Wafuasi wa Askofu Mwaikali wasusa ibada Mbeya

Ila una hoja nzuri Kuna haja wasioe ili wasiwaze mali muda wote kam magar na kusomesha ulaya na kuishi kitajiri hapana Roman Catholic mmeona mbali kwa hili

Kkkt Kuna migogoro Sana tokea nazaliwa hata kanisan kwetu kipindi Cha 1995 walizichapa hadharani
 
Mwandishi Wa Mwananchi katika mgogoro huu yeye amekoa akichichea na kuuukuza mgogoro ....Waumini wanatokea majumbani kwao kuja kanisani.. kama Kanisa lilijaa mwandishi amerimia live so gani kusema Waumini wamesusia ibada?

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Itakuwa hvyo waaandishi wameongeza chumvi
 
Hili kanisa lijipange vizuri namna ya kuendesha mambo yake.Kila mara linakuwa na migogoro hadi unashindwa kuamini kama kweli linafanya kazi ya mungu.
Tangulini makanisa yanafanya kazi ya Mungu hao ni wafanya biashara
 
Mitume ndio hao wakina saints nani sjui mizungu mitupu? Babu zenu maelfu waliuwawa sababu ya hilo genge unaloliita la mitume

Wake up , kanisa ni wew mwenyew wala sio dhehebu au genge la dini, someni biblia vizuri enyi wavivu wa kufikiri
Unajichanganya. Unawalaamu wazungu, halafu hapo hapo unaikubali Biblia waliyoileta hao hao wazungu. Hujui unataka nini!
 
Wewe ulikuwepo?
Muandish ameripoti kilichojiri ww unalwta hisia binafsi..
 
Bibi hawa wachunguji wa KKKT wanamhubiri Mungu gani? Poleni waumini maana mnachungwa na mashetani.Acheni kutoa sadaka muone hao wachungaji wenu watagombea nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…