango wake wa kuwa Mwenyekiti wa kudumu wa CDM, wajiandae kupoteza ushawishi na uungwaji Mkono wa Wananchi
 
Hii lazima Kuna motive behind

Hapo Kuna mdau atakuwa amewalipia mafuta pamoja na Posho zao shilingi 10k Kila mmoja

Lissu jiandae, wenye Chama Chao hawako tayari kumwachia Chama mtu wa kuja, hasa asiye wa Kaskazini

Mbowe akiendelea na mpango wake wa kuwa Mwenyekiti wa kudumu wa CDM, wajiandae kupoteza ushawishi na uungwaji Mkono wa Wananchi
Boni Yai 😂
 
Back
Top Bottom