Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Msimamo wa Erythrocyte ndio msimamo wangu
Ngoja nimsikie anasemaje maana ni genius huyu mdau
Ngoja nimsikie anasemaje maana ni genius huyu mdau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutaki msimamo wangu😜Msimamo wa Erythrocyte ndio msimamo wangu
Ngoja nimsikie anasemaje maana ni genius huyu mdau
Nadhani siasa hizi zimezoeleka zaidi kufanywa na wanaCCM tangu enzi za akina Kingunge (Castory) Ngombale Mwiru. Hivyo kuanza kutumiwa na Mbowe 2024 ni kumrudisha nyuma.Kundi kubwa la vijana wamejazana Nyumbani Kwa Freeman Mbowe mikocheni
Baadhi ya majirani wamepiga Simu polisi Ili kuomba Ulinzi wa Makazi yao
Niko hapa Chato ngoja nielekee nikashuhudie kinachojiri 🐼
==
Mamia ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamefika nyumbani kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe, wakimtaka achukue fomu kwaajili ya kutetea nafasi yake ya uenyekiti.
View attachment 3179505
View attachment 3179513View attachment 3179514View attachment 3179516
😄Msimamo wa Erythrocyte ndio msimamo wangu
Ngoja nimsikie anasemaje maana ni genius huyu mdau
Mtunzi Yeriko Nyerere 😂bon Yao na wezake wamekaaa wameona watengeneze zingaombwe
Huyo anaijua chadema kuliko mtu yeyote yuleHutaki msimamo wangu😜
LISu kawashika wrong placeMtunzi Yeriko Nyerere 😂
Inaonekana hicho Chama hakina nia ya mabadiriko ya kweli, kina kuwa ni mali ya mtu binafsi sio tena TaasisiNadhani siasa hizi zimezoeleka zaidi kufanywa na wanaCCM tangu enzi za akina Kingunge (Castory) Ngombale Mwiru. Hivyo kuanza kutumiwa na Mbowe 2024 ni kumrudisha nyuma.
Mbowe ahitaji tena kufanya mambo haya, kwa kuwa nchi nzima inajua ana dhamira ya kuwa Mwenyekiti wa Chadema hadi atakapofia kwenye kiti, haijalishi ni mwaka gani itakuwa.
Jana usiku Mbowe alikuwa na kikao kirefu na waandishi wanne wa habari, wa Global TV, Mwananchi, ITV na Radio One (mmoja bado sijajua wa chombo gani).
Kikao cha kugawana majukumu ya kualika wanahabari kwa siri, ambapo Hussen wa Global TV alipewa kazi ya kualika kwa siri waandishi wa Online TV's, kuwa waandishi wafike kwa Mbowe leo saa nne asubuhi.
Wengine wakipewa jukumu la kualika wanahabari wa radio, vituo vya TV na magazeti. Sasa yote haya ni ya nini? Hakuna jipya kwenye suala la Mbowe kugombea uenyekiti Chadema wala kuwa Mwenyekiti
Haikuhitaji mbinu hizi za kale za siasa za mapenzi ya uongo-uongo ya wananchi kwa mwanasiasa.
Ova
Mtu anaeweza kuleta mabadiliko chanya CDM ni John Heche, siyo Lissu.Baada ya miaka mingi kupita, leo Wacha na Mimi nichangie kidogo kuhusu yanayoendelea Chadema.
Ukitaka mabadiliko lazima uoneshe Nia ya kubadilika na si kuendelea kufanya mambo Yale yale. Wananchi wengi wamekatishwa tamaa na namna upinzani unavyokabiliana na serikali dhalimu ya CCM.
Kuna matukio mengi yamefanyika kutoka mwaka 2015 Mpaka leo ambayo yamerudisha nyuma Ari na morali ya wananchi kushiriki katika demokrasia na kwa kiasi kikubwa wamekata tamaa.
Mtu mmoja ambaye walau ameonesha kuwa na msimamo wa kukabiliana na hali tangu kipindi hicho kwa mtazamo wangu ni TAL. Huyu mtu hakika anaonesha wazi wazi ana Nia thabiti ya kuleta mabadiliko kwani Hana hata chembe ya hofu kwa Yale anayoamini yanaweza kuleta haki.
Nilidhani CDM wameliona hili kama sie watu ambao tupo nje ya CDM vile ambavyo tumeweza kuona. Nashangaa ndani ya CDM hawataki mabadiliko ilhali wanataka mabadiliko ndani ya nchi, hapa tunashangazwa wengi.
Haileti picha nzuri kuona TAL anapingwa wazi wazi na kuanza kuonekana kama ni mtu Baki wakati ameweka rehani uhai wake kusaidia vugu vugu la mabadiliko kupitia CDM.
Wengi tungependa ashike nafasi ya kuu pale CDM tuone namna Gani ataleta mbinu mpya za kukabiliana na CCM.
Mbowe amepata muda wa kutosha na kwa kweli mbinu zake hazijatosha kabisa kukabiliana na CCM ambao wanatumia Dola kuendelea kubaki madarakani.
CDM msichezee fursa hii tena, manalo jukumu la kuonesha Jamii kuwa mnaweza kubadilika kulingana na mazingira na kusaidia Jamii ya Tanzania ambayo imebaki bila msaada kwa ukoloni wa CCM.
Ahsante
Ni kama Kilabu cha MbegeInaonekana hicho Chama hakina nia ya mabadiriko ya kweli, kina kuwa ni mali ya mtu binafsi sio tena Taasisi
Sijaona utofauti wake na CCM hadi sasa
Hahaha......lakini sisi Wazee tumeshuhudia hiyo Chadema tangu inaanzishwa Mwaka 93 ujue 😜Huyo anaijua chadema kuliko mtu yeyote yule
hao ni ccm siyo chadema maana ccm ndiyo wanataka mbowe agombee uenyekiti wanamuogopa LISSUKundi kubwa la vijana wamejazana Nyumbani Kwa Freeman Mbowe mikocheni
Baadhi ya majirani wamepiga Simu polisi Ili kuomba Ulinzi wa Makazi yao
Niko hapa Chato ngoja nielekee nikashuhudie kinachojiri 🐼
==
Mamia ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamefika nyumbani kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe, wakimtaka achukue fomu kwaajili ya kutetea nafasi yake ya uenyekiti.
View attachment 3179505
View attachment 3179513View attachment 3179514View attachment 3179516
Kwa kweliNi kama Kilabu cha Mbege
Heche pamoja na kusoma Mlimani bado mshamba mshambaMtu anaeweza kuleta mabadiliko chanya CDM ni John Heche, siyo Lissu.
Lissu aungane na akina Kibatala kusaidia chama kisheria.