Wafuasi wa Lissu wanamtaka Baraba

Wafuasi wa Lissu wanamtaka Baraba

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Pontyo wa Pilato akawauliza wayahudi " Wanamtaka nani Kati ya Yesu na Baraba? Nani afunguliwe nani abaki?"


Kwa mshangao wa Pilato wayahudi Waka shout wakisema " Tunamtaka Baraba"


Hadi Pilato aliguna. Ndio maana akajioa hatia juu ya damu ya Yesu .

Na Yesu alipozikwa, Pilato aliagiza kaburi la Yesu liandikwe " IESUS NAZARENUS REX IUDAISM" Kwa maana ya " YESU MNAZARETH MFALME WA WAYAHUDI" Kwa sababu Hilo ndio "kosa" ambalo wayahudi walimtuhumu nalo Yesu kwa serikali ya warumi .

( Treason/ uhaini) Kwa maana ya kwamba Yesu aliji tangaza yu mfalme wa Yudea wakati Yudea ilikuwa chini ya utawala WA warumi.


Ndicho wanacho kifanya the so called " Wafuasi wa Lissu"

Wanamtaka Baraba " Lissu" hawamtaki Yesu ( Mbowe)

Mbowe mwenye uzoefu wa kutosha wa kuongoza Chama cha siasa.

Mbowe mwenye personality ya kiongozi wa juu wa taasisi kubwa kama Chadema.

The Diplomatic Mbowe, mnataka aachie ngazi ila Lissu ambae hana uzoefu wowote katika kuongoza taasisi kubwa kama Chadema.

Lissu ambae hana haiba ya uongozi( Lissu ni mwanaharakati tu na Sio kiongozi), ndio mnataka apewe uongozi wa Chama?


Hesabu ya wapi hii? Yani you want to replace 20+ with zero?. Are u mad?

Mbowe = 20+ years of experience.

Lissu = Zero year of experience.


And u guys want to replace " 20+ years of experience" with " Zero years of experience"?

Hata Ole Gunnar ata GUNA.

Ni mwendawazimu tu ndio anaweza Ku exchange his 20+ million shillings with zero shillings.


Unakuta "msomi" kabisa anasema ;

" Mbowe ameongoza Kwa muda mrefu Sana Sasa ampishe Lissu aongoze"

Akili kama za Nguruwe pori, mikono anayo lakini ana chimba mihogo Kwa kutumia pua.

Sasa kama ana experience ya Zaidi ya miaka 20 si ndio Sasa anatakiwa kuaminiwa zaidi Kwa sababu tayari ana experience ya kutosha?.

Mnataka kumchukua mtu asie na experience yoyote wala haiba ya uongozi ndio aongoze Chama wakati mtu mwenye experience na haiba ya uongozi yupo? .

Akili kama za Wayahudi wa Luka 23: 18-25.


....

Watanzania wanao taka Lissu apewe Uenyekiti wa Chadema wana prove nadharia yangu kwamba " Many Tanzanians are poor judges of characters"

Poor judges of characters are so good in making poor decision.

Ndio maana unaona watu eti wanataka Lissu ndio awe Mwenyekiti wa Chadema.

Lissu huyu huyu?

Yani kabisa kabisa mtu na Akili zake timamu anashindwa kabisa kujudge characters za Lissu na kuona kwamba Lissu hana haiba ya uongozi?

Even Steve Wonders can see this

Baadhi ya watanzania wanakuwaga kama ma Bwege Nazi vile wana macho matatu lakini hawaoni.


........

Ushauri wangu Kwa wanachadema. Siku ya uchaguzi " Make Sure You Freeman Mboweling your votes".
 
Hawamtaki yuda aliye muuza yesu kwa vipande thelathini vya fedha , ewe tomasa kwa nini unashindwa kuamini huyu ndie ?

Tazama hata alama za majeraha ya mkuki kwenye mbavu zake.

Amini amini nawaambieni ana heri yule anaemwamini mwana wa adamu hata pasipo kumwona kwa macho.
 
Hawamtaki yuda aliye muuza yesu kwa vipande thelathini vya fedha , ewe tomasa kwa nini unashindwa kuamini huyu ndie ?

Tazama hata alama za majeraha ya mkuki kwenye mbavu zake.

Amini amini nawaambieni ana heri yule amuamiae mwana wa adamu hata pasipo kumwona kwa macho.

Yuda alimsaliti Yesu kwa sababu alijua kwamba Kwa kupitia damu Yake pale msalabani , ulimwengu mzima unge kombolewa.

Ndio maana imeandikwa " Kwa kupigwa kwake sisi tumepona"
 
Yuda alimsaliti Yesu kwa sababu alijua kwamba Kwa kupitia damu Yake pale msalabani , ulimwengu mzima unge kombolewa.

Ndio maana imeandikwa " Kwa kupigwa kwake sisi tumepona"
Rudia tena kwa kupigwa risasi kwake chadema itapona. Achana na yuda anatabia ya kufanya makubaliano ya usaliti na askari wa kirumi.
 
ILO -waliposema mtu akifikia miaka 60 apumzishwe ajira tena kwa lazima walikuwa na maana gani?

Brain ya mtu at the age 60 inakuwa dhaifu sana
 
"Yuda" ndio Alie muokoa "Baraba"na kifo baada ya kupigwa Risasi pale "Dodoma na Gomora"
Amini amini nawaambieni mwana wa adamu ataletwa kwenu nanyi mtamkataa, ila kwa kupigwa kwake sisi tumepona.
 
So unamtaka Lissu?
Na tazama mtoto mdogo amezaliwa kwenye hori la ng'ombe katika familia duni ya yoseph wa ukoo wa daudi , nae herode akataka kumwua ,wazazi wake wakakimbilia misri kumficha.
 
Na tazama mtoto mdogo amezaliwa kwenye hori la ng'ombe katika familia duni ya yoseph wa ukoo wa daudi , nae herode akataka kumwua ,wazazi wake wakakimbilia misri kumficha.


Lissu anafaa kuwa Mkurugenzi wa Takukuru na Sio kiongozi wa Chama
 
Yuda alimsaliti Yesu kwa sababu alijua kwamba Kwa kupitia damu Yake pale msalabani , ulimwengu mzima unge kombolewa.

Ndio maana imeandikwa " Kwa kupigwa kwake sisi tumepona"
Sio kweli. Yuda hakujua kuwa Wayahudi wangeweza kumkamata Yesu. Yeye alitaka tu mshiko akijua Yesu atasepa. Kumbe tukio hilo lilishatabiriwa na likatimia. Yuda alichomwa moyo akasikitika akarudishe hela za hongo lakini haikusaidia akaishia kujinyonga.
 
IMG-20250111-WA0131.jpg
 
Yuda alimsaliti Yesu kwa sababu alijua kwamba Kwa kupitia damu Yake pale msalabani , ulimwengu mzima unge kombolewa.

Ndio maana imeandikwa " Kwa kupigwa kwake sisi tumepona"
Kesho asubuhi sana kwa maghembe
 
Na tazama mtoto mdogo amezaliwa kwenye hori la ng'ombe katika familia duni ya yoseph wa ukoo wa daudi , nae herode akataka kumwua ,wazazi wake wakakimbilia misri kumficha.
Kumbe bible mnaijua lakini mnajitoaga akili tu si ndio?
 
Yuda alimsaliti Yesu kwa sababu alijua kwamba Kwa kupitia damu Yake pale msalabani , ulimwengu mzima unge kombolewa.

Ndio maana imeandikwa " Kwa kupigwa kwake sisi tumepona"
Kwahiyo ndio maana Mbowe kamsaliti TAL akijua kufanya hivyo TAL atakuwa mwenyekiti na wahuni watafyata mkia, ama namna gani
 
Back
Top Bottom