goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Ila una hoja nzuri Kuna haja wasioe ili wasiwaze mali muda wote kam magar na kusomesha ulaya na kuishi kitajiri hapana Roman Catholic mmeona mbali kwa hiliNyinyi KKT maaskofu wenu na viongozi wengine wa kiroho wasiwe wanaoa.
Askofu anafamilia na amepanga kusomesha watoto wake ulaya na kumnunulia mama watoto gari ya pili nyinyi mnamfukuza. Ni ngumu kukubali sababu hapo anaiwazia familia na pengine anashawishiwa na mama watoto kutokubali kufukuzwa ili aendelee kuitwa mama askofu.
Ni mtazamo tu lakini, Oneni kwa wenzenu Roman Catholic ni amani tu.
Kkkt Kuna migogoro Sana tokea nazaliwa hata kanisan kwetu kipindi Cha 1995 walizichapa hadharani